simba SC dume, ukawa kimyaa
Mshambuliaji waSimba,raia wa Uganda Emmanuel Okwi.
Na Ibrahim Mussa
BAADA ya matokeo ya sare sita mfululizo, hatimaye Simba imepata ushindi wake wa kwanza katika mechi ya saba kwa kuifunga Ruvu Shooting bao 1-0 katika Ligi Kuu Bara, jana, kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Ushindi huo uliwazima kabisa mashabiki wa kundi maarufu la wanachama waliosimamishwa uanachama la Simba Ukawa ambao wamekuwa wakidai Simba itatoa sare saba mfululizo na mambo yatakuwa mabaya zaidi kama...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
Simba dume lao
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Ugonjwa wa mifupa unaoshambulia kimya kimya (2)
WIKI iliyopita tuliona jinsi Anna alivyovunjika mifupa miwili ya mgongo, hali iliyosababishwa na ugonjwa wa mifupa yaani “Osteoporosis”. Ugonjwa huu ilisababishwa na kujinyima chakula, ili aendelee kwa Mwanamitindo anayevutia zaidi....
9 years ago
Bongo504 Dec
Picha: Diamond amleta Godfather Dar kushoot video zake ‘kimya kimya’

Diamond Platnumz ameamua kumleta muongozaji wa video zake, Mike Ogoke maarufu kama Godfather na timu yake kuja kufanya video zake jijini Dar es Salaam.
Diamond akiwa na msaidizi wa Godfather, Mike Dube jijini Dar
Muongozaji huyo na timu yake ipo jijini Dar kwa siku ya tano tayari na siku zote hizo imekuwa ikifanya kazi. Ofcourse Diamond na Godfather hawajasema chochote kuhusiana na hilo lakini msaidizi wake Mike Dube ameumwaga ubuyu.
Kwenye Instagram, Dube amepost picha ya pontoni la...
10 years ago
GPL
Simba Ukawa wakubali kuishangiliaYanga SC
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
‘Simba Ukawa’ sasa wamponza Idd Pazi
TIMU ya Simba juzi usiku iliondoka nchini kwenda Afrika Kusini kwa kambi kuelekea mechi dhidi ya Yanga, itakayopigwa Oktoba 18 Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam huku Kocha wa...
10 years ago
Michuzi
Hans Pope: Simba Ukawa futeni kesi mahakamani!

.jpg)
MWENYEKITI wa kamati ya usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope amewataka Simba ukawa kufuta kesi iliyopo mahakamani ili wawarejeshee uwanachama wao. Pope alisema leo kuwa hawana ugomvi na Ukawa, na kwamba uongozi uliopo madarakani upo tayari kuwarudisha Ukawa na kuwa kitu kimoja kwa maslahi ya kuijenga Simba. "Ukawa ni matawi mawili ya Mpira Pesa na Mpira maendeleo, nimeshakutana na mpira pesa nikazungumza nao, nimewashauri wawasiliane na wenzao wakafute kesi ili tuungane na tuwe kitu kimoja...
10 years ago
CloudsFM09 Apr
Miili ya mashabiki wa Simba Ukawa yasafirishwa kutoka Morogoro kwenda Dar
Miili ya wanachama saba wa klabu ya Simba maarufu kama Simba Ukawa waliofariki mwishoni mwa wiki iliyopita mkoani Morogoro kwa ajali ya gari wakielekea mkoani Shinyanga kuishangalia timu yao imesafirishwa kuelekea jijini Dar.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar19 Sep
Huu ni mwaka dume!
Na Rashid Abdallah Ndio! Ni kweli! Halinashaka kabisa! Kuwa CCM na raisi Jakaya na watangulizi wake wameshindwa kabisa kuikwamua Tanzania. Kama ni jahazi basi tungesema jahazi la CCM limelala upande mmoja na wala si ajabu kuwa […]
The post Huu ni mwaka dume! appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Michuzi
mwandani wa saratani ya tezi dume
