Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Singida waongeza pato kutoka NHIF

MAPATO yatokanayo na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida yameongezeka kutoka Sh milioni 19 mwaka jana hadi kufikia Sh milioni 33 mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Singida wavuna zaidi kutoka NHIF

IMG_0589

 Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Suleiman Rashid.

Na Nathaniel Limu, Singida

MAPATO yatokanayo na Mfuko wa Bima ya Afya katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Singida yameongezeka kutoka sh milioni 19 mwaka jana hadi kufikia sh milioni 33 mwaka huu.

Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo, Dk Deogratius Banuba alieleza hayo wakati wa kikao cha kupongezana wafanyakazi wa hospitali hiyo kwa kuibuka washindi wa kwanza kitaifa na kuzawadiwa Tuzo na Cheti cha Ubora kwa hospitali za Rufaa...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YAZINDUA RASMI USAMBAZAJI TAKWIMU ZA PATO LA TAIFA, PATO LA MWANACHI LAONGEZEKA

Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya Salum (katikati) akizindua rasmi Takwimu za Pato la Taifa zilizorekebishwa kwa mwaka wa kizio wa 2007 leo jijini Dar es salaam. Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya Salum (kulia) akimkabidhi Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servicius Likwelile chapisho la lenye Takwimu za Pato la Taifa zilizorekebishwa kwa mwaka wa kizio wa 2007 wakati wa uzinduzi wa usambazaji wa takwimu hizo leo jijini Dar es salaam.
BOFYA HAPA KWA HABARI NA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YAZINDUA RASMI USAMBAZAJI TAKWIMU WA PATO LA TAIFA, PATO LA MWANACHI LAONGEZEKA.

unnamed Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya Salum (katikati) akizindua rasmi Takwimu za Pato la Taifa zilizorekebishwa kwa mwaka wa kizio wa 2007 leo jijini Dar es salaam. unnamed1 Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya Salum (kulia) akimkabidhi Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servicius Likwelile chapisho la lenye Takwimu za Pato la Taifa zilizorekebishwa kwa mwaka wa kizio wa 2007 wakati wa uzinduzi wa usambazaji wa takwimu hizo leo jijini Dar es salaam. unnamed2Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yazindua rasmi usambazaji takwimu za pato la taifa, pato la mwanachi laongezeka

Takwimu -1

Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya Salum (katikati) akizindua rasmi Takwimu za Pato la Taifa zilizorekebishwa kwa mwaka wa kizio wa 2007  jijini Dar es salaam.

Na Aron Msigwa – MAELEZO

Serikali imesema kuwa Pato la Taifa kwa mwaka 2007 limeongezeka hadi kufikia shilingi trilioni 26.8  ikilinganishwa na trilioni 20.9 za mwaka 2001, ambapo wastani wa pato la mwananchi mmoja mmoja limeongezeka kutoka shilingi milioni1,186,200/= mwaka 2001 hadi shilingi milioni 1, 561,050/= mwaka 2013. 

 Akizindua...

 

10 years ago

Habarileo

NHIF yapunguza uhaba wa mashuka hospitali ya Singida

HOSPITALI ya Mkoa wa Singida inakabiliwa na uhaba mkubwa wa mashuka hali inayosababisha baadhi ya wagonjwa kutumia mashuka yao binafsi wakati wote wanapokuwa wamelazwa hospitalini hapo.

 

11 years ago

Habarileo

NHIF Singida wajikita katika elimu ya CHF

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoa wa Singida umeanzisha mkakati maalumu wa utoaji elimu kwa wananchi wote juu ya umuhimu wa kujiunga na mfuko huo na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF).

 

9 years ago

Michuzi

NHIF YARIDHISHWA NA MATUMIZI YA MKOPO WALIOIPATIA HOSPITALI YA MKOANI WA SINGIDA

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Michael Mhando ameelezea kuridhishwa na matumizi ya mkopo uliotolewa na Mfuko huo kwa Hospitali ya mkao wa Singida.
Hospitali hiyo ilichukua mkopo wa Shilingi Milioni Mia Tano kutoka NHIF kwa ajili ya Ununuzi wa vifaa Tiba vya hospitali hiyo.
Akizungumza baada ya kukagua vifaa hivyo, Mhando amesema ameridhiswa na matumizi ya mkopo huo kwani umefanya kazi iliyokusudiwa.
Amesema NHIF itaendelea kushirikiana na uongozi wa mkoa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wanahabari Mkoa wa Singida (Singpress) wahimizwa kujiunga na mfuko wa afya wa NHIF!

IMG_0623

Kaimu meneja wa NHIF mkoa wa Singida,Adamu Salum,akiongea na waandishi wa habari kwenye banda la mfuko huo lililopo viwanja vya peoples klabu kwenye maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambayo yalikuwa yafanyike mkoani hapa kitaifa.Imedaiwa maadhimisho hayo yalifutwa na orais John Pombe Magufuli.Picha zote na Nathaniel Limu. Na Nathaniel Limu [SINGIDA] Wanachama wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida, wamehimizwa kujiunga na mfuko wa Taifa wa bima ya afya (NHIF),...

 

10 years ago

Dewji Blog

NHIF yakabidhi msaada wa mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini Singida

DSC00136

Meneja wa NHIF mkoa wa Singida, Agnes Chaki (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Singida, Alli Amanzi msaada wa mashuka 200 kwa ajili ya hospital ya mkoa mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu).

DSC00132

Mkuu wa wilaya ya Singida,Alli Amanzi (kulia) akibadilishana mawazo na Meneja Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) mkoa wa Singida, Agnes Chaki (katikati) muda mfupi kabla Meneja NHIF hajakabidhi mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini hapa.Kushoto ni Afisa uthibiti ubora wa huduma NHIF mkoani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani