Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siri ya Magufuli kuweka kiporo wizara nne nyeti

Uamuzi wa Rais John Magufuli kuweka kiporo wizara nne nyeti alipotangaza Baraza la Mawaziri linaloapishwa leo Ikulu bila kuteua mawaziri umeibua hisia ambazo zinajibiwa na wasomi, wachambuzi kama mkakati mahsusi wa kiongozi huyo kutaka zitimize wajibu wake ipasavyo.     

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kura za siri,wazi kiporo

BADO MUAFAKA! Ndivyo ilivyojidhihirisha jana kwenye Bunge Maalum la Katiba, ambalo limeshindwa kufikia makubaliano ya kura gani, itumike wakati wa kupitisha uamuzi wa ibara za rasimu ya Katiba mpya. Kura inayobishaniwa na wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, ni kama iwe ya siri au wazi, jambo lililogawa Bunge hilo katika makundi mawili, yanayotofautiana kuhusu namna gani uamuzi ufanyike ndani ya Bunge hilo.

 

11 years ago

Habarileo

Kura ya siri, wazi kiporo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijadiliana jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd (kushoto) kabla ya kuanza kwa semina ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma jana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).BADO MUAFAKA! Ndivyo ilivyojidhihirisha jana kwenye Bunge Maalum la Katiba, ambalo limeshindwa kufikia makubaliano ya kura gani, itumike wakati wa kupitisha uamuzi wa ibara za rasimu ya Katiba mpya.

 

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli aweka kiporo uuzaji nyumba

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli akutana na taasisi nyeti

RAIS John Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wanne wa taasisi nyeti tofauti kuhusu mambo mbalimbali ya mustakabali wa Serikali yake ya awamu ya tano.

 

9 years ago

Bongo5

Drake awa msanii wa nne kuweka rekodi hii kwenye Billboard

Huu umekuwa mwaka mzuri kwa Drake. Aliachia mixtape ya ushirikiano na Future, What a Time To Be Alive na sasa amefikisha nyimbo 100 kwenye chart ya Billboard Hot 100 tangu aanze kufanya muziki miaka sita iliyopita. Rapper huyo anayetokea nchini Canada alikuwa na nyimbo 92 kabla ya mixtape yake kutoka Jumapili iliyopita ambapo nane kati […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais Magufuli atangaza Baraza jipya la Mawaziri huku akiwaweka kiporo wengine!!

jbb1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akitangaza baraza lake la mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam leo Desemba 10, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na kushoto ni Waziri Mkuu, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa.

BARAZA LA MAWAZIRI

1.Wizara ya Ofisi ya Rais,Tamisemi, Utumishi na Utawala Bora.

Mawaziri – George Simbachawene  na Angella Kairuki

Naibu Waziri – Sumeilam Jafo. Naibu.

2.Wizara ya Ofisi ya Makamu wa Raisi, Muungano na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Dk. Magufuli: “ Ziara yangu ya kushtukiza Wizara ya Fedha, imenisaidia kujua changamoto zinazoikabili wizara hii”

IMG_5422

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiambatana na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt.  Servacius Likwelile alipotembelea ofisi za Wizara ya Fedha.

IMG_5434

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipata ufafanuzi kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt.  Servacius Likwelile wakati wa ziara hiyo.

IMG_5475

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli  akiongea na uongozi wa Wizara ya Fedha.

Rais wa Jamhuri wa Muungano...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wizara ya Fedha yajivunia Tamasha la Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne

01

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Herman Mwansoko akitoa hotuba wakati wa kufunga Mashindano ya Tamasha la Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne yaliyoandaliwa na Wizara ya Fedha kwa kushikiana na Taasisi zake liLIlofanyika viwanja vya Sigara (TCC) Chang’ombe jijini Dar es salaam.

02

Meneja Mawasiliano Jamii kutoka Mfuko wa Changamoto za Milenia Tanzania (MCA-T) Margaret Mussai akifafanua jambo kwa Mgeni Rasmi Mkurugenzi...

 

5 years ago

Michuzi

Wataalamu Kutoka Wizara Nne Yawasili kwa Mzee Kisangani

Timu ya wataalamu wakiwa ofisini kwa Mkuu wa Wilaya ya Ludewa. Katikati ni Mkuu wa Wilaya hiyo Andrea Tsere akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kamati. Wa nne kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati Prof. Silvester Mpanduji ambae ni Mkurugenzi Mkuu wa SIDO.Wajumbe wa Kamati wakinawa Maji na sababu kama sehemu ya kujikinga na COVID-19 kwenye Lango la kuingilia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani