Changamoto kwa watu walemavu kupata mkopo nchini Tanzania
Halmashauri zote nchini Tanzania zinapaswa kutenga asilimia mbili ya mapato yake kwa ajili ya walemavu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV30 Dec
Majengo machakavu changamoto kwa walemavu Chuo Cha Ufundi Yombo
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia watu wenye ulemavu Dokta Abdallah Possi ameeleza kusikitishwa na hali aliyoikuta katika Chuo cha Ufundi Yombo kwa watu wenye ulemavu.
Katika ziara yake ya kwanza tangu ateuliwa kushika wadhifa huo, Dokta Possi amekuta uchakavu wa majengo ya chuo hicho sambamba na kumegwa kwa eneo la ukubwa wa ekari Tano.
Dk. Possi ambaye alifika chuoni hapo alianza kwa kukagua maeneo yanayozunguka chuo hicho na kujionea hali halisi ya chuo hicho kilichodaiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NUTDXOWsS4/XnOUOMoTFmI/AAAAAAALkek/vDBppIQbJTMQaXyyu2qXENuiYmi5aVcqwCLcBGAsYHQ/s72-c/99b625c4-e539-4c8c-a622-78ad9c5d861f.jpg)
SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.
Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...
10 years ago
Habarileo01 Dec
Shule ya walemavu Buhangija yaelemewa na changamoto
SHULE ya watoto wenye ulemavu ya Buhangija Jumuishi inakabiliwa na changamoto kubwa zinazofanya maisha kwa watoto hao kuwa magumu.
9 years ago
Habarileo23 Oct
Samia aahidi kubeba changamoto za walemavu
MGOMBEA Mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kushirikiana na watu wenye ulemavu katika kutatua changamoto zinazowakabili.
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Shule ya walemavu Buhangija Jumuishi yaelemewa na changamoto
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akimsikiliza kwa makini Mkuu wa kitengo cha watoto walemavu shule ya msingi Buhangija Jumuishi ya mkoani Shinyanga Mwl. Loyce Daudi aliyekuwa akimwelezea changamoto mbalimbali walizonazo shuleni hapo.(Picha na Zainul Mzige).
Na MOblog, Shinyanga
SHULE ya watoto wenye ulemavu ya Buhangija Jumuishi inakabiliwa na changamoto kubwa zinazofanya maisha kwa watoto hao...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xOY1FTblYL0/VTdBEfNcW3I/AAAAAAAHSb4/TW4kUw7i4Ic/s72-c/Pix%2B1.jpg)
Miradi inayokopesheka chanzo cha kupata Mkopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana — Riwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-xOY1FTblYL0/VTdBEfNcW3I/AAAAAAAHSb4/TW4kUw7i4Ic/s1600/Pix%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZSKFhkl36PQ/VTdBEVLmUvI/AAAAAAAHSbw/NelnzHcYeg8/s1600/Pix%2B2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/DSC_0162.jpg)
SHULE YA WALEMAVU BUHANGIJA JUMUISHI YAELEMEWA NA CHANGAMOTO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GutZeHmFpMul2JVAXVOIc9vA-OsVrVi-RAux-YVh2c0uWDZCx4TUhYDH5zN5lxl-9VZJnYl44xUEqvOlN66RqU*nguBKC0dw/PICT1.jpg?width=750)
AIRTEL KUENDELEA KUSAIDIA WALEMAVU HAPA NCHINI KWA KUWAONGEZEA VITENDEA KAZI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZZXh_k4kFbw/VFeNKsCCh1I/AAAAAAAGvUI/espvSNgIDLU/s72-c/Untitled.png)
Baraza la michezo ya Majeshi Tanzania ladhamiria kutatua changamoto ya michenzo nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZZXh_k4kFbw/VFeNKsCCh1I/AAAAAAAGvUI/espvSNgIDLU/s1600/Untitled.png)
Tanzania imekuwa haifanyi vizuri sana katika michezo mingi ya Kimataifa inayoshiriki kwa hivi sasa.Hii inatokana na changamoto nyingi zinanazoikabili Taifa miongoni mwake ikiwa ni kutokuwapo kwa michezo ya majeshi kama...