Siku ya Vijana Duniani 2014
Iyd Swahili by moblog
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi11 Aug
SIKU YA VIJANA DUNIANI KUFANYIKA AGOSTI 24, 2014
![Picha no 1](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/djLYJ28hsrvBA7m9stUALdzcafAHmv-auL9QflvnYdUkJV_M761pN3MH4UpGbEQVAw1oD2PXpHWKnxZSwo1CYa1kbtNywfxWgfK1uN9pWv8AFRxNF4x1pZuFsEgIuA=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/Picha-no-1.jpg)
NI NA MICHEZO DKT FENELLA MUKANGARASiku ya Vijana Duniani itafanyika tarehe 12 Agosti, 2014 ikiwa na lengo la kuyafanya masuala mbalimbali ya vijana kutambulika katika jamii ya Kimataifa. Mwaka huu, ujumbe ni “Vijana na Afya Kiakili”. Tarehe hii iliamuliwa kuwa Siku ya Vijana Duniani na Umoja wa Mataifa mwaka 1999. Hii ni Siku maalum inayodhihirisha kutambua kazi muhimu zinazofanywa na vijana na umuhimu wake katika jamii pamoja na kuwapa fursa kwa ajili ya...
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Kongamano la Vijana mkoani Mbeya wakati wa kuadhimisha siku ya vijana duniani
Mgeni rasmi ambaye ni Afisa Vijana Halmashauri jiji la Mbeya Onah Temu akitoa hotuba katika siku ya Vijana Duniani ambayo kwa Mkoa wa Mbeya ilifanyikia Ukumbi wa Chuo kikuu Cha Mzumbe Kampasi ya Mbeya.
Vijana wakisikiliza kwa makini watoa mada kaika sherehe hiyo iliyofanyika ukumbi wa Mzumbe Mbeya.
Mratibu wa Mradi wa Restless Fadhiri Mtanga akitoa mada kuhusu Maendeleo ya Vijana.
Wakili Stephen John akiwashauri vijana kuto tumika na wanasiasa.
Muwezeshaji wa Sherehe hiyo ya...
10 years ago
VijimamboKONGAMANO LA VIJANA MKOANI MBEYA WAKATI WA KUAZIMISHA SIKU YA VIJANA DUNIANI
Mgeni Rasmi ambaye ni Afisa Vijana Halmashauri jiji la Mbeya Onah Temu akitoa hotuba katika siku ya Vijana Duniani ambayo kwa Mkoa wa Mbeya ilifanyikia Ukumbi wa Chuo kikuu Cha Mzumbe Kampasi ya Mbeya.
11 years ago
Bongo512 Aug
Siku ya Vijana Duniani: ‘Vijana na Afya ya Akili’, Tusipokabiliana na ukosefu wa ajira na kupewa nguvu ya maamuzi, hatutaweza
10 years ago
GPLDAR YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA VIJANA DUNIANI
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-ZoC0GtRwOvs/VDae6ha8ilI/AAAAAAAAMSQ/vfq7v-lTxyA/s1600/Prof%2BJohn%2BNkoma%2BWPD%2B2014.jpg)
UFUNGUZI WA MAADHIMISHO SIKU YA POSTA DUNIANI OKTOBA 9-2014
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gaZ5b0Nc6Zs/U6L831d_ZPI/AAAAAAAFrwc/h8m3flf1Wrk/s72-c/Untitled.png)
SIKU YA WAKIMBIZI DUNIANI KUADHIMISHWA TAREHE 20 JUNI, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-gaZ5b0Nc6Zs/U6L831d_ZPI/AAAAAAAFrwc/h8m3flf1Wrk/s1600/Untitled.png)
Kufuatana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni “Familia moja kusambaratika na vita ni wengi mno” au kwa Kiingereza “1 family torn apart by war is too many”.
Taarifa hiyo...
10 years ago
VijimamboSIKU YA KIMATAIFA YA VIJANA DUNIANI YAADHIMISHWA KWENYE VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SSuzqTVmlbo/Uyyje1BEtuI/AAAAAAAFVk8/9MbccHberWk/s72-c/tma-jan2-2014(2).jpg)
Maadhimisho ya Siku ya Hali ya Hewa Duniani Tarehe 23 Machi, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-SSuzqTVmlbo/Uyyje1BEtuI/AAAAAAAFVk8/9MbccHberWk/s1600/tma-jan2-2014(2).jpg)