Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba dume lao

Wachezaji wa Simba wakishangilia goli. Daudi Julian na Musa Mateja, Morogoro  KOCHA wa Simba, Goran Kopunovic, jana aliamua kuonyesha jeuri kwa mashabiki wa Yanga baada ya kuwaambia ‘tulieni-tulieni’ kisha kuwaonyesha ishara ya kuwataka wakae kimya, kauli ambayo aliitoa wakati timu yake ilipopata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Polisi Moro. Simba imeifunga Polisi Moro katika mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara kwenye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

simba SC dume, ukawa kimyaa


Mshambuliaji waSimba,raia wa Uganda Emmanuel Okwi.
Na Ibrahim Mussa
BAADA ya matokeo ya sare sita mfululizo, hatimaye Simba imepata ushindi wake wa kwanza katika mechi ya saba kwa kuifunga Ruvu Shooting bao 1-0 katika Ligi Kuu Bara, jana, kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Ushindi huo uliwazima kabisa mashabiki wa kundi maarufu la wanachama waliosimamishwa uanachama la Simba Ukawa ambao wamekuwa wakidai Simba itatoa sare saba mfululizo na mambo yatakuwa mabaya zaidi kama...

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Huu ni mwaka dume!

Na Rashid Abdallah Ndio! Ni kweli! Halinashaka kabisa! Kuwa CCM na raisi Jakaya na watangulizi wake wameshindwa kabisa kuikwamua Tanzania. Kama ni jahazi basi tungesema jahazi la CCM limelala upande mmoja na wala si ajabu kuwa […]

The post Huu ni mwaka dume! appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

MFUMO DUME NI HAKI YA MWANAUME?


NIJumanne tena, wapenzi wasomaji wangu tunakutana tena katika safu hii ya mapenzi na maisha. Ni safu inayokusudia kutoa elimu kwa wanandoa, wapenzi, wachumba na wengine wanaotarajia kuingia katika meli hiyo ya maisha ya mapenzi.

Mada ya leo inaweza kuwa ngumu kidogo kutokana na ukweli kwamba, inazungumzia misimamo ya taasisi za kutetea haki mbalimbali kujenga hoja ya kuwaambia wanaume wasiwe na mfumo dume.Lakini pia, mada hii itachota baadhi ya vipengele kutoka kwenye vitabu vya dini ili...

 

11 years ago

GPL

DUME LASUTWA KISA, UMBEYA

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya WERAA! Watu weweee! Dume lililofahamika kwa jina moja la Lusajo au Sajo anayefanya kazi maeneo ya Kijitonyama, Dar jirani na duka la mtangazaji Maimartha Jesse ‘Mai’ amejikuta akitaharuki na kuaibika baada ya kusutwa laivu katikati ya wanawake huku akilishwa keki na kufunguliwa mvinyo kisa umbeya, Ijumaa Wikienda limeshuhudia tukio zima. Keki ya msuto aliyoandaliwa Bw. Sajo. ...

 

10 years ago

Mwananchi

Saratani ya tezi dume ni hatari

 Pamoja na maelezo ya Rais Jakaya Kikwete aliyotoa juzi juu ya ugonjwa wa saratani ya tezi dume mara baada ya kurejea nchini kutoka Marekani alikotibiwa, maswali kuhusu ugonjwa huo bado ni mengi na hivyo kuhitaji ufafanuzi.

 

10 years ago

GPL

MFUMO DUME NI HAKI YA MWANAUME?

NIJumanne tena, wapenzi wasomaji wangu tunakutana tena katika safu hii ya mapenzi na maisha. Ni safu inayokusudia kutoa elimu kwa wanandoa, wapenzi, wachumba na wengine wanaotarajia kuingia katika meli hiyo ya maisha ya mapenzi. Mada ya leo inaweza kuwa ngumu kidogo kutokana na ukweli kwamba, inazungumzia misimamo ya taasisi za kutetea haki mbalimbali kujenga hoja ya kuwaambia wanaume wasiwe na mfumo dume.Lakini pia, mada hii...

 

11 years ago

Vijimambo

JK AFANYIWA UPASUAJI WA TEZI DUME

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mheshimiwa Dkt. JakayaMrisho Kikwete akizungumza na Dkt.Edward Shaeffer wa hospitali ya Johns Hopkins na Daktari wa Rais Profesa Mohamed Janabi(kulia) baada ya kuwasili katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyopo Baltimore, Maryland, Marekani kwa upasuaji Jumamosi asubuhi. Upasuaji huo uliochukua muda wa saa moja na nusu ulifanyika salama.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na daktari Bingwa Mpasuaji Edward Shaeffer muda mfupi kabla ya kuingia...

 

10 years ago

GPL

JIKE DUME LAZUA KIZAAZAA

Stori: Gladness Mallya/Amani
Dume zima ovyoo! Katika hali ya kushangaza, mwanaume mmoja ambaye jina lake halikupatikana mara moja amezua kizaazaa ukumbini baada ya kutinga akiwa amevalia nguo za kike na kuonekana kama mwanamke. Mwanaume huyo tata (kulia) akikata mauno. Mwanaume huyo aliyepachikwa jina la Jike Dume hilo alinaswa na Amani katika Ukumbi wa Flamingo ulipo Magomeni, Dar, wiki iliyopita wakati Bendi ya Extra Bongo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Twiga dume hatunzi watoto

KARIBU katika sehemu ya pili ya simulizi ya twiga. Kama unakumbuka, simulizi ya mnyama huyu ilitokana na tukio la kuuawa kwa twiga kijana katika bustani moja ya wanyama huko jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani