Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SIRI YA VIJORA VYA MAMA CHOGO

     Na.Khadija seif, Michuzi tv.
MSANII anayekimbiza kwenye tasnia ya uchekeshaji nchini, Abdallah Sultan a.k.a Dulvan amezindua rasmi shindano la "Asante fans".
Dullvan amesema kuwa kutokana na kupokelewa kwake vizuri na mashabiki zake ameamua kurudisha fadhila kwa mashabiki zake kupitia shindano hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari amesema kuwa vigezo vya kushiriki kwenye shindano hilo ni kumfwatilia kwenye mitandao yake ya kijamii kwa njia ya kuchangia ujumbe mfupi na  kuwatag watu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Ugonjwa wa Mama Diamond ni siri

 Akizungumza na Mwanaspoti meneja huyo Hamis Taletale maarufu Babu Tale alisema hiyo ni siri ya familia na hawawezi kutoa majibu kuhusu lolote linaloendelea.

SIKU chache baada ya mama wa mwanamuziki Diamond Platnumz, Sanura Kassim kuripotiwa kuwa amelazwa nchini India kwa ajili ya matibabu, meneja wa mwanamuziki huyo amesema hiyo itaendelea kuwa siri ya familia.Akizungumza na Mwanaspoti meneja huyo Hamis Taletale maarufu Babu Tale alisema hiyo ni siri ya familia na hawawezi kutoa majibu...

 

10 years ago

GPL

MAMA ADAIWA KUMCHANA MWANAYE VIWEMBE SEHEMU ZA SIRI!

Na Gladness Mallya na Shani Ramadhani
Inauma sana! RB namba KMR/RB/7911/2014-KUJERUHI iliyopo kwenye Kituo cha Polisi cha Mbezi-Kwayusuph jijini Dar, inamshikilia mama aliyetajwa kwa jina moja la Schola , mkazi wa Kibanda cha Mkaa, Mbezi kwa shitaka la kumchana kwa viwembe mwanaye Mwajuma (6) aliyezibwa usoni kwa sababu ya kukojoa kitandani. Mtoto Mwajuma aliyechanjwa viwembe sehemu za siri na mama yake. Akizungumza kwa...

 

5 years ago

Michuzi

MASAUNI ATEMBELEA CHUO CHA ZIMAMOTO NA UOKOAJI CHOGO NA KUFANYA MKUTANO NA WAKIMBIZI RAIA WANAOLALAMIKIA KUPORWA ARDHI

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni akimsikiliza Mkuu wa Chuo cha Zimamoto na Uokoaji Chogo ,Kamishna Msaidizi,Kennedy Komba(kulia) wakati wa ukaguzi wa mabweni yanayotumiwa na wanafunzi wa chuo hicho kilichopo wilayani Handeni mkoani Tanga,leo.Katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Handeni Godwin Gondwe.Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni(wapili kulia),Mkuu wa Wilaya ya Handeni,Godwin Gondwe (watatu kulia),Mbunge wa Handeni Vijijini,Mboni ...

 

5 years ago

Michuzi

MAMA MAGUFULI AKABIDHI MISAADA KWA VITUO VYA KULELEA WATOTO VYA CHESHIRE NA NYUMBA YA MATUMAINI DODOMA


Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli aakiongea baada ya kukikabidhi vitu mbalimbali kwa wawakilishi wa walezi na watoto wanaolelewa katika Kituo cha Nyumba ya Matumaini wakati wa hafla fupi ya kukabidhi misaada kwa vituo vya kulelea watoto wenye mahitaji iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Alhamisi Machi 19, 2020
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akikabidhi vitu mbalimbali kwa wawakilishi wa walezi na watoto wanaolelewa katika Kituo cha Cheshire Home wakati wa hafla fupi ya kukabidhi...

 

10 years ago

Mwananchi

Siri yafichuka viungo vya albino

Kila kiungo kimoja cha ‘albino’, huuzwa kwa bei kubwa, hali inayotajwa kuwa kiini cha kukithiri kwa mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi, mahakama mkoani Geita ilielezwa jana.

 

9 years ago

Raia Mwema

Siri na viroja vya Jumba la Maajabu

ALAMA moja kubwa ya Zanzibar ni jengo la Beit el Ajaib (Jumba la Maajabu).

Ahmed Rajab

 

5 years ago

Michuzi

MAMA MAGUFULI AKABIDHI MISAADA KWA VITUO VYA KULELEA WATOTO VYA CHESHIRE HOME NA NYUMBA YA MATUMAINI JIJINI DODOMA

Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Janeth Magufuli ametoa wito kwa taasisi mbalimbali, mashirika, wafanyabiashara na watu wenye mapenzi mema kujitolea kusaidia watu wenye uhitaji maalumu kwani kwa kufanya hivyo ni kutimiza amri kuu ya upendo ya Mwenyezi Mungu isemayo pendaneni kama mimi nilivyowapenda ninyi. 
 Mama magufuli ameyasema hayo wakati akitoa misaada mbalimbali kwa vituo vya kulelea watoto wenye mahitaji maalumu vya Cheshire Home na Nyumba ya Matumaini katika hafla...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siri zazidi kuvuja viungo vya binadamu

SIKU moja baada ya serikali kufunga Hospitali ya Chuo cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU), kwa madai ya kuendeshwa kwa kukiuka taratibu za tiba, Tanzania Daima Jumapili limedokezwa hatua...

 

11 years ago

Mwananchi

Siri utupaji viungo vya maiti yabainika

>Wakati ikibainika kuwa viungo vya miili ya binadamu vilivyookotwa juzi katika Bonde la Mto Mpiji nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam vilitoka katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU), jana Jeshi la Polisi liliwatia nguvuni watumishi wanane wa chuo hicho kuhusiana na sakata hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani