Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ugonjwa wa Mama Diamond ni siri

 Akizungumza na Mwanaspoti meneja huyo Hamis Taletale maarufu Babu Tale alisema hiyo ni siri ya familia na hawawezi kutoa majibu kuhusu lolote linaloendelea.

SIKU chache baada ya mama wa mwanamuziki Diamond Platnumz, Sanura Kassim kuripotiwa kuwa amelazwa nchini India kwa ajili ya matibabu, meneja wa mwanamuziki huyo amesema hiyo itaendelea kuwa siri ya familia.Akizungumza na Mwanaspoti meneja huyo Hamis Taletale maarufu Babu Tale alisema hiyo ni siri ya familia na hawawezi kutoa majibu...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali ilifanya siri ugonjwa wa dengue

Ugonjwa wa homa ya dengue ambao umezidi kusambaa mkoani Dar es Salaam na kuathiri wilaya zake tatu za Temeke, Ilala na Kinondoni umezua hofu na taharuki kubwa kwa wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Warts’ ugonjwa unaoathiri sehemu za siri za wanaume, wanawake

Ni ugonjwa ambao pia unaweza ukatokea kwenye kiungo chochote cha mwili kama vile usoni na mikononi.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Mama Diamond na mama Zari walipokutana kwenye ‘state house’ ya Platnmuz

Nyuso za wazazi wa mastaa wawili wa Afrika, Diamond na Zari zilionekana zenye furaha mbele ya mjukuu wao Lattifah Nasib a.k.a Tiffah katika picha waliyopiga nyumbani kwa Diamond ambapo mwenyewe anapaita ‘state house’. Zari amepost picha ya mama yake mzazi akiwa amembeba Tiffah na pembeni akiwa na mama yake Diamond, kwa pamoja wanaonekana wakizungumza jambo […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Jitihada elekezi siri ya ushindi wa vita dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi katika kipindi cha mlipuko wa ebola

apollo-hospitals

Tarehe 1 Desemba kila mwaka watu wote duniani huazimisha Siku ya Ukimwi Duniani, siku ambayo ilianzishwa mnamo mwaka 1987 na ambayo hubeba maudhui mbali mbali ikiwa kwa mwaka huu ikibeba maudhui ya  Focus, Partner, Achieve: An AIDS-free Generation yaani Elekeza, Jiunge na Pata: Kizazi kisicho na Ukimwi. Ujumbe unaokumbusha jamii kuwa ugonjwa wa Ukimwi kuwa bado ni tatizo linalohitaji jitihada endelevu na elekezi hata katika wakati wa milipuko ya magonjwa mengine katika jamii. Siku ambayo...

 

10 years ago

Vijimambo

Wema Sepetu Atoswa ! Vikao Vya Harusi Ya Diamond Na Meninah Vyaanza Nyumbani Kwa Mama Diamond.

Meninahhabari mpya zinasema kuwa vikao vya harusi ya Diamond na Meninah ambaye ni mwanamuziki wa Bongo fleva vimeanza kimya kimya nyumbani kwa mama Diamond huku mmoja wa wahudhuriaji wakiwa ni mama Diamond mwenyewe na Queen Darling ambaye ni dada wa Diamond.Kwa mujibu wa Baabkubwa magazine paparazzi wake alienda nyumbani kwa Diamond hivi juzi kati kufanya nae mahojiano hata hivyo hakumkuta Diamond lakini alimkuta mmoja wa watu wake wa karibu ambaye yupo pia upande wa Wema Sepetu.Chanzo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mama anayenusa ugonjwa wa kutetemeka 'Parkinson'

Mama mmoja huko Scotland amewaacha madaktari vinywa wazi kutokana na uwezo wake wa kunusa na kutambua watu walio na ugonjwa wa kutetemeka 'Parkinson'

 

10 years ago

GPL

MAMA ANAWA MIKONO UGONJWA WA BANZA

Gladness Mallya
MAMA mzazi wa mwanamuziki nyota wa muziki wa dansi aliye mgonjwa, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ aitwaye Khadija, amenawa mikono kuhusiana na ugonjwa wa mwanaye, akisema akiwa mzima, alifanya kila aliloweza kumshawishi aache pombe, lakini hakufanikiwa, kwani anaamini maradhi yake pamoja na mambo mengine, yamesababishwa pia na kilevi. Mwanamuziki wa Bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja...

 

5 years ago

Michuzi

SIRI YA VIJORA VYA MAMA CHOGO

     Na.Khadija seif, Michuzi tv.
MSANII anayekimbiza kwenye tasnia ya uchekeshaji nchini, Abdallah Sultan a.k.a Dulvan amezindua rasmi shindano la "Asante fans".
Dullvan amesema kuwa kutokana na kupokelewa kwake vizuri na mashabiki zake ameamua kurudisha fadhila kwa mashabiki zake kupitia shindano hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari amesema kuwa vigezo vya kushiriki kwenye shindano hilo ni kumfwatilia kwenye mitandao yake ya kijamii kwa njia ya kuchangia ujumbe mfupi na  kuwatag watu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani