Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yakwepa hujuma Mbeya

Simba-vs-Yanga-2NA PENDO FUNDISHA, MBEYA

TIMU ya soka ya Simba imebuni mbinu mpya ya kufanya mazoezi ndani ya Uwanja wa Jeshi wa JKT mkoani Mbeya, ili kukwepa vitendo vya hujuma wanavyoweza kufanyiwa kwa kuruhusu mashabiki kuingia kienyeji na kuwasoma wakati wakijiandaa na mchezo dhidi ya Tanzania Prisons.

Kitendo cha Simba kuingia mafichoni na kuutumia uwanja huo ambao awali waliugomea kabla ya kucheza na Mbeya City, kimetafsiriwa kama moja ya mipango na mikakati ya timu hiyo iliyoandaliwa ili kuimarisha...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Hujuma, viongozi Simba wameuza viwanja

Anayeaminika ni katibu mkuu mwenye mafanikio ya juu zaidi katika Klabu ya Simba,Kassim Dewji. Na Mwandishi Wetu
KASSIM Dewji anayeaminika ni katibu mkuu mwenye mafanikio ya juu zaidi katika Klabu ya Simba, ameibuka na kutoa siri kuwa kuna viongozi waliuza viwanja viwili mali ya klabu hiyo. Dewji aliyeiongoza Simba kuitoa Al Ahly mwaka 2003, amesema Simba ilikuwa na viwanja vinne katika eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Emirates yakwepa Afrika Magharibi

Shirika la ndege la Emirates lavunja safari za kwenda Afrika Magharibi kwa sababu ya Ebola

 

9 years ago

Habarileo

Simba waenda Mbeya

KIKOSI cha wachezaji 20 cha Simba kinatarajiwa kuondoka leo kwenda Mbeya kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City utakaochezwa Jumamosi ijayo kwenye Uwanja wa Sokoine.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba chupuchupu Mbeya

Mbeya City wamepoteza nafasi ya kukalia usukani wa Ligi Kuu baada ya kulazimishwa sare 1-1 na Simba jana kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.

 

10 years ago

Mwananchi

Simba kuibomoa Mbeya City

Dar es Salaam. Simba imepanga kuibomoa Mbeya City baada ya kuanza harakati za kuwawania winga Deus Kaseke, beki Kenny Ally na mshambuliaji Paul Nonga wa timu hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City kuishtaki Simba

>Wakati Simba ikibainika kumsajili kinyemela  Saad Kipanga, Mbeya City imedai suala la mshambuliaji huyo litawafanya “kufikishana pabaya”.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba yavuna sare Mbeya

TIMU za Simba na Mbeya City, jana zilishindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika mechi kali iliyokuwa na ushindani dakika zote 90 iliyopigwa Uwanja wa Sokoine, mjini...

 

10 years ago

TheCitizen

Mbeya City go into Simba’s den

Simba SC face another test today when they welcome struggling Mbeya City for a Vodacom Premier League match at the National Stadium.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani