Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siri na viroja vya Jumba la Maajabu

ALAMA moja kubwa ya Zanzibar ni jengo la Beit el Ajaib (Jumba la Maajabu).

Ahmed Rajab

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Vioja na Viroja vya Unguja

Tulikuwa tukiambiwa Unguja ni njema, atakae naaje. Kwa wale wanaoifahamu wakifika sasa hivi watakwambia ‘Unguja ni mbovu haifai hata kuikaribia’ Ule ujanja ujanja uliokuwapo kule Bara sasa umehamia Unguja. Watu wanatengeneza kila ujanja ilhali wajipatie fedha. […]

The post Vioja na Viroja vya Unguja appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Siri yafichuka viungo vya albino

Kila kiungo kimoja cha ‘albino’, huuzwa kwa bei kubwa, hali inayotajwa kuwa kiini cha kukithiri kwa mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi, mahakama mkoani Geita ilielezwa jana.

 

5 years ago

Michuzi

SIRI YA VIJORA VYA MAMA CHOGO

     Na.Khadija seif, Michuzi tv.
MSANII anayekimbiza kwenye tasnia ya uchekeshaji nchini, Abdallah Sultan a.k.a Dulvan amezindua rasmi shindano la "Asante fans".
Dullvan amesema kuwa kutokana na kupokelewa kwake vizuri na mashabiki zake ameamua kurudisha fadhila kwa mashabiki zake kupitia shindano hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari amesema kuwa vigezo vya kushiriki kwenye shindano hilo ni kumfwatilia kwenye mitandao yake ya kijamii kwa njia ya kuchangia ujumbe mfupi na  kuwatag watu...

 

11 years ago

Mwananchi

Siri utupaji viungo vya maiti yabainika

>Wakati ikibainika kuwa viungo vya miili ya binadamu vilivyookotwa juzi katika Bonde la Mto Mpiji nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam vilitoka katika Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU), jana Jeshi la Polisi liliwatia nguvuni watumishi wanane wa chuo hicho kuhusiana na sakata hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siri zazidi kuvuja viungo vya binadamu

SIKU moja baada ya serikali kufunga Hospitali ya Chuo cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU), kwa madai ya kuendeshwa kwa kukiuka taratibu za tiba, Tanzania Daima Jumapili limedokezwa hatua...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI

Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania Wa Zanzibar na Tanganyika natumai mumeamka salama na muko katika harakati za kutafuta KIJIO. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijaalia kunipa uzima, afay na muda huu mdogo wakufikisha ujumbe […]

The post CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI appeared first on Mzalendo.net.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mwanamke Aliyezaa watoto wawili na Assange kwa siri ubalozini aeleza hofu yake

Mwanasheria Stella Morris anasema wawili hao walianza mapenzi yao mwaka 2015 wakati Asange akiwa mafichoni kwenye ubalozi wa Ecuador jijini London.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jumba la wafu na wafungwa la Nigeria

Maiti zilizooza na watu waliofungwa minyororo wakutikana kwenye nyumba moja mjini Ibadan, kusini-magharibi mwa Nigeria

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je ni ipi siri ya bara la Afrika kutoathirika pakubwa na corona?

Tangu mgonjwa wa kwanza kutangazwa Afrika Februari 14, vyombo vya habari kote duniani, wataalamu, serikali na hata Shirika la Afya Duniani wametabiri kutokea kwa janga katika bara hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani