Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jinsi bendi ya walemavu inayokubalika nchini

Nimekutana na watu wengi wakidai kuwa wana tatizo fulani linalowafanya washindwe kuonyesha uwezo wao kwenye kazi fulani, wengine wakikimbia kuomba, kuwa tegemezi kwa madai kuwa ni walemavu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Kiba: Njooni muone jinsi ninavyopiga na ‘live’ bendi

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Saleh ‘Kiba’. Said Ally, Dar es Salaam
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Saleh ‘Kiba’, ametamka wazi kuwa, amejipanga vya kutosha kuhakikisha anawapagawisha mashabiki wake watakaojitokeza katika shoo ya Mwana Dar Live ambayo itaunguruma katika Sikukuu ya Pasaka, Aprili 5, mwaka huu. Akizungumza na Championi Jumatano, Kiba alisema amejipanga vya...

 

9 years ago

Mtanzania

Shoo ya Koffi yaamsha mori za bendi nchini

DSC_2951NA MWANDISHI WETU

SHOO ya mwanamuziki nguli wa muziki wa dansi barani Afrika kutoka Congo (DRC), Koffi Olomide ‘Mopao Mokonzi’ iliyofanyika usiku wa kuamkia jana katika ukumbi wa Escape One Mikocheni, imeongeza hamasa kwa bendi za muziki wa dansi nchini kujifunza namna ya kudumu kwa muda mrefu katika muziki huo huku ukiwa katika ubora wako.

Katika onyesho hilo lililokuwa na shamra shamra za kupiga ‘selfie’ kwa idadi kubwa ya mashabiki waliofurika katika ukumbi huo, wanamuziki wa bendi...

 

10 years ago

GPL

BENDI MPYA YA VIJANA WANNE, RUBY BENDI WATINGA GLOBAL TV ONLINE

Waimbaji wa Ruby Bendi wakiwa katika pozi baada ya kufanya mahojiano na Global TV Online kutoka kushoto ni Suma Luvi, Smaina, Kwea Pia na Maya. (PICHA: GLOBAL TV ONLINE)

 

11 years ago

Mwananchi

Extra Bongo; bendi inayoongoza kwa burudani ya ‘unenguaji’ nchini

Mashabiki waliowahi kuhudhuria maonyesho ya bendi ya muziki wa dansi nchini ya Extra Bongo watakubaliana nami kwamba ina wacheza shoo (madansa) makini, wenye uelewa mpana na pengine kukonga zaidi nyoyo za mashabiki katika tasnia hiyo.

 

9 years ago

Michuzi

WANAOWAFICHA WATOTO WALEMAVU NCHINI WASHUGHULIKIWE

(Meneja msaidizi wa kituo cha walemavu cha Usa River Rehabilitation Centre,Sophia Moshi akibadilishana mawazo na meneja mkuu wa kituo hicho,Claus Heim).  Mahmoud Ahmad, ArushaSERIKALI imeombwa kuchukua hatua kali kwa baadhi ya wazazi nchini wenye tabia ya kuwaficha watoto wao wenye ulemavu hali ambayo imekuwa ikiwafanya wakose mahitaji ya msingi kama elimu na afya.
Ombi hilo limetolewa hivi karibuni na uongozi wa chuo cha walemavu cha Usa River Rehabilitation Centre  huku wakiiomba...

 

11 years ago

Mwananchi

Majengo yawanyima raha walemavu nchini

Kundi hilo limekuwa likishindwa kupata huduma muhimu katika hospitali, shule, ofisi za Serikali, mahakama, vituo vya polisi na maduka ya bidhaa mbalimbali.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NCHI AKUTANA NA VIONGOZI WA WALEMAVU WA NGOZI NCHINI

Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akisikiliza kwa makini hoja kutoka kwa Mkurugenzi Msaidizi Sera Wizara ya Mambo ya Ndani Bi. Joyce Momburi (hayupo pichani) wakati wa Kikao cha Pamoja na Viongozi wa Taasisi ya Watu wenye Ulemavu wa Ngozi (AKUAT)Ofisini kwake Aprili 24, 2015. Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) akiwa na Viongozi wa Taasisi ya Watu wenye Ulemavu wa Ngozi walipomtembelea...

 

5 years ago

BBCSwahili

Changamoto kwa watu walemavu kupata mkopo nchini Tanzania

Halmashauri zote nchini Tanzania zinapaswa kutenga asilimia mbili ya mapato yake kwa ajili ya walemavu.

 

10 years ago

GPL

AIRTEL KUENDELEA KUSAIDIA WALEMAVU HAPA NCHINI KWA KUWAONGEZEA VITENDEA KAZI

Afisa masoko wa Airtel Haruna Ndyanabo (wa pili Kulia) akimkabidhi Rukia Salum (wapili Kushoto) mmoja kati ya walemavu waliowezeshwa na Airtel kwa kupatiwa vibanda vya kisasa vya Airtel Money ili kuweza kijipatia kipato na kuendeleza Maisha yao ya kila siku. Wakishuhudia ni baadhi ya walemavu wengine waliowezeshwa na Airtel katika mtaji huo.
Afisa masoko wa Airtel Haruna Ndyanabo (kushoto) akimkabidhi Peter Gwikama mmoja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani