Simanjiro kuchimba mabwawa kuzuia ufugaji wa kuhamahama
Wilaya ya Simanjiro, mkoani Manyara ni miongoni mwa wilaya zenye wakazi wengi wanaotegemea ufugaji kama shughuli kuu ya uchumi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 Jul
‘Kuhamahama hurudisha nyuma maendeleo’
10 years ago
StarTV23 Sep
Wenye shughuli za kuhamahama wako hatarini zaidi kupata VVU:
Utafiti ulioendeshwa na Taasisi ya Kimataifa inayojihusisha na usafirishaji haramu wa binadamu IOM kwa ushirikiano na Jumuiya ya nchi za Kusini mwa Afrika SADC unaonesha kuwa jamii kubwa inayofanya shughuli za kiuchumi kwenye maeneo ya bandari iko kwenye hatari ya kuambukizwa ugonjwa wa UKIMWI kutokana na kutokuwepo kwa mtandao unaotoa elimu ya kupambana na ugonjwa huo kwenye mazingira yao.
Taarifa hiyo inasema, elimu juu ya matumizi ya kinga bado ni changamoto kwa jamii hiyo hivyo wengi...
10 years ago
Raia Mwema19 Aug
Hivi Baba kipindi cha watu kuhamahama na kusajiliwa katika timu mpya kinakwisha lini?
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Mabwawa ya SENAPA yakauka
WAFUGAJI wa mifugo wa vijiji vya Mangucha, Kegonga, Masanga na Gibaso, kata za Nyarukoba, Gorong’a na Nyanungu wamelazimika kuingiza mifugo yao katika Bonde la Nyanungu lililomo ndani ya Hifadhi ya...
10 years ago
Mtanzania01 Sep
Samia aahidi ujenzi wa mabwawa
Patricia Kimelemeta, Dodoma
CHAMA Cha Mapinduzi(CCM), kimeahidi kujenga mabwawa makubwa ya maji ili kuondoa tatizo la maji lililopo mkoani hapa.
Akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Bahi mkoani Dodoma jana, mgombea mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan alisema uamuzi huo unalenga kumaliza kero ya maji ya muda mrefu ambayo imesababisha wananchi kukosa huduma hiyo.
Alisema kutokana na matatizo ya ukame yaliyopo katika mkoa huo, Serikali ya awamu ya tano itakayoongozwa...
10 years ago
Habarileo09 Sep
Mabwawa Vingunguti kuanza kuzalisha gesi
WAKAZI wa Mtaa wa Mjimpya, kata ya Vingunguti, Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam wako mbioni kuanza kunufaika na mradi wa uzalishaji wa gesi inayotokana na majitaka ya vyoo vyao na yale ya yaliyo katika mabwawa makubwa ya kuhifadhia maji taka yaliyo katika eneo hilo.
11 years ago
Habarileo07 May
Mabwawa ya kuhifadhi maji ya mvua yaendelea kujengwa
KATIKA kutekeleza mkakati wa kuhakikisha maji ya mvua yanahifadhiwa, serikali inaendelea na ujenzi na ukarabati wa mabwawa katika maeneo mbalimbali Nchini.
10 years ago
BBCSwahili31 Mar
Vyumba vya upasuaji vya Kuhamahama Uganda
11 years ago
Michuzi