Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIMULIZI YA NATASHA - 7

ILIPOISHIA
Wiki iliyopita niliishia pale nilipoeleza baba yangu alivyokuwa akipokea wageni wengi kwa kuwa alikuwa na cheo kikubwa ubalozini.ENDELEA Kwa vile pale ubalozini hakuwepo kijana zaidi yangu hivyo walikuwa ni kama wageni wangu, wakija ninawapa ushirikiano na kuwa nao muda mwingi ili wasijisikie upweke mpaka watakapoondolewa sijui huko mbele walikuwa wakipata adhabu gani baada ya kurudishwa nyumbani chini ya ulinzi....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SIMULIZI YA NATASHA - 1

Mwigizaji mkongwe, Suzan Natasha. KARIBU msomaji wa Gazeti la Amani, nikukaribishe katika simulizi mpya iitwayo Mimi na Angola, hii ni simulizi ya kweli ya maisha ya mwigizaji mkongwe, Suzan Natasha alipokuwa nchini Angola.Simulizi hii inasisimua kutokana na changamoto mbalimbali alizopitia, twende pamoja... Ilikuwa ni miezi michache imepita tangu nilipofanya kosa kubwa sana lililobadilisha maisha yangu yote. Kosa ambalo si tu...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI YA NATASHA - 2

Wiki iliyopita tuliishia pale nilipokuwa nchini China. Nilieleza nilivyokuwa nikicheza na wenzangu michezo ya kutereza kwenye saruji. Tulitengeneza mtu wa barafu, tunamwekea pua, tunatengeneza matonge ya barafu na kuanza kumpiga mpaka anavunjika, tunafurahia kwa vile eti amekufa.
SASA ENDELEA… Tulipewa uamuzi wa kuchagua shule ya kusoma ama ya Kichina au shule ya kimataifa inayofundisha lugha ya Kiingereza, mama...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI YA NATASHA - 8

ILIPOISHIA
WIKI iliyopita tuliishia pale nilipokuwa namjibu mwanangu Monalisa kwamba nilimuokota kwenye kopo la maua. Huo ni utani ambao nautumia hadi leo katika Kipindi cha Filamonata cha Radio Times kila Jumapili, saa tano asubuhi.ENDELEA Siku isiyo na jina nikiwa Angola, usiku niliamshwa na mwanga mkubwa ulioingia chumbani kwangu ingawa nilizima taa, nikashituka na kufungua macho nikaona kweli mwanga uking’aa...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI YA NATASHA - 5

WIKI iliyopita tuliishia pale tulipofika rasmi nchini Angola. Tulikuwa tukiifikiria tofauti nchi hiyo tukiamini kwamba ni nchi isiyokuwa na amani.
SASA  ENDELEA… Sasa nakupa mtazamo wangu nilipofika Luanda, ambao ni mji mkuu wa Angola.  Kwanza ni amani tupu wala huwezi jua kama kuna mtu anatumia risasi mahali fulani ili aishi.Rais ni Eduardo dos Santos, ni nchi nzuri iliyotawaliwa na majengo mengi ya ghorofa na...

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI YA NATASHA - 6

ILIPOISHIA
Wiki iliyopita tuliishia pale nilipoeleza kwamba nilishangazwa na kitendo cha kuona wanawake wengi wanavaa nguo nyeusi nchini Angola…ENDELEA NiLIambiwa waliokuwa wanavaa vile walifiwa na  waume zao vitani.
“Mungu wangu mbona wengi!” nilishtuka.Katika kundi la wanawake kumi, saba wote wamefiwa!
Kingine niliona vijana wengi wakiwa wamekatwa ama miguu ama mikono!  Kuuliza kisa eti ni vita!...

 

10 years ago

Vijimambo

NATASHA SHAYROSE WIMBO WAKE MWINGINE HUU HAPA JIPAKULIE NATASHA MTANZANIA YUPO NORWAY


http://www.soundcloud.com/natashashyrosehttp://www.myspace.com/blackrose52http://www.oddisbold.comhttp://natasha-shyrose.blogspot.no. Ukitaka kujua zaidi kuhusu na Natasha tembelea kwenye hizo link na utakudundua kipaji chake siyo cha kubahatisha.

 

11 years ago

GPL

NATASHA HOI KWA DENGU

Stori: imelda mtema STAA mkongwe wa filamu Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ ameongeza listi ya mastaa ambao wameathirika na ugonjwa wa dengu (Dengue Fever). Staa mkongwe wa filamu Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’. Akipiga stori na mwandishi wetu, Natasha alisema tangu Rais Jakaya Kikwete aingie madarakani, hajawahi kuugua hata homa lakini kwa mara ya kwanza mwaka huu homa ya dengu imemlaza. “Nilianza...

 

10 years ago

Mtanzania

Watoto wenye ulemavu wamkuna Natasha

natashaNA GEORGE KAYALA
MWIGIZAJI Susan Humba ‘Natasha’ amewataka wenye makampuni ya uandaaji wa filamu za bongo kuwatumia watoto wenye vipaji ambao wana ulemavu wa viungo.
Natasha alitoa kauli hiyo kwa watoto hao wenye ulemavu wa viungo wanaosoma Shule ya Sekondari Jangwani, jijini Dar es Salaam, baada ya kuonyesha uwezo wao wa kuigiza mbele yake.
Wanafunzi hao walionesha vipaji vyao mwishoni mwa wiki iliyopita, wakati wa uzinduzi wa shirika lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundation...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kama Umeguswa na Hili, Wasiliana na Natasha

Niko na mashoga zangu Jangwani Sekondari.kuna wanafunzi zaidi ya 70 wenye ulemavu na wana tatizo la miundo mbinu hasa linapokuja suala la choo na njia ya kwenda maktaba.ndugu zangu wa SVF wamejutolea kujenga choo na hiyo njia.kama nawe unaguswa tuwasiliane ili kwa pamoja tuwarahisishie maisha warembo wetu hawa.

Wote wana ndoto zao.baadhi wanataka kuwa waigizaji.hebu kuwa mmoja wao wa kutimiza ndoto zao.

Na: Natasha on Instagram

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani