Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba SC na mwaka wa tatu bila taji

Ni dhahiri kuwa ikiwa na pointi 32 kibindoni, Simba itamaliza msimu wa tatu bila taji la Ligi Kuu Tanzania Bara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016

Headlines za Arsenal kufanya vizuri bado zinagonga vichwa vya habari vya magazeti mengi ya michezo dunini, Arsenal kwa sasa ndio timu inayopewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2015/2016. Sababu za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa ubingwa sio kwa sababu kaifunga Man City. Hizi ndio sababu tano za Arsenal kupewa nafasi […]

The post Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016 appeared first on...

 

9 years ago

BBCSwahili

Hamilton atwaa taji la tatu

Lewis Hamilton ameendelea kung'ara msimu huu baada ya kutwaa taji katika michuano ya United States Grand Prix,

 

9 years ago

Bongo5

Hamilton ashinda taji la tatu la mashindano ya United States Grand Prix

Dereva wa magari, Lewis Hamilton ameendelea kufanya vizuri na kung’ara zaidi msimu huu baada ya kutwaa taji katika michuano ya United States Grand Prix. Hamilton ameshinda michuano hiyo ya dunia na kutwaa taji lake la tatu kwa msimu huu wa michuano ya Formula 1. Hamilton ambaye ni dereva wa timu ya Mercedes, anakua Muingereza wa […]

 

9 years ago

Vijimambo

YANGA NI ZAIDI YA MCHARO WAWALIZA SIMBA KWEUPEEE GOLI 2 BILA MAJIBU UTEJA KWA SIMBA KWISHINEIIIIIII!!

Yanga ni zaidi ya Mcharo Simba wametepweta baada ya kukubali goli moja kila kipindi alikuwa Tambwe aliandika bao la kwanza dk ya 44 ya kipindi cha kwanza, ikumbukwe kuwa Tambwe alikuwa kipenzi cha wana msimbazi hao na wakampotezea na kunyakuliwa na Yanga. Kipindi cha pili Busungu aliesajiliwa kutoka kwa wafunga buti wa mgambo aliiandikia Yanga bao la 2 dk ya 79. Yanga sasa imefuta uteja uliodumu zaidi ya miaka 5 kila wanavyo kutana na Simbanilikuwa ni kilio tu cha kusanga meno safari hii ni...

 

10 years ago

Dewji Blog

Prof Mwandosya; Mwaka 2005 nilikuwa wa tatu mwaka huu ikulu zamu yangu, ataka wagombea wenzake wasiogope kuelezwa maovu

Waziri asiye na Wizara maalum Prof Mark Mwandosya akiwapungua mkono baadhi ya wahudumu wa uwanja wa Ndege wa Nduli Iringa wakati akiondoka mkoani Iringa kuelekea mkoani Tabora kutafuta  wadhamini kwa ndege hiyo ya kukodi. Waziri Prof Mwandosya  akitafakari jambo. Dereva  wa gari la Prof Mwandosya  Iringa akipata picha ya kumbukumbu na kuagana na rubani wa ndege aliyokodi Waziri huyo. Wadhamini wa Prof Mwandosya  wakiagana na waziri huyo. Waziri Prof. Mwandosya  na mkewe akishuka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bila serikali tatu, rasimu iliyopo nayo inakufa!

KUNA kisa kimoja cha kuchekesha kinachotokana na simulizi za zamani. Palikuwa na mpita njia mmoja  alikuwa akitembea kando ya nyumba. Alisikia zogo kati ya mume na mke. Watu hawa wakawa...

 

9 years ago

Vijimambo

AEESHA KAMARA ANYAKUA TAJI LA MISS TANZANIA USA AVIKWA TAJI NJE YA UKUMBI BAADA YA MAJAJI KUTENGUA MATOKEO

Jaji Michael Lewis McBride akimvisha taji Aeesha Kamara mara tu baada ya majaji kutengua matokea ya aliyekua mshindi wa dakika 45 kwa madai kwamba aliyevikwa taji haukua chaguo lao. Picha zote na Vijimambo Blog/Kwanza ProductionMiss Africa USA 2014-2015 akimvisha umalikia wa Miss Tanzania USA Aeesha KamaraAeesha Kamara akipata picha ya kumbukumbu na Miss Africa USA 2014-1915Aeesha KamaraKwa mapicha kibao ya jinsi mashindano hayo yalivyokua Bofya soma zaidi
Aeesha Kamara na Aziza Gama katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwaka unaisha bila maendeleo ya michezo

“Chaneta hawaelewani na uongozi uliopita,” “Ngumi watembeza bakuli”, “Soka yapoteza dira”, “RT walia na Serikali”, hivyo na vingine vingi vya aina hiyo vilikuwa ni vichwa vya habari vilivyotawala vyombo vya habari mwaka huu 2014.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afrika yaadhimisha mwaka mmoja bila Polio

Afrika imepiga hatua kubwa katika kuangamiza ugonjwa wa kupooza Polio.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani