Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba kuwakosa wawili Jumamosi

WEKUNDU wa Msimbazi Simba, wanaotarajiwa kuwavaa maafande wa JKT Oljoro kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, huenda wakawakosa nyota wao wawili; Joseph Owino na Nassor Masoud ‘Cholo’. Akizungumza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YANGA, SIMBA JUMAMOSI

Simba SC Mechi ya "Nani Mtani Jembe" kati ya Yanga SC na timu ya Simba SC itafanyika siku ya Jumamosi katika dimba la Uwanja wa Taifa huku maandalizi yote yakiwa yamekamilika na Shirikisho la Mpira Miguu nchini  Tanzania (TFF) likitangaza Viingilio vya mchezo huo bei ya juu ni Tshs 40,000/=. Yanga SC. Akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya shirikisho Kaimu Katibu Mkuu wa TFF Bw. Boniface Wambura amesema wao...

 

9 years ago

Mwananchi

Wawili Simba ‘wauzwa’ Senegal

Washambuliaji wawili raia wa Senegal walioshindwa majaribio kwenye klabu ya Simba, Papa Niang na Pape N’daw wamewataja Awadh Juma na Simon Sserunkuma kuwa ni wachezaji tishio.

 

11 years ago

GPL

Simba SC yasajili Warundi wawili

Mshambuliaji mwenye kasi, Amissi Cedric. Na Sweetbert Lukonge
KAZI ya usajili imeanza na Simba wanaonekana kuwa na kasi kubwa baada ya kuanza mazungumzo na wachezaji wawili wanaokipiga kwenye timu ya taifa ya Burundi na mambo yanakwenda vizuri.
Simba iko katika hatua za mwisho kuwatia mkononi Warundi wawili baada ya kuwaona wakifanya vema katika mechi ya kirafiki dhidi ya Taifa Stars iliyochezwa juzi Jumamosi kwenye Uwanja wa...

 

11 years ago

GPL

SIMBA KUCHEZA NA MTIBWA TAIFA JUMAMOSI

Kikosi cha Simba Sc. Simba SC itacheza mchezo wa kirafiki na Mtibwa Sugar ya Morogoro siku ya Jumamosi wiki hii Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mchezo huo unakuja siku chache baada ya timu ya Simba kushika nafasi ya pili kwenye Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar, kufuatia kufungwa 1-0 na KCC ya Uganda Jumatatu wiki hii, Uwanja wa Amaan, Unguja.

 

10 years ago

Michuzi

Simba, Kagera vita mpya Taifa jumamosi hii

Baada ya mapumziko ya karibu miezi miwili, vumbi la Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuanza kutimka tena kuanzia jumamosi hii kwa pambano moja litakalochezwa kwenye uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam kwa kuzikutanisha timu za Simba na Kagera Sugar. Simba ambayo imelitumia vyema dirisha dogo la usajili kwa kufanya usajili wa baadhi ya nyota kuimarisha kikosi chao itaivaa Kagera ikitokea Zanzibar ilipokuwa imeweka kambi yao tangu Jumapili iliyopita.
Mabingwa hao wa zamani katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani