Siri ya ufisadi bandari hadharani
Na Masyaga Matinyi, Dar es Salaam
UAMUZI wa kuondoa majukumu ya kushughulikia mizigo kutoka menejimenti ya Bandari ya Dar es Salaam (TPA) na kuyakabidhi kwa kamati ya watu watano, imebainika kuwa chanzo cha upotevu wa mankotena na kuisababishia Serikali hasara ya mabilioni ya shilingi.
Inadaiwa kuwa timu hiyo ya watu watano ilishindwa kutekeleza majukumu yaliyokuwa yakifanywa na menejimenti ya Bandari ya Dar es Salaam na kutoa mwanya uliochangia upotevu.
Uchunguzi wa MTANZANIA umebaini kuwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Siri zaidi IPTL hadharani
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Siri ya mafanikio ya Himid Mao hadharani
KARIBU mpendwa msomaji wa gazeti pendwa la Tanzania Daima katika safu mpya ya ‘Jicho Letu Mitandaoni’ itakayokuwa ikikujia kila Jumatatu, ikibeba dhima ya kukupa wewe msomaji machache kati ya mengi...
9 years ago
Bongo526 Dec
Ridhiwan aweka mambo hadharani, soma alichojibu kuhusiana na shutuma za ufisadi dhidi yake
![Riz](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Riz-300x194.jpg)
Soma kile alichoandika Ridhiwan Kikwete kujibu tuhuma mbalimbali za ufisadi zilizomwandama kwa miaka mingi.
Ndugu zangu waandishi wa habari, nimeamua kuwaita ili kuzungumza nanyi kuhusu baadhi ya mambo yaliyokuwa yanasemwa katika vyombo vya habari kuhusu mimi.
Awali ya yote napenda kusema kuwa habari hizo ni UONGO mtupu, ni mambo yanayozushwa na waandishi wa habari hizo kwa nia ya kuchafua jina langu kwa sababu wanazozijua wanaoandika. UKWELI ni kwamba haya ni mambo yenye kufanywa kwa nia...
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Zanzibar kujengwa Bandari kubwa chini ya Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya Jamuhuri ya Watu wa China (CHEC)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Muwakilishi wa Kampuni ya Ujenzi wa Bandari ya China yenye Tawi la Ofisi yake Nchini Tanzania Bwana Xu Xinpei.
Muwakilishi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ujenzi wa Bandari ya China Bwana Xu Xinpei akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif. Bwana Xu Xinpei ameelezea azma ya Kampuni yake kutaka kuwekeza katika sekta na Bandari na Hoteli ya Kimataifa ya Kitalii hapa Zanzibar.
Balozi wa Malawi...
10 years ago
Vijimambo22 Apr
Ufisadi, ufisadi, ufisadi TRL
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Sitta-22April2015.jpg)
Aidha, imebainika pia kuwa ya...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Oct
CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI
Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania Wa Zanzibar na Tanganyika natumai mumeamka salama na muko katika harakati za kutafuta KIJIO. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijaalia kunipa uzima, afay na muda huu mdogo wakufikisha ujumbe […]
The post CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Aug
Waficha siri wanapozifichua siri
Na Rashid Abdallah Kule Zanzibar kulisemwa kuwa, hatutoi nchi kwa makaratasi (yaani ushindi hautolewi kwa kura),kisha Jakaya anakazia kwa kusema kuwa wao ni wazoefu wa kutumia mbinu, ni wazoefu wa kushinda kwa mbinu, Nape Nauye anashindia […]
The post Waficha siri wanapozifichua siri appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJOu26l9X6TYGFawZr7IkIYk9PC1pWRkE*qV3p45qlPrSg6mLEkSaLgadOsgi-eAh03A*y4HfL6jSE1jl6A3xVnI/FRONTJUMAMOSI.jpg)
MAMBO HADHARANI
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Wabunge waumbuana hadharani