Simba waenda Mbeya
KIKOSI cha wachezaji 20 cha Simba kinatarajiwa kuondoka leo kwenda Mbeya kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City utakaochezwa Jumamosi ijayo kwenye Uwanja wa Sokoine.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Simba chupuchupu Mbeya
10 years ago
Mwananchi17 May
Simba kuibomoa Mbeya City
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Simba yazua balaa Mbeya
PRESHA ya mechi ya Ligi Kuu ya Bara kati ya Simba na Mbeya City itakayopigwa leo Uwanja wa Sokoine mjini hapa, imezua balaa kwa wenyeji kiasi cha kutimuana. Kisa ni...
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Simba, Mbeya City vitani
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Mbeya City kuishtaki Simba
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Simba yakwepa hujuma Mbeya
NA PENDO FUNDISHA, MBEYA
TIMU ya soka ya Simba imebuni mbinu mpya ya kufanya mazoezi ndani ya Uwanja wa Jeshi wa JKT mkoani Mbeya, ili kukwepa vitendo vya hujuma wanavyoweza kufanyiwa kwa kuruhusu mashabiki kuingia kienyeji na kuwasoma wakati wakijiandaa na mchezo dhidi ya Tanzania Prisons.
Kitendo cha Simba kuingia mafichoni na kuutumia uwanja huo ambao awali waliugomea kabla ya kucheza na Mbeya City, kimetafsiriwa kama moja ya mipango na mikakati ya timu hiyo iliyoandaliwa ili kuimarisha...
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Simba yavuna sare Mbeya
TIMU za Simba na Mbeya City, jana zilishindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika mechi kali iliyokuwa na ushindani dakika zote 90 iliyopigwa Uwanja wa Sokoine, mjini...
10 years ago
TheCitizen28 Jan
Mbeya City go into Simba’s den