Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shukrani kwa kutufariji katika msiba wa mama Delphina Muyinga Tanzania

Familia ya Jeffy Deo Nkanda wa Maryland U.S,tunapenda kuwashukuru Watanzania wote wa DMV na nyumbani Tanzania kwa kuja kutufariji katika kipindi hiki kigumu cha msiba wa mama yetu mpendwa Delphina Muyinga uliotokea November,2. Hatuna cha kuwalipa kwa fadhila zenu bali mwenyezi Mungu azidi kuwabariki na kuwazidishia kwa wema wenu.Bwana alitoa na sasa ametwa, ameni. Juu na chini ni taswira mbalimbali za msiba wa mpendwa mama Delphina Muyinga

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SHUKRANI KWA WALIOSHIRIKI KUMUUGUZA NA HATA MSIBA WA MPENDWA WETU HAPPY-SIANA APPIA KIRENGA

Happy-Siana Appia Kirenga
19.12.1966 - 5.07.2014


Familia ya Marehemu Mzee Appia Thomas Kirenga wa Machame Kisiki Moshi inayo heshima kubwa kutoa shukrani za dhati kabisa kwa ndugu, jamaa na marafiki ambao walishiriki kwa namna moja ama nyingine kufanikisha msiba, mazishi na hatimaye matanga ya mtoto/Dada yao mpendwa, Happy-Siana Appia Kirenga aliyefariki dunia usiku wa  Jumamosi  ya July 5 kwenye Hospitali ya Taifa  ya Muhimbili na kuzikwa jirani na alipopumzishwa baba yake mzazi, nyumbani,...

 

11 years ago

Michuzi

Maendeleo ya Msiba wa Mama Kagaruki na Safari ya Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki kuelekea Tanzania

 Michango kwa ajili ya kufanikisha shughuli za msiba wa Marehemu Mama Harriette Peace Kagaruki aliyefariki dunia huko Philadelphia tarehe 28 April 2014 imekamilika. Mpaka sasa kiasi cha dolla 20,000 kimepatikana kama ifuatavyo:
·      Watanzania Marekani wametoa dolla 5,300 ·      Familia, ndugu na Jamaa wa Tanzania wametoa dolla 11,000 ·      Watoto wa Marehemu Erick na Mary Kagaruki wametoa kiasi kilichobakia cha dolla 3,700.   Watoto wa Marehemu Erick Kagaruki na Mary Kagaruki na...

 

9 years ago

Michuzi

MSIBA MAREKANI NA TANZANIA WA MAMA TAMALI MWAKYOMA

BJ and Hellen Mwakyoma (Gwantwa) Wa Chicago-IL anasikitika kutangaza kifo cha Mama yao Mama  Tamali Mwakyoma, Kilichotokea nchini India juzi October 17, 2015 alikokwenda kwa matibabu. Habari ziwafikie Ndugu jamaaa na Marafiki Popote Pale walipo.
BJ na Hellen wanatarajia kuondoka Marekani Jumanne kurudi Tanzania kwa Mazishi, ambapo shughuli za awali za msiba ziko nyumbani kwa marehemu Mikocheni jijini Dar es salaam, nyuma ya jengo la Kamisheni ya Vyuo Vikuu barabara ya Rose Garden. 
Kwa pole na...

 

10 years ago

Vijimambo

SHUKRANI KUTOKA KWA DR TEMBA KWENDA KWA NEW YORK TANZANIA COMMUNITY PAMOJA NA NDUGU NA MARAFIKI


Mwalimu Flavian Temba 6-09-2015 
To All: We wish to acknowledge the many expressions from friends and love one during this time bereavement. Words cannot express the strength you and the Diaspora and Bongo community have given us during this difficult time. 
May Mwalimu Flavian Temba's bright spirit live on in us all. Sincerely 
Temba Anicetus family



His wife, Salome Flavian Temba, family and friends giving blessing on his eternal journey in peace 

Godson Philip Kilewo, families, and...

 

9 years ago

Vijimambo

MSIBA DMV NA TANZANIA: MISA YA MAREHEMU MAMA GREN JUDICA MOSHI

C:\Users\Manase User\Downloads\IMG_9141.jpgGren J Moshi: Sunrise 15 FEB 1948 – Sunset 24 OCT 2015
Familia ya Herman Moshi inapenda kuwataarifu ndugu, jamaa na marafiki waishio DMV na vitongoji vyake kwamba misa ya kumuombea mpendwa mama yao Bibi Gren Judica Moshi itafanyika siku ya Jumapili November 1st 2015 kuanzia saa tisa na nusu mpaka saa kumi na moja (3:30 – 5:00pm) katika kanisa la Faith Moravian Church lililopo 405 Riggs Rd NE, Washington DC 20011.
Mama yetu mpendwa Gren alifariki dunia ghafla Tanzania, siku ya Jumamosi October...

 

11 years ago

Michuzi

CCM YATOA SHUKRANI KWA WANANCHI KUIMWAGA CHADEMA KATIKA UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI ULIOFANYIKA JANA

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewashukuru Watanzania kwa kukiamini na kukipatia ushindi wa kishindo katika uchaguzi mdogo wa udiwani uliofanyika jana katika kata 27 na CCM kushinda kata 23. 
Akitoa shukrani hizo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema leo kwamba siri ya CCM kuimwaga CHADEMA ni uadilifu katika kuwatumikia wananchi na kwamba, kushindwa kwa chama hicho ni ushahidi kwamba hakikubaliki na Watanzania wamewathibitishia kwamba hawajazoea vurugu. Nape alisema CCM...

 

10 years ago

Michuzi

MATUKIO MBALIMBLI KATIKA MSIBA WA MUFTI MKUU WA TANZANIA

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akitoa neno kwa umati wa waombolezaji katika msiba wa Mufti mkuu Issa Shaban Bin Simba nyumbani katika Mtaa wa Majengo mjini Shinyanga, baada ya mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya Nguzo Nane mjini humo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji mke wa aliyekuwa Mufti Mkuu wa Tanzania, Marehemu Shaaban Issa Bin Simba, Bi Makaje Goso, wakati...

 

11 years ago

Dewji Blog

Salamu za Bodi ya Filamu Tanzania katika msiba wa George Otieno Okumu

Tyson 1

Katibu Bodi ya Filamu  Bibi Joyce Fisoo akisoma salamu za rambirambi wakati wa kuuaga mwili wa aliyekua mtayarishaji wa filamu nchini George Otieno Okumu “Tyson” katika viwanja vya Leaders’ Kinondoni. Tyson alifariki mwishoni mwa wiki iliyopita kwa ajali ya gari.

Ndugu zangu nashindwa hata niseme nini kutokana na mfululizo wa misiba ya wanatasnia wenzetu, nashindwa kueleza simanzi kubwa niliyonayo, nakosa la kuongea ninabaki kusema kazi ya Mungu haina makosa katika yeye tumeubwa na yote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani