Sinai, Misri yashambuliwa kwa mabomu
Rais ya Sinai nchini Misri imeshambuliwa kwa mabomu na wapiganaji wa kundi la Profince of Sinai
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili15 Nov
Miili ya Waafrika 15 yapatikana Sinai Misri
Polisi wa Misri wanasema wamegundua miili ya wa-Afrika 15, ambao inaonekana walipigwa risasi na kuuawa
10 years ago
GPL
MABAKI YA NDEGE YA URUSI BAADA YA KUANGUKA SINAI, MISRI
Wachunguzi wakiwa eneo la tukio wakiangalia mabaki ya Ndege ya Shirika la Kogalymavia la Urusi, Airbus A-321 iliyoanguka eneo la Sinai nchini Misri ilikuwa na abiria 200, watoto 17 na wafanyakazi wa ndege hiyo 7.…
10 years ago
GPL
NDEGE YA URUSI YENYE ABIRIA 200 YAANGUKA SINAI, MISRI
Ndege ya Shirika la Kogalymavia la Urusi, Airbus A-321 iliyoanguka eneo la Sinai nchini Misri. Waziri Mkuu wa Misri, Sharif Ismail akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani). Ramani ikionyesha eneo la Sinai nchini Misri ilipotokea ajali hiyo.…
11 years ago
BBCSwahili26 May
Bendi yashambuliwa kwa msumeno Japan
Wanamuziki wawili wa bendi ya wanamuziki nchini Japan AKB48 wamejeruhiwa vibaya baada ya kushambuliwa na shabiki wao mmoja kwa msumeno.
11 years ago
Dewji Blog21 Aug
Jeshi la Polisi latangaza dau kwa yeyote atakayefanikisha kukamatwa kwa kinara wa matukio ya kigaidi na ulipuaji wa mabomu nchini
‘Sensei’ Yahaya Hassan Hella pichani kinara wa matukio mbalimbali ya ulipuaji wa mabomu hapa nchini ambaye Jeshi la Polisi na vyombo mbalimbali vya usalama vinamtafuta huku Serikali ikitangaza dau kwa mtu atakeyetoa taarifa zake kwenye kituo cha polisi kilichokaribu nawe. (Picha na Mahmoud Ahmad, Arusha).
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Watu 12 wahukumiwa kwa mashambulio ya mabomu
Mahakama nchini India imewapata na hatia wanaume 12 kwa kuhusika na mashambulizi ya mabomu kwenye treni mjini Mumbai mwaka 2006
10 years ago
Vijimambo07 Jan
Wenyeviti waapishwa kwa mabomu Dar

Hafla ya a kuapisha wenyeviti wateule wa serikali za mitaa wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, jana ilitawaliwa na mapambano na kulilazimisha Jeshi la Polisi kuingilia kati kwa kutumia mabomu kurejesha amani huku likiwatia mbaroni watu saba.
Hafla hiyo iliingia dosari baada ya wananchi kuvamia eneo la uapishaji na kuanza kutembeza mkong’oto na kuwajeruhi wanachama wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa madai...
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Watu 30 wauawa kwa mabomu ,Yemen
Mfululizo wa milipuko ya mabomu imeendelea kurushwa katika misikiti ya Shia na Ofisi zilizopo katika la jimbo la Yemen, Sanaa, na kusababisha vifo vya watu 30.
11 years ago
Mwananchi09 Jul
UCHAMBUZI: Tusiwakomaze Watanzania kwa mabomu haya
>Hakuna jambo la hatari kama kuingiza siasa katika masuala muhimu na nyeti kama ya usalama, kiasi kwamba mabomu yanayolipuliwa Arusha na Zanzibar yameibua maswali mengi yasiyo na majibu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania