Siri ya Magufuli kuweka kiporo wizara nne nyeti
Uamuzi wa Rais John Magufuli kuweka kiporo wizara nne nyeti alipotangaza Baraza la Mawaziri linaloapishwa leo Ikulu bila kuteua mawaziri umeibua hisia ambazo zinajibiwa na wasomi, wachambuzi kama mkakati mahsusi wa kiongozi huyo kutaka zitimize wajibu wake ipasavyo. Â Â Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Mar
Kura za siri,wazi kiporo
BADO MUAFAKA! Ndivyo ilivyojidhihirisha jana kwenye Bunge Maalum la Katiba, ambalo limeshindwa kufikia makubaliano ya kura gani, itumike wakati wa kupitisha uamuzi wa ibara za rasimu ya Katiba mpya. Kura inayobishaniwa na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ni kama iwe ya siri au wazi, jambo lililogawa Bunge hilo katika makundi mawili, yanayotofautiana kuhusu namna gani uamuzi ufanyike ndani ya Bunge hilo.
11 years ago
Habarileo11 Mar
Kura ya siri, wazi kiporo
BADO MUAFAKA! Ndivyo ilivyojidhihirisha jana kwenye Bunge Maalum la Katiba, ambalo limeshindwa kufikia makubaliano ya kura gani, itumike wakati wa kupitisha uamuzi wa ibara za rasimu ya Katiba mpya.
9 years ago
Raia Mwema23 Sep
Magufuli aweka kiporo uuzaji nyumba
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.
Mwandishi Wetu
9 years ago
Habarileo05 Jan
Magufuli akutana na taasisi nyeti
RAIS John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wanne wa taasisi nyeti tofauti kuhusu mambo mbalimbali ya mustakabali wa Serikali yake ya awamu ya tano.
9 years ago
Bongo529 Sep
Drake awa msanii wa nne kuweka rekodi hii kwenye Billboard
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
Rais Magufuli atangaza Baraza jipya la Mawaziri huku akiwaweka kiporo wengine!!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akitangaza baraza lake la mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam leo Desemba 10, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na kushoto ni Waziri Mkuu, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa.
BARAZA LA MAWAZIRI
1.Wizara ya Ofisi ya Rais,Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora.
Mawaziri – George Simbachawene na Angella Kairuki
Naibu Waziri – Sumeilam Jafo. Naibu.
2.Wizara ya Ofisi ya Makamu wa Raisi, Muungano na...
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Dk. Magufuli: “ Ziara yangu ya kushtukiza Wizara ya Fedha, imenisaidia kujua changamoto zinazoikabili wizara hii”
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiambatana na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile alipotembelea ofisi za Wizara ya Fedha.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipata ufafanuzi kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile wakati wa ziara hiyo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na uongozi wa Wizara ya Fedha.
Rais wa Jamhuri wa Muungano...
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Wizara ya Fedha yajivunia Tamasha la Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Herman Mwansoko akitoa hotuba wakati wa kufunga Mashindano ya Tamasha la Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne yaliyoandaliwa na Wizara ya Fedha kwa kushikiana na Taasisi zake liLIlofanyika viwanja vya Sigara (TCC) Chang’ombe jijini Dar es salaam.
Meneja Mawasiliano Jamii kutoka Mfuko wa Changamoto za Milenia Tanzania (MCA-T) Margaret Mussai akifafanua jambo kwa Mgeni Rasmi Mkurugenzi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sVT7_sqNAyg/Xon60sbC8cI/AAAAAAALmFM/GXwtRMgLxJQ_Ufwe8pnpFPC_QXPOIQ4LwCLcBGAsYHQ/s72-c/bde1ae64-b727-4769-987f-e839b1ba6c61.jpg)
Wataalamu Kutoka Wizara Nne Yawasili kwa Mzee Kisangani
![](https://1.bp.blogspot.com/-sVT7_sqNAyg/Xon60sbC8cI/AAAAAAALmFM/GXwtRMgLxJQ_Ufwe8pnpFPC_QXPOIQ4LwCLcBGAsYHQ/s640/bde1ae64-b727-4769-987f-e839b1ba6c61.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/e53b4a4d-b0ef-4224-990f-aa94532e4f5f.jpg)