Hujuma, viongozi Simba wameuza viwanja
![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIk*LB457DwfLSmMbnjcGIfk393syr2ql7Fj5DF4bBFdGzP3bQrr1r*wEI-o9tgDm4cbtuwxI3Z4sKTrWJp8XGp9/huduma.jpg?width=650)
Anayeaminika ni katibu mkuu mwenye mafanikio ya juu zaidi katika Klabu ya Simba,Kassim Dewji. Na Mwandishi Wetu KASSIM Dewji anayeaminika ni katibu mkuu mwenye mafanikio ya juu zaidi katika Klabu ya Simba, ameibuka na kutoa siri kuwa kuna viongozi waliuza viwanja viwili mali ya klabu hiyo. Dewji aliyeiongoza Simba kuitoa Al Ahly mwaka 2003, amesema Simba ilikuwa na viwanja vinne katika eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Simba yakwepa hujuma Mbeya
NA PENDO FUNDISHA, MBEYA
TIMU ya soka ya Simba imebuni mbinu mpya ya kufanya mazoezi ndani ya Uwanja wa Jeshi wa JKT mkoani Mbeya, ili kukwepa vitendo vya hujuma wanavyoweza kufanyiwa kwa kuruhusu mashabiki kuingia kienyeji na kuwasoma wakati wakijiandaa na mchezo dhidi ya Tanzania Prisons.
Kitendo cha Simba kuingia mafichoni na kuutumia uwanja huo ambao awali waliugomea kabla ya kucheza na Mbeya City, kimetafsiriwa kama moja ya mipango na mikakati ya timu hiyo iliyoandaliwa ili kuimarisha...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Viwanja Yanga, Simba porojo
10 years ago
Vijimambo10 Dec
AIBU ILIYOJE, YANGA, SIMBA KUTEKELEZA VIWANJA
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2549946/highRes/894312/-/maxw/600/-/tem572z/-/simba.jpg)
Viwanja vingi vya wazi ambavyo vilitengwa kwa shughuli za michezo vimevamiwa na kufanyika ujenzi wa matumizi mengine kinyume na mipango ya awali.
UKOSEFU wa viwanja vya michezo ni tatizo ambalo limekuwa likiuandama zaidi mchezo wa soka unaopendwa na wengi.
Viwanja vingi vya wazi ambavyo vilitengwa kwa shughuli za michezo vimevamiwa na kufanyika ujenzi wa matumizi mengine kinyume na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-G1wijvOIaOE/UxsphuTk_QI/AAAAAAAFSAU/k_u-mpXaV1c/s72-c/5.jpg)
Rais Kikwete awaongoza viongozi mbali mbali na mamia ya waombolezaji kumfariji Mh. Sophia Simba kwa kufiwa na Mwanae Leeford Simba
![](http://1.bp.blogspot.com/-G1wijvOIaOE/UxsphuTk_QI/AAAAAAAFSAU/k_u-mpXaV1c/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F0eJK6_sLhc/UxsqAiqYkXI/AAAAAAAFSB8/w4vw7Bk1k3U/s1600/9.jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Viongozi wa kampuni ya Ndege ya Fastjet watembelea Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Nchini (TAA)
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) Mhandisi Suleiman S. Suleiman (katikati) akipokea zawadi ya sanamu ya ndege toka kwa Meneja Mkuu wa kampuni ya Ndege ya Fastjet Afrika Mashariki Jimmy Kibati baada ya viongozi wa kampuni hiyo kutembelea uongozi wa TAA na kufanya mazunguzmo mafupi hivi karibuni. Anayeshuhudia ni Meneja wa mahusiano kati ya Fastjet na Serikali, Engineer August Kowero.
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Butoyi awagawa viongozi Simba
10 years ago
Mtanzania17 Aug
Phiri awapa tahadhari viongozi Simba
![Kikosi cha Simba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Kikosi-cha-Simba.jpg)
Kikosi cha Simba
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Mzambia Patrick Phiri, ameutahadharisha mapema uongozi wa klabu hiyo kutomuingilia katika mipango yake ya kujenga kikosi bora.
Akizungumza na MTANZANIA Jumapili, Phiri alisema kikosi chake kimeweka kambi Zanzibar kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara. Alisema viongozi wanapaswa kumuacha atekeleze majukumu yake mwenyewe na si kuingiliwa.
Alisema anatambua kama viongozi wanachokihitaji ni ushindi, lakini ni vizuri...
11 years ago
Mwananchi30 Jun
MAONI: Viongozi wapya wa Simba leteni maendeleo
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Mrwanda: Sikutaka longolongo na mali kauli za viongozi wa Simba