Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shuwari itaendelea zaidi Gaza?

Israel yasema huenda ikakubali kuzidisha muda wa kusitisha mapigano hadi usiku sana

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Shuwari Gaza kwa saa 12

Mapigano kusitishwa Gaza yawezesha wakuu kutoa maaiti zaidi chini ya vifusi na watu kutoka majumbani kutafuta chakula na majii

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel yafanya mashambulizi zaidi Gaza

Israel imefanya mashambulizi zaidi katika ukanda wa Gaza kufuatia shambulizi la makombora yaliyofanywa na kundi la Hamas Jumatatu.

 

11 years ago

BBCSwahili

KDF itaendelea kuwepo Somalia

Jeshi la Kenya lasema haliondoki Somalia hadi lihakikishe limeikomboa Somalia nzima.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkuya: Serikali itaendelea kukopa

WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Saada Mkuya Salum, amesema serikali  itaendelea kukopa  licha ya deni la taifa kuongezeka, lengo lilikwa ni kufungua fursa za kiuchumi zaidi. Pia ameelezea sababu  za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola :KQ itaendelea kuenda A.Magharibi

Kenya Airways inasisitiza itaendelea na safari kuelekea maeneo yenye Ebola licha ya shinikizo la wadau nchini Kenya.

 

11 years ago

Mwananchi

Chenge: Serikali itaendelea kukopa

Zikiwa zimebaki siku tano kabla ya kusomwa Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2014/15, mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge amesema Serikali haina fedha na ni lazima itegemee misaada kutoka nchi wahisani na kukopa ili kutekeleza bajeti hiyo.

 

5 years ago

Michuzi

Demokrasia itaendelea kuheshimiwa nchini


Na Eleuteri Mangi, WHUSM, Dodoma

Serikali inaendelea na zoezi la Kidemokrasia la wananchi kuboresha taarifa za wananchi kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga Kura ambazo zitatumika kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Mdiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2020.

Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi ameongoza zoezi hilo kwa Makatibu Wakuu leo Mei 04, 2020 hapa jijini Dodoma kuhakiki na kuhuisha taarifa zao katika ikizingatiwa...

 

10 years ago

Habarileo

JK: Serikali itaendelea kuboresha hospitali

Rais Jakaya KikweteSERIKALI imesema itaendelea kuboresha sekta ya afya nchini kwa kuboresha zahanati, vituo vya afya, hospitali za wilaya, rufaa na vyuo vinavyotoa taaluma ya uuguzi na udaktari.

 

10 years ago

Habarileo

Shein: SMZ itaendelea kusambaza umeme

Dk SheinRAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amezindua mradi wa umeme katika kijiji cha Dongongwe Mkoa wa Kusini Unguja na kusema serikali ina wajibu wa kupeleka kwa wananchi huduma bora za kijamii, kiuchumi na maendeleo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani