SIMBA YAONA MWEZI, YAIFUNGA RUVU SHOOTING 1-0 KWA SHIIIDAA...
Mfungaji wa bao pekee la Simba dhidi ya Ruvu Shooting, Emmanuel Okwi akishangilia wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa.
Kocha wa Simba, Patrick Phiri akikumbatiana na Okwi baada ya mchezo na tmu yake kupata ushindi wa kwanza tangu kuanza kwa Ligi.
Mashabiki wa Simba wakifurahia utadhani wamenyakua ubingwa.Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii.Picha zaidi BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSIMBA YAONA MWEZI TAIFA LEO, YAIFUNGA RUVU SHOOTING 1-0
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Simba yazindukia kwa Ruvu Shooting
TIMU ya Simba, jana ilivuna pointi tatu muhimu katika mbio za Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya kuwafunga Ruvu Shooting ya Pwani mabao 3-2 katika mechi iliyochezwa Uwanja wa Taifa,...
11 years ago
GPLSIMBA YAWAKALISHA MAAFANDE WA RUVU SHOOTING
10 years ago
Michuzi18 Jan
ligi kuu ya vodacom yazidi kurindima, kagera city hoi kwa mbeya city, yanga yabanwa na ruvu shooting, azam na simba kidedea
Yanga walistahili ushindi lakini walishindwa kufunga wakati walipata nafasi za wazi kibao.
Huko Kambarage, Shinyanga, Azam FC wameifunga Stand United Bao 1-0 kwa...
11 years ago
Michuzi24 Feb
YANGA SC NA SHOOTING YAINGIZA FEDHA NYINGI KULIKO SIMBA NA JKT RUVU
Na Boniface Wambura, Dar es Salaam MECHI za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) zilizohusisha timu za Yanga na Simba, na kuchezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki zimeingiza jumla ya sh. 101,165,000.Yanga ambayo iibugiza Ruvu Shooting mabao 7-0 mechi yake iliingiza sh. 68,450,000 kutokana na washabiki 11,972 kwa viingilio vya sh. 5,000, sh. 15,000 na sh. 20,000.Katika mechi hiyo kila klabu ilipata mgao wa sh. 15,687,488 wakati Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa kutokana na...
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Yanga yanoa makali kwa Ruvu Shooting
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Ruvu shooting yajinoa kwa Ligi Kuu 2014/15
TIMU ya Ruvu Shooting ya Pwani, inatarajia kuingia kambini leo kuhakikisha inafanya vizuri katika msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2014/2015. Shooting iliyomaliza msimu uliopita ikiwa nafasi ya sita,...
10 years ago
VijimamboRUVU SHOOTING YAPOKEA KICHAPO CA BAO 5- 0 KUTOKA KWA YANGA
Haruna Niyonzima (kushoto), Simon Msuva (kulia) na Kpah Sherman wakishangilia baada ya Simon Msuva kuipatia timu hiyo bao la pili.