Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simanjiro kuchimba mabwawa kuzuia ufugaji wa kuhamahama

Wilaya ya Simanjiro, mkoani Manyara ni miongoni mwa wilaya zenye wakazi wengi wanaotegemea ufugaji kama shughuli kuu ya uchumi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Kuhamahama hurudisha nyuma maendeleo’

Wafugaji wa kitongoji cha Kwebamba, katika Jimbo la Uchaguzi la Bumbuli, wilayani Lushoto, wameanza kutumia mifugo yao kama chachu ya kujiletea maendeleo katika kitongoji chao na kuacha tabia ya kutegemea Serikali na kuhamahama kama ilivyokuwa hapo awali.

 

10 years ago

StarTV

Wenye shughuli za kuhamahama wako hatarini zaidi kupata VVU:

 

Utafiti ulioendeshwa na Taasisi ya Kimataifa inayojihusisha na usafirishaji haramu wa binadamu IOM kwa ushirikiano na Jumuiya ya nchi za Kusini mwa Afrika SADC unaonesha kuwa jamii kubwa inayofanya shughuli za kiuchumi kwenye maeneo ya bandari iko kwenye hatari ya kuambukizwa ugonjwa wa UKIMWI kutokana na kutokuwepo kwa mtandao unaotoa elimu ya kupambana na ugonjwa huo kwenye mazingira yao.

Taarifa hiyo inasema, elimu juu ya matumizi ya kinga bado ni changamoto kwa jamii hiyo hivyo wengi...

 

10 years ago

Raia Mwema

Hivi Baba kipindi cha watu kuhamahama na kusajiliwa katika timu mpya kinakwisha lini?

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabwawa ya SENAPA yakauka

WAFUGAJI wa mifugo wa vijiji vya Mangucha, Kegonga, Masanga na Gibaso, kata za Nyarukoba, Gorong’a na Nyanungu wamelazimika kuingiza mifugo yao katika Bonde la Nyanungu lililomo ndani ya Hifadhi ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Samia aahidi ujenzi wa mabwawa

Pg 2 sept 1Patricia Kimelemeta, Dodoma

CHAMA Cha Mapinduzi(CCM), kimeahidi kujenga mabwawa makubwa ya maji ili kuondoa tatizo la maji lililopo mkoani hapa.

Akizungumza wakati  wa mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Bahi mkoani Dodoma jana, mgombea mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan alisema  uamuzi huo unalenga kumaliza kero ya maji ya muda mrefu ambayo imesababisha wananchi kukosa huduma hiyo.

Alisema kutokana na matatizo ya ukame yaliyopo katika mkoa huo, Serikali ya awamu ya tano itakayoongozwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mabwawa Vingunguti kuanza kuzalisha gesi

WAKAZI wa Mtaa wa Mjimpya, kata ya Vingunguti, Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam wako mbioni kuanza kunufaika na mradi wa uzalishaji wa gesi inayotokana na majitaka ya vyoo vyao na yale ya yaliyo katika mabwawa makubwa ya kuhifadhia maji taka yaliyo katika eneo hilo.

 

11 years ago

Habarileo

Mabwawa ya kuhifadhi maji ya mvua yaendelea kujengwa

KATIKA kutekeleza mkakati wa kuhakikisha maji ya mvua yanahifadhiwa, serikali inaendelea na ujenzi na ukarabati wa mabwawa katika maeneo mbalimbali Nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vyumba vya upasuaji vya Kuhamahama Uganda

Juhudi za kupambana na gonjwa la ukimwi umepelekea uzinduzi wa kliniki inayotembea kwa lengo kufikisha huduma ya tohara maeneo ya vijijini

 

11 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani