Simba kuwakosa wawili Jumamosi
WEKUNDU wa Msimbazi Simba, wanaotarajiwa kuwavaa maafande wa JKT Oljoro kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, huenda wakawakosa nyota wao wawili; Joseph Owino na Nassor Masoud ‘Cholo’. Akizungumza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bquVoc42xDNVeYlBPlvHdu6Q4dJ6todoJr*BPnjybI9OEz9697mzzDmnKOMZs1rshMoPaTGJic6J5rAWdIz1kOYSy6M64pRw/SIMBAFC.jpg?width=650)
YANGA, SIMBA JUMAMOSI
Simba SC Mechi ya "Nani Mtani Jembe" kati ya Yanga SC na timu ya Simba SC itafanyika siku ya Jumamosi katika dimba la Uwanja wa Taifa huku maandalizi yote yakiwa yamekamilika na Shirikisho la Mpira Miguu nchini  Tanzania (TFF) likitangaza Viingilio vya mchezo huo bei ya juu ni Tshs 40,000/=. Yanga SC. Akiongea na waandishi wa habari makao makuu ya shirikisho Kaimu Katibu Mkuu wa TFF Bw. Boniface Wambura amesema wao...
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Wawili Simba ‘wauzwa’ Senegal
Washambuliaji wawili raia wa Senegal walioshindwa majaribio kwenye klabu ya Simba, Papa Niang na Pape N’daw wamewataja Awadh Juma na Simon Sserunkuma kuwa ni wachezaji tishio.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6aHSoyQUx37zGZm61F9FU6I-8am5vlocDohjzOkLkqJ1eJumeYi69*eiDg1BCamQupeb2pCmwAOfgestbEd4MU9/filedinbeautifulflowers.jpg?width=650)
Simba SC yasajili Warundi wawili
Mshambuliaji mwenye kasi, Amissi Cedric. Na Sweetbert Lukonge
KAZI ya usajili imeanza na Simba wanaonekana kuwa na kasi kubwa baada ya kuanza mazungumzo na wachezaji wawili wanaokipiga kwenye timu ya taifa ya Burundi na mambo yanakwenda vizuri.
Simba iko katika hatua za mwisho kuwatia mkononi Warundi wawili baada ya kuwaona wakifanya vema katika mechi ya kirafiki dhidi ya Taifa Stars iliyochezwa juzi Jumamosi kwenye Uwanja wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOKpUcWNJ7gv2-3PqynyjfYgmTTuFKV14FzXrAGNzneecjKfoYqSR6VRBXjX12w-64miLL9CQSfbqsSYrRKTUZyv/simbasc.jpg?width=650)
SIMBA KUCHEZA NA MTIBWA TAIFA JUMAMOSI
Kikosi cha Simba Sc. Simba SC itacheza mchezo wa kirafiki na Mtibwa Sugar ya Morogoro siku ya Jumamosi wiki hii Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mchezo huo unakuja siku chache baada ya timu ya Simba kushika nafasi ya pili kwenye Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar, kufuatia kufungwa 1-0 na KCC ya Uganda Jumatatu wiki hii, Uwanja wa Amaan, Unguja.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LZOLEZjio08/VJws62XIDrI/AAAAAAAG5yc/J989pvFI-BM/s72-c/2.jpg)
Simba, Kagera vita mpya Taifa jumamosi hii
![](http://4.bp.blogspot.com/-LZOLEZjio08/VJws62XIDrI/AAAAAAAG5yc/J989pvFI-BM/s1600/2.jpg)
Mabingwa hao wa zamani katika...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/LXCUWCrbopw/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania