SHUKRANI KWA WALIOSHIRIKI KUMUUGUZA NA HATA MSIBA WA MPENDWA WETU HAPPY-SIANA APPIA KIRENGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-4cj-TeblCXw/U-4HmrxHOoI/AAAAAAAF_28/j-KKx1_YpUY/s72-c/New%2BPicture.jpg)
Happy-Siana Appia Kirenga
19.12.1966 - 5.07.2014
Familia ya Marehemu Mzee Appia Thomas Kirenga wa Machame Kisiki Moshi inayo heshima kubwa kutoa shukrani za dhati kabisa kwa ndugu, jamaa na marafiki ambao walishiriki kwa namna moja ama nyingine kufanikisha msiba, mazishi na hatimaye matanga ya mtoto/Dada yao mpendwa, Happy-Siana Appia Kirenga aliyefariki dunia usiku wa Jumamosi ya July 5 kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kuzikwa jirani na alipopumzishwa baba yake mzazi, nyumbani,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMWILI WA MPENDWA WETU SEBASTIAN MGIMBA WAPUMZISHWA KWA AMANI KATIKA MAKABURI YA KINONDONI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-avMHSeAYUQM/UzbyVfh6DRI/AAAAAAACeps/A36ut0Iz6sc/s72-c/michael.jpg)
WATANZANIA WENZETU WAMEZUIA KUCHOMWA MOTO KWA MPENDWA WETU MIKE LUKINDO MADISON, WISCONSIN
![](http://3.bp.blogspot.com/-avMHSeAYUQM/UzbyVfh6DRI/AAAAAAACeps/A36ut0Iz6sc/s1600/michael.jpg)
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-avMHSeAYUQM/UzbyVfh6DRI/AAAAAAACeps/A36ut0Iz6sc/s1600/michael.jpg?width=550)
WATANZANIA WENZETU WAMEZUIA KUCHOMWA MOTO KWA MPENDWA WETU MIKE LUKINDO MADISON, WISCONSIN
Watanzania Wisconsin wamezuia kuchomwa moto kwa mpendwa wetu Michael Lukindo aliyefariki Jumapili ya March 16, 2014 wameomba msaada kwa Watanzania wengine waishio Marekani na kokote pale Duniani kujitahidi kadri tuwezavyo tuweze kumstiri Mtanzania mwenzetu ghrama za mazishi ni $6,000 Jina la AC ni Memorial for late Mike Lukindo Benki ni Madison Chase Bank AC ni 579362299 Route ni 075000019 Tafadhali ndugu zangu,...
10 years ago
VijimamboShukrani kwa kutufariji katika msiba wa mama Delphina Muyinga Tanzania
Familia ya Jeffy Deo Nkanda wa Maryland U.S,tunapenda kuwashukuru Watanzania wote wa DMV na nyumbani Tanzania kwa kuja kutufariji katika kipindi hiki kigumu cha msiba wa mama yetu mpendwa Delphina Muyinga uliotokea November,2. Hatuna cha kuwalipa kwa fadhila zenu bali mwenyezi Mungu azidi kuwabariki na kuwazidishia kwa wema wenu.Bwana alitoa na sasa ametwa, ameni.
Juu na chini ni taswira mbalimbali za msiba wa mpendwa mama Delphina Muyinga![](http://3.bp.blogspot.com/-E0rJYGiGxcg/VHZqg5TPpGI/AAAAAAADOTc/XE3mYIQXxjc/s1600/DSC00590.JPG)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PRtsLWwFkkY/VHZqgfD7uqI/AAAAAAADOTg/YqsHb50VvfQ/s1600/DSC00637.JPG)
![](http://2.bp.blogspot.com/-o53SZI6pKSg/VHZqhN-43AI/AAAAAAADOTk/PcWOHPEhlGk/s1600/IMG_0188.JPG)
![](http://2.bp.blogspot.com/-P2hkvnABTow/VHZqmFg_J7I/AAAAAAADOT0/yEnx28FXVWA/s1600/IMG_0219.JPG)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xmnts_1BzgE/VHZqmTkurGI/AAAAAAADOT4/OwCMScHAeBk/s1600/IMG_0223.JPG)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ygCJ9Y1d3fc/UuxMIaIZHnI/AAAAAAACZnM/5m1BqXUofBo/s72-c/Zainab.jpg)
AROBAINI YA MPENDWA WETU ZAINAB BUZOHERA DMV
![](http://3.bp.blogspot.com/-ygCJ9Y1d3fc/UuxMIaIZHnI/AAAAAAACZnM/5m1BqXUofBo/s1600/Zainab.jpg)
Dullah na familia ya Buzohera inawataarifu kisomo cha arobaini ya mpendwa wao Zainab Buzohera itakayofanyika siku ya Jumapili Feb 9, 2014 kuanzia saa 7 mchana mpaka saa 11 jioni (1pm-5pm) katika mgahawa wa Tabeer uliopo Langley Park chini ya Mirage Hall anuani ni 1401 University Blvd, Hyattsville, MD 20783. Tunaomba wakina baba mchangie vinywaji na akina mama mchangie chakula ili kufanikisha siku hii ambayo ilianzia saa, siku, wiki, mwezi na siku 10...
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-ygCJ9Y1d3fc/UuxMIaIZHnI/AAAAAAACZnM/5m1BqXUofBo/s1600/Zainab.jpg?width=550)
FOURTY YA MPENDWA WETU ZAINAB BUZOHERA DMV
Zainab Buzohera enzi ya uhai wake. Dullah na familia ya Buzohera inawataarifu kisomo cha arobaini ya mpendwa wao Zainab Buzohera itakayofanyika siku ya Jumapili Feb 9, 2014 kuanzia saa 7 mchana mpaka saa 11 jioni (1pm-5pm) katika mgahawa wa Tabeer uliopo Langley Park chini ya Mirage Hall anuani ni 1401 University Blvd,
Hyattsville, MD 20783.
Tunaomba wakina baba mchangie vinywaji na akina mama mchangie chakula ili...
11 years ago
Michuzi09 Mar
MAZISHI YA MPENDWA WETU NI KESHO JUMAPILI MAKABURI YA KINONDONI
KWA WENZANGU WANA PAZI, DADA YETU CARO MWAISELAGE MBILINYI ANAZIKWA KESHO TAREHE 9 MARCH 2014 SAATISA MCHANA KWENYE MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR ES SALAAM. KABLA YA HAPO SHUGHULI ZA MISA ZITAFANYIKA KANISA LA KILUTHERIL UKONGA.
TUJITAHIDI KUMSINDIKIZA DADA YETU KWENYE SAFARI YAKE YA MWISHO.
KWA TAARIFA ZAIDI TUNAWEZA KUMPIGIA SIMU KAKA YAKE DR. JULIUS MWAISELAGE KWENYE NO. 255754764412 , MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-avMHSeAYUQM/UzbyVfh6DRI/AAAAAAACeps/A36ut0Iz6sc/s72-c/michael.jpg)
MICHANGO IMESHINDIKANA MPENDWA WETU MIKE LUKINDO IMEBIDI ACHOMWE MOTO MADISON, WISCONSIN
![](http://3.bp.blogspot.com/-avMHSeAYUQM/UzbyVfh6DRI/AAAAAAACeps/A36ut0Iz6sc/s1600/michael.jpg)
Watanzania wa Wisconsin wanapenda kutoa shukurani kwa wote waliojaribu kuokoa kutokuchomwa moto kwa ndugu yetu, mpendwa wetu Mike Lukindo na pamoja na jitihada zote zilizofanyika tunasikitika kuwataarifu kwamba mpendwa wetu ilibidi achomwe moto na jana Ijumaa April 4, 2014 majivu yake walikabidhiwa familia yake kwa mtoto wa kwanza wa marehemu kwenda kuchukua majivu hayo. Mpaka mazishi yafanyike zilikua zinahitajika $6,000 pamoja na michango ya sisi tuliopo...
10 years ago
VijimamboMAMIA WAHUDHURIA KATIKA MAZISHI YA MPENDWA WETU MAREHEMU MAMA ESTHER S. MWAIPASI NZOVWE MBEYA.
Mume wa Marehemu Esther Mwaipasi akiwa katika Majonzi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania