SIKU RAIS WA ZANZIBAR ALIPONG’OLEWA MADARAKANI
![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGH8-bskOY9FZqCKHd-FmQm0CrkXRgxN0IvZ417J280h7o2G-kAM1tn5bDMe5fVcNCIlNoXkKHRzEVSqgnTAjS2Q/jumbe.jpg?width=650)
Sheikh Aboud Jumbe Mwinyi, Mwaka 1984, Rais wa Zanzibar, Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, na Makamo wa Pili wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Sheikh Aboud Jumbe Mwinyi, aling’olewa madarakani baada ya kulazimishwa kujiuzulu katika Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma akishutumiwa kutaka kuvunja Muungano. Kitendo hiki kimekuwa kikichukuliwa na Wazanzibari kama udhalilishaji mkubwa kwa nchi na heshima yao na msimamo wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Spika Eala ang’olewa madarakani
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3SsSDupeM_U/VjYvKOnhbuI/AAAAAAAID3c/sJwVT4igOIo/s72-c/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
Taarifa rasmi ya Serikali ya Zanzibar kuhusu vifungu vya sheria juu ya uhalali wa Rais kuendelea kuwepo madarakani
![](http://4.bp.blogspot.com/-3SsSDupeM_U/VjYvKOnhbuI/AAAAAAAID3c/sJwVT4igOIo/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
5 years ago
CCM BlogRAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AWASILI ZANZIBAR AKITOKEA PEMBA BAADA YA KUMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU PEMBA.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-pFC97wJAN8g/VWg2gzypW9I/AAAAAAAALX8/iJFBWXEMPQU/s72-c/villa%2B3.jpg)
TANGULIA KWA AMANI SHEIKH OMAR ALHADY ULIYEDUMU SIKU 10 TU MADARAKANI!
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/05/vila-5.jpg)
Sheikh Omar Alhady
Mwenyekiti mpya wa Villasquad, Sheikh Omar Alhady amefariki dunia juzi katika hospital ya Taifa ya Muhimbili akisumbuliwa na tatizo la figo.Rais mstaafu wa awamu ya pili, Alhaj Ally Hassan Mwinyi aliongoza mazishi yaliyofanyika jana jijini Dar es salaam.Sheikh omary alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa klabu katika mkutano mkuu wa wanachama uliofanyika mwezi huu tarehe 17 na amedumu kwa siku kumi tu (10) tangu achaguliwe.
![](http://2.bp.blogspot.com/-pFC97wJAN8g/VWg2gzypW9I/AAAAAAAALX8/iJFBWXEMPQU/s640/villa%2B3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC1422AAA-768x413.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AONGOZA DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME ILIOFANYIKA VIWANJA VYA AFISI KUU YA CCM ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s640/DSC1422AAA-768x413.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC1428AAAA-1024x609.jpg)
10 years ago
BBCSwahili31 Oct
Rais wa Burkina Faso ameng'olewa mamlakani
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
JK: Mfumo wa Rais kung’atuka madarakani ni mzuri
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mabalozi wa Afrika wanaoziwakilkisha nchi zao nchini China wakati alipokutana nao jijini Beijing China leo asubuhi.Raius Kikwete yupo nchini China kwa ziara ya kiserikali.(picha na Freddy Maro).
. Unatoa nafasi kwa nchi kupata mawazo na fikra mpya
.Anaamini Tanzania itapata Rais bora zaidi wa kumrithi yeye
. Atamani muda wake umalizike akalee wajukuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa mfumo...
9 years ago
Mwananchi03 Sep
Sera kumweka Rais madarakani - utafiti Twaweza
10 years ago
Michuzi05 Dec
Rais Mugabe wa Zimbabwe asema 'Sing'atuki ng'o!' madarakani
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/07/04/140704060731_mugabe_mashamba_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amelaumu watu fulani ndani ya chama tawala cha ZANU-PF kwamba wanapanga kumng'atua mamlakani.
Akihutubia kongamano la chama hicho, Mugabe amesema kuwa kuna majaribio ya kuwahonga wajumbe kumpinga kama kiongozi, lakini wajumbe hawawezi kupokea hongo.
Kwa hilo amesema kuwa atapambana na rushwa ndani ya chama na kukabiliana na maafisa wa chama ambao kazi yao ni kutoa hongo.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/04/141204173006_congress_1.jpg)
Hasira ya Mugabe...