Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Singida wavuna zaidi kutoka NHIF

IMG_0589

 Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Suleiman Rashid.

Na Nathaniel Limu, Singida

MAPATO yatokanayo na Mfuko wa Bima ya Afya katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Singida yameongezeka kutoka sh milioni 19 mwaka jana hadi kufikia sh milioni 33 mwaka huu.

Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo, Dk Deogratius Banuba alieleza hayo wakati wa kikao cha kupongezana wafanyakazi wa hospitali hiyo kwa kuibuka washindi wa kwanza kitaifa na kuzawadiwa Tuzo na Cheti cha Ubora kwa hospitali za Rufaa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Singida waongeza pato kutoka NHIF

MAPATO yatokanayo na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida yameongezeka kutoka Sh milioni 19 mwaka jana hadi kufikia Sh milioni 33 mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

NHIF yapunguza uhaba wa mashuka hospitali ya Singida

HOSPITALI ya Mkoa wa Singida inakabiliwa na uhaba mkubwa wa mashuka hali inayosababisha baadhi ya wagonjwa kutumia mashuka yao binafsi wakati wote wanapokuwa wamelazwa hospitalini hapo.

 

11 years ago

Habarileo

NHIF Singida wajikita katika elimu ya CHF

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoa wa Singida umeanzisha mkakati maalumu wa utoaji elimu kwa wananchi wote juu ya umuhimu wa kujiunga na mfuko huo na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF).

 

9 years ago

Michuzi

NHIF YARIDHISHWA NA MATUMIZI YA MKOPO WALIOIPATIA HOSPITALI YA MKOANI WA SINGIDA

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Michael Mhando ameelezea kuridhishwa na matumizi ya mkopo uliotolewa na Mfuko huo kwa Hospitali ya mkao wa Singida.
Hospitali hiyo ilichukua mkopo wa Shilingi Milioni Mia Tano kutoka NHIF kwa ajili ya Ununuzi wa vifaa Tiba vya hospitali hiyo.
Akizungumza baada ya kukagua vifaa hivyo, Mhando amesema ameridhiswa na matumizi ya mkopo huo kwani umefanya kazi iliyokusudiwa.
Amesema NHIF itaendelea kushirikiana na uongozi wa mkoa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wanahabari Mkoa wa Singida (Singpress) wahimizwa kujiunga na mfuko wa afya wa NHIF!

IMG_0623

Kaimu meneja wa NHIF mkoa wa Singida,Adamu Salum,akiongea na waandishi wa habari kwenye banda la mfuko huo lililopo viwanja vya peoples klabu kwenye maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambayo yalikuwa yafanyike mkoani hapa kitaifa.Imedaiwa maadhimisho hayo yalifutwa na orais John Pombe Magufuli.Picha zote na Nathaniel Limu. Na Nathaniel Limu [SINGIDA] Wanachama wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida, wamehimizwa kujiunga na mfuko wa Taifa wa bima ya afya (NHIF),...

 

10 years ago

Dewji Blog

NHIF yakabidhi msaada wa mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini Singida

DSC00136

Meneja wa NHIF mkoa wa Singida, Agnes Chaki (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Singida, Alli Amanzi msaada wa mashuka 200 kwa ajili ya hospital ya mkoa mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu).

DSC00132

Mkuu wa wilaya ya Singida,Alli Amanzi (kulia) akibadilishana mawazo na Meneja Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) mkoa wa Singida, Agnes Chaki (katikati) muda mfupi kabla Meneja NHIF hajakabidhi mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa mjini hapa.Kushoto ni Afisa uthibiti ubora wa huduma NHIF mkoani...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) wazindua huduma za madaktari bingwa mkoani Singida!!

IMG_1247

Kaimu mkurugenzi mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF),Michael Mhando,akitoa ufafanuzi juu ya lengo la mfuko huo kutuma madaktari bingwa wa magonjwa mbalimbali mikoani,kuwa pamoja na mambo mengine,ni kusogeza karibu zaidi  huduma zinazotolewa na madakatari hao ambao ni adimu.Wa pili kushoto (waliokaa) ni mkuu wa mkoa wa Singida, DkParseko Kone na wa kwanza kulia ni katibu tawala mkoa wa Singida, Festo Kang’ombe. Na Nathaniel Limu [Singida] Serikali mkoani  Singida, imewataka...

 

10 years ago

GPL

NHIF YAKABIDHI MSAADA WA MASHUKA 200 KWA HOSPITALI YA MKOA MJINI SINGIDA‏

Meneja wa NHIF mkoa wa Singida, Agnes Chaki (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Singida, Alli Amanzi msaada wa mashuka 200 kwa ajili ya hospital ya mkoa mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu). Mkuu wa wilaya ya Singida, Alli Amanzi (kulia) akibadilishana mawazo na Meneja Mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF) mkoa wa Singida, Agnes Chaki (katikati) muda mfupi kabla Meneja NHIF hajakabidhi mashuka 200 kwa hospitali ya mkoa...

 

9 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani