Singida waongeza pato kutoka NHIF
MAPATO yatokanayo na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida yameongezeka kutoka Sh milioni 19 mwaka jana hadi kufikia Sh milioni 33 mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog07 Oct
Singida wavuna zaidi kutoka NHIF
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Suleiman Rashid.
Na Nathaniel Limu, Singida
MAPATO yatokanayo na Mfuko wa Bima ya Afya katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Singida yameongezeka kutoka sh milioni 19 mwaka jana hadi kufikia sh milioni 33 mwaka huu.
Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo, Dk Deogratius Banuba alieleza hayo wakati wa kikao cha kupongezana wafanyakazi wa hospitali hiyo kwa kuibuka washindi wa kwanza kitaifa na kuzawadiwa Tuzo na Cheti cha Ubora kwa hospitali za Rufaa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7kzKZ5TuwqI/VJQ3nweXiHI/AAAAAAAG4dA/dVoJ0Nlel24/s72-c/Takwimu%2B-1.jpg)
SERIKALI YAZINDUA RASMI USAMBAZAJI TAKWIMU ZA PATO LA TAIFA, PATO LA MWANACHI LAONGEZEKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-7kzKZ5TuwqI/VJQ3nweXiHI/AAAAAAAG4dA/dVoJ0Nlel24/s1600/Takwimu%2B-1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IGS3kQwrhrY/VJQ3n6cvYlI/AAAAAAAG4c8/QLK7bFGfcYo/s1600/Takwimu%2Bna%2B2.jpg)
BOFYA HAPA KWA HABARI NA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi19 Dec
SERIKALI YAZINDUA RASMI USAMBAZAJI TAKWIMU WA PATO LA TAIFA, PATO LA MWANACHI LAONGEZEKA.
![unnamed](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/unnamed387.jpg)
![unnamed1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/unnamed1149.jpg)
![unnamed2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/unnamed2115.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Dec
Serikali yazindua rasmi usambazaji takwimu za pato la taifa, pato la mwanachi laongezeka
Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya Salum (katikati) akizindua rasmi Takwimu za Pato la Taifa zilizorekebishwa kwa mwaka wa kizio wa 2007 jijini Dar es salaam.
Na Aron Msigwa – MAELEZO
Serikali imesema kuwa Pato la Taifa kwa mwaka 2007 limeongezeka hadi kufikia shilingi trilioni 26.8 ikilinganishwa na trilioni 20.9 za mwaka 2001, ambapo wastani wa pato la mwananchi mmoja mmoja limeongezeka kutoka shilingi milioni1,186,200/= mwaka 2001 hadi shilingi milioni 1, 561,050/= mwaka 2013.
Akizindua...
10 years ago
Habarileo12 Jul
NHIF yapunguza uhaba wa mashuka hospitali ya Singida
HOSPITALI ya Mkoa wa Singida inakabiliwa na uhaba mkubwa wa mashuka hali inayosababisha baadhi ya wagonjwa kutumia mashuka yao binafsi wakati wote wanapokuwa wamelazwa hospitalini hapo.
11 years ago
Habarileo15 Jun
NHIF Singida wajikita katika elimu ya CHF
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoa wa Singida umeanzisha mkakati maalumu wa utoaji elimu kwa wananchi wote juu ya umuhimu wa kujiunga na mfuko huo na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF).
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YJZkmYUq5Js/VnJkToEuN-I/AAAAAAAAwbg/eu1qIiPjQP0/s72-c/2.jpg)
NHIF YARIDHISHWA NA MATUMIZI YA MKOPO WALIOIPATIA HOSPITALI YA MKOANI WA SINGIDA
Hospitali hiyo ilichukua mkopo wa Shilingi Milioni Mia Tano kutoka NHIF kwa ajili ya Ununuzi wa vifaa Tiba vya hospitali hiyo.
Akizungumza baada ya kukagua vifaa hivyo, Mhando amesema ameridhiswa na matumizi ya mkopo huo kwani umefanya kazi iliyokusudiwa.
Amesema NHIF itaendelea kushirikiana na uongozi wa mkoa...
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Wanahabari Mkoa wa Singida (Singpress) wahimizwa kujiunga na mfuko wa afya wa NHIF!
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
NHIF yakabidhi msaada wa mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini Singida
Meneja wa NHIF mkoa wa Singida, Agnes Chaki (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Singida, Alli Amanzi msaada wa mashuka 200 kwa ajili ya hospital ya mkoa mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu).
Mkuu wa wilaya ya Singida,Alli Amanzi (kulia) akibadilishana mawazo na Meneja Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) mkoa wa Singida, Agnes Chaki (katikati) muda mfupi kabla Meneja NHIF hajakabidhi mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini hapa.Kushoto ni Afisa uthibiti ubora wa huduma NHIF mkoani...