Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta atuhumiwa kupendelea

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Khamis Kigwangala, amemtuhumu Mwenyekiti wa bunge hilo, Samuel Sitta, kuliendesha kwa upendeleo, uonevu na ushabiki. Kigwangala alisema Sitta, amekuwa na tabia ya kupendelea wachache...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

FA:Wenger akiri kupendelea kombe la mabingwa

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amekiri kuwa amekuwa akichezesha kikosi hafifu katika michuano ya FA

 

11 years ago

Habarileo

Mwenyekiti Bunge Maalum adaiwa kupendelea

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka kundi la Asasi zisizo za kiserikali (NGO), amemlalamikia Mwenyekiti wa muda wa bunge hilo, Pandu Ameir Kificho kuwa anawapa nafasi ya kuchangia kwenye bunge hilo watu maarufu na wanaotoka kwenye vyama vya siasa.

 

9 years ago

GPL

AUNT ATUHUMIWA USHIRIKINA

Moses Iyobo na Aunt Ezekie. Imelda Mtema MAKUBWA! Mzazi mwenziye na dansa wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Iyobo, Mwengi amemtuhumu mwigizaji Aunt Ezekiel kuwa ni mshirikina akidai amemrogea mwanaye. Moses Iyobo na Mwengi samabamba na mtoto wao. Mwengi alisema hivi karibuni…

 

11 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kumuua mwanawe

BABA mzazi anatuhumiwa kumuua mwanawe katika kijiji cha Igalla wilayani Ukerewe katika ugomvi wa shamba.

 

11 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kutapeli gari

MKAZI wa Msasani, Felix Mwaipunga (34) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo jijini Dar es Salaam kujibu mashitaka ya kujipatia gari kwa njia ya udanganyifu.

 

11 years ago

Habarileo

Mkurugenzi atuhumiwa kukanyaga mboga

BAADHI ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi wamelaani kitendo cha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime mkoani Mara, Venance Mwamengo cha kukanyanga kwa gari bidhaa walizokuwa wakiuza nje ya Soko Kuu la Tarime.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC Ilemela atuhumiwa kumlinda mwekezaji

UONGOZI wa kiwanda cha kutengeneza nondo cha Nyakato Steel Mills (NSM), na uongozi wa Serikali ya Wilaya ya Ilemela jijini Mwanza, umeingia kwenye mgogoro na wananchi wapatao 200, wanaodai kutaka...

 

11 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kulawiti mtoto wa mkewe

MKAZI wa eneo la Majengo mjini Manyoni, Juma Saidi (32) anashikiliwa na Polisi akituhumiwa kumlawiti mtoto wa mkewe. Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 14, anasoma Kidato cha Kwanza katika shule moja ya sekondari wilayani Manyoni na inadaiwa alifanyiwa kitendo hicho juzi saa 6 usiku nyumbani kwao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani