Mabwawa ya SENAPA yakauka
WAFUGAJI wa mifugo wa vijiji vya Mangucha, Kegonga, Masanga na Gibaso, kata za Nyarukoba, Gorong’a na Nyanungu wamelazimika kuingiza mifugo yao katika Bonde la Nyanungu lililomo ndani ya Hifadhi ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo29 Dec
Benki ya Damu Arusha yakauka
HOSPITALI ya mkoa wa Arusha, Mount Meru, inakabiliwa na upungufu mkubwa wa damu salama kwa ajili ya kuokoa maisha ya wagonjwa wanaohitaji huduma hiyo.
10 years ago
Mtanzania01 Sep
Samia aahidi ujenzi wa mabwawa
Patricia Kimelemeta, Dodoma
CHAMA Cha Mapinduzi(CCM), kimeahidi kujenga mabwawa makubwa ya maji ili kuondoa tatizo la maji lililopo mkoani hapa.
Akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Bahi mkoani Dodoma jana, mgombea mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan alisema uamuzi huo unalenga kumaliza kero ya maji ya muda mrefu ambayo imesababisha wananchi kukosa huduma hiyo.
Alisema kutokana na matatizo ya ukame yaliyopo katika mkoa huo, Serikali ya awamu ya tano itakayoongozwa...
10 years ago
Habarileo09 Sep
Mabwawa Vingunguti kuanza kuzalisha gesi
WAKAZI wa Mtaa wa Mjimpya, kata ya Vingunguti, Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam wako mbioni kuanza kunufaika na mradi wa uzalishaji wa gesi inayotokana na majitaka ya vyoo vyao na yale ya yaliyo katika mabwawa makubwa ya kuhifadhia maji taka yaliyo katika eneo hilo.
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Simanjiro kuchimba mabwawa kuzuia ufugaji wa kuhamahama
11 years ago
Habarileo07 May
Mabwawa ya kuhifadhi maji ya mvua yaendelea kujengwa
KATIKA kutekeleza mkakati wa kuhakikisha maji ya mvua yanahifadhiwa, serikali inaendelea na ujenzi na ukarabati wa mabwawa katika maeneo mbalimbali Nchini.
9 years ago
Michuzi
WATAALAMU WATEMBELEA VYANZO VYA MAJI YA MABWAWA YA KUZALISHA UMEME
5 years ago
Michuzi
DKT KALEMA NA MHE.ZUNGU WAKAGUA MABWAWA YA KIDATU NA MTERA

Waziri wa Nishati Dkt.Medard Kalemani (wa pili kulia) Waziri wa Nchi Ofisi wa Makamu Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Hassan Zungu,(wa tatu kulia) na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Mhandisi Zena Said(wa kwanza kulia) wakiwasili kwenye ukaguzi wa Bwawa la Mtera ambalo lipo Mkoani Iringa, tarehe 7 Mei mwaka huu.

10 years ago
Vijimambo
MABWAWA YA MAJI TAKA ENEO LA VINGUNGUTI KUANZA KUZALISHA GESI


10 years ago
Michuzi
MABWAWA YA MAJI TAKA ENEO LA VINGUNGUTI KUANZA KUZALISHA GESI.

