SHULE YA MSINGI RAMADHANI YANUFAIKA NA UJENZI WA BARABARA YA NJOMBE-MORONGA (KM 53.9)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nU8lIzNQ39g/Xliu8sFFqFI/AAAAAAALfzQ/WFJXeWdGpmMZuFVjAUX4FlvQ1uRF_btcACLcBGAsYHQ/s72-c/3-53.jpg)
Vyumba vya madarasa vikiwa vimekamilika ambavyo vimejengwa na mkandarasi CHICO anayejenga barabara ya Njombe- Makete sehemu ya Njombe -Moronga (Km 53.9). Ujenzi wa jengo hilo ni ahadi ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli aliyoitoa wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa barabara hiyo.
Muonekano wa ndani wa bwalo jipya la chakula ambalo limejengwa na mkandarasi CHICO anayejenga barabara ya Njombe- Makete sehemu ya Njombe -Moronga (Km 53.9). Ujenzi wa jengo hilo ni ahadi ya Rais Dkt....
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MFCxR6Ugj9U/XvBI8qGsw8I/AAAAAAALu24/JAChvLEWIEEzvDXlsG6ASq8y2TFTjom_ACLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-06-21-08h39m04s769.png)
Naibu waziri Uujenzi aagiza kipande cha barabara Njombe-Moronga kikamilishwe ifikapo mwezi Octoba Mwaka huu.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DG05ADX8PVw/VbePoJ3zC9I/AAAAAAAHsRU/0znpAyOSa9s/s72-c/01tabata.jpg)
TABATA SHULE YA MSINGI YANUFAIKA NA MSAADA WA MADAWATI 100 TOKA BENKI YA KCB TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-DG05ADX8PVw/VbePoJ3zC9I/AAAAAAAHsRU/0znpAyOSa9s/s640/01tabata.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-M3vrd9c-rNI/VbePovO2UfI/AAAAAAAHsRY/vMlLKRJPNOw/s640/02.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Shule ya msingi Kiimbwa Mkuranga yanufaika na msaada wa Madawati 100 toka KCB Benki
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kiimbwa iliyopo Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani Eugema Njau(kushoto) akipokea moja ya msaada wa madawati kati ya 100 toka kwa Ofisa Masoko wa Benki ya KCB Tanzania, Margaret Mhina (kulia) Msaada huo ni mwendelezo wa mradi wao wa kugawa madawati 1000 kwa shule za msingi. Wanaoshuhudia wapili kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa kijiji Ramadhani Bakari na Meneja wa benki hiyo tawi la Buguruni Luck Mwakitalu.
Ofisa wa Benki ya KCB Tanzania,Magret...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Serikali yasaka fedha ujenzi barabara ya Njombe-Ludewa
SERIKALI imesema inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Njombe hadi Ludewa Mjini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Ujenzi, Gerson Lwenge, wakati akijibu...
11 years ago
Michuzi23 Mar
MKUU WA MKOA WA NJOMBE AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA TENKI LA MAJI MWONGOLO MAKETE MJINI
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA MBANDE-KONGWA 16.5KM
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA MBANDE-KONGWA 16.5KM
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA MAYAMAYA — MELA-BONGA KM 188.15
10 years ago
Dewji Blog31 Jul
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aweka jiwe la msingi ujenzi wa Barabara ya Kia-Mererani, jijini Arusha
Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Magufuli, akizungumza kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal kuhutubia wananchi wa Mji mdogo wa Mererani, wakati wa hafla ya kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Barabara ya Kia-Mererani yenye Kilometa 26. Hafla hiyo imefanyika Julai 30, 2015. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wananchi wa Mji mdogo wa Mererani, wakati...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10