Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samia aahidi ujenzi wa mabwawa

Pg 2 sept 1Patricia Kimelemeta, Dodoma

CHAMA Cha Mapinduzi(CCM), kimeahidi kujenga mabwawa makubwa ya maji ili kuondoa tatizo la maji lililopo mkoani hapa.

Akizungumza wakati  wa mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Bahi mkoani Dodoma jana, mgombea mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan alisema  uamuzi huo unalenga kumaliza kero ya maji ya muda mrefu ambayo imesababisha wananchi kukosa huduma hiyo.

Alisema kutokana na matatizo ya ukame yaliyopo katika mkoa huo, Serikali ya awamu ya tano itakayoongozwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Samia aahidi mbadala wa mv Bukoba

Ikiwa imepita miaka 19 tangu meli ya Mv Bukoba ilipozama na kugharimu maisha ya zaidi ya abiria 1,000, wakazi wa Bukoba wamepata matumaini baada ya kuahidiwa meli mpya.

 

10 years ago

Habarileo

Samia aahidi makubwa wa bodaboda

MGOMBEA mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuanzisha madawati maalumu katika Manispaa za Dar es Salaam kwa ajili ya kusajili madereva wa bodaboda na bajaji, iwapo chama chake kitachaguliwa katika uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Samia aahidi ajira kwa 40% ya vijana

MGOMBEA mwenza wa urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassan, amesema katika ilani ya CCM ya awamu ya serikali ya tano, wameahidi kutoa ajira kwa asilimia 40 ya vijana ambazo zitatokana na viwanda, vikubwa na vidogo.

 

10 years ago

Habarileo

Samia aahidi kubeba changamoto za walemavu

MGOMBEA Mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kushirikiana na watu wenye ulemavu katika kutatua changamoto zinazowakabili.

 

10 years ago

Habarileo

Samia aahidi neema kwa walima korosho

ILANI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa awamu ya tano ya Serikali, imejipanga kuweka bei nzuri na ya uhakika kwa wakulima wa korosho na ufuta nchini. Hayo yalisemwa mjini hapa katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassan.

 

10 years ago

Habarileo

Samia aahidi kujenga chuo cha mafunzo Kwimba

MGOMBEA mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan amewaahidi wananchi wa Jimbo la Kwimba mkoani Mwanza kuwa Serikali ya awamu ya tano ya CCM itawajengea Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta) ili kuwapatia fursa vijana wa jimbo hilo kupata mafunzo ya ufundi.

 

10 years ago

Michuzi

UJENZI WA BARABARA YA LAMI KUUNGANISHA MIKOA YA MBEYA NA RUKWA WAKAMILIKA, WAZIRI WA UJENZI AAHIDI SERIKALI KUKAMILISHA KUUNGA PIA MIKOA YA KATAVI, KIGOMA NA TABORA...

Barabara ya Tunduma-Ikana-Laela hadi Sumbawanga ikiwa imekamilika kwa asilimia mia moja (100%), barabara hii ambayo ni kiungo muhimu cha Mikoa ya Mbeya, Rukwa, Katavi, Kigoma na Tabora imejegwa kwa ushirikiano wa Serikali ya Tanzania na Msaada kutoka kwa watu wa Marekani.Waziri wa Wizara ya Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Mjini Sumbawanga tarehe 02/02/2015 katika viwanja vya Nelson Mandela akiwa ziarani Mkoani Rukwa kukagua ujenzi unaoendelea wa barabara za lami za...

 

10 years ago

Michuzi

BI. SAMIA SULUHU AAHIDI NEEMA KWA WAKAZI WA MUSOMA MKUTANO WA KAMPENI...!


Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Mwasenge, Jimbo la Musoma Mjini. Katika hotuba yake aliwaomba wanaMusoma kuichagua CCM ili iweze kuunda Serikali kwani imepanga kuboresha huduma mbalimbali za kijamii pamoja na ujenzi wa miundombinu eneo hilo itakayochangia kukua kwa biashara anuai.
 Alisema Serikali itakayoundwa na CCM imepanga kujenga maeneo ya kisasa ya maegesho ya meli (magati) Musoma na...

 

10 years ago

Mwananchi

Magufuli aahidi ujenzi wa madaraja, barabara za juu

Mgombea wa urais kupitia CCM, Dk John Magufuli ameahidi kulibadili jiji la Dar es Salaam kwa kujenga barabara za lami na kutatua tatizo sugu la foleni kupitia ujenzi wa madaraja na barabara za juu maarufu kama ‘flyovers’.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani