Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AUNT ATUHUMIWA USHIRIKINA

Moses Iyobo na Aunt Ezekie. Imelda Mtema MAKUBWA! Mzazi mwenziye na dansa wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Iyobo, Mwengi amemtuhumu mwigizaji Aunt Ezekiel kuwa ni mshirikina akidai amemrogea mwanaye. Moses Iyobo na Mwengi samabamba na mtoto wao. Mwengi alisema hivi karibuni…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Ushirikina Uhuru Marathon

MBIO za Uhuru Marathon msimu wa pili zilizofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders Club, kwa kiasi fulani zilitiwa dosari kutokana na baadhi ya wanariadha kushutumiana kwa mambo ya kishirikina. Tukio...

 

10 years ago

GPL

USHIRIKINA WAMGANDA ESTER

Hamida Hassan
TUHUMA za ushirikina zinaendelea kumganda staa wa filamu Bongo, Ester Kiama anayedaiwa kujipandisha kisanaa kwa nguvu za giza zinazotokana na kitendo chake cha kuvaa pete yenye kito cha bluu. Staa wa filamu Bongo, Ester Kiama. Kwa mujibu wa chanzo makini cha habari, baadhi ya wasanii wenzake wamekuwa wakimsengenya kuwa pete yake hiyo amekuwa akiivaa muda wote, hata akiwa bafuni, kitendo kinachowafanya wahisi ni...

 

9 years ago

GPL

USHIRIKINA WAMKOSESHA AMANI BEATRICE

ALIYEKUWA mke wa muandaaji mahiri wa filamu Bongo George Tyson, ambaye kwa sasa amejikita kwenye ulimwengu wa filamu, Beatrice Shayo amesema kuwa, anajuta kuingia kwenye tasnia hiyo kutokana na kutawaliwa na imani za kishirikina.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1JkkMC2

 

10 years ago

Mwananchi

Ushirikina wawakimbiza walimu vijijini

 Imeelezwa kuwa imani za kishirikina ndiyo chanzo cha walimu kushindwa kufundisha maeneo ya vijijini pindi wanapopangiwa kutokana na kutishiwa maisha wanapotoa adhabu kwa wanafunzi wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Hauna ushirikina katikanmimba hizi

Yapo mambo mengi ambayo hutokea katika jamii zetu na kwa mtazamo wa haraka huonekana kuwa pengine ni kiini macho na pengine kuhusisha na imani za kishirikina.

 

11 years ago

GPL

BATULI ACHIMBA MKWARA USHIRIKINA

Stori: Mayasa Mariwata
STAA wa filamu za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ amesema kama kuna mtu yeyote anahusika na vifo vya wasanii katika ushirikina basi anajisumbua, kwake hawafui dafu. STAA wa filamu za Kibongo, Yobnesh Yusuph ‘Batuli’ Batuli ameiambia Bongowood kuwa, hana uhakika kama wasanii hao vifo vyao vinatokana na mkono wa mtu kama minong’ono iliyoenea lakini kama kuna mambo ya...

 

10 years ago

Habarileo

320 wauawa kwa ushirikina

ZAIDI ya watu 320 wameuawa nchini katika robo ya mwaka huu wakihusishwa na ushirikina.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ushirikina wasababisha vifo India

Imani za kishirikina zinazowalenga wanawake zinasababisha vifo vingi India

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yakemea ushirikina Rungwe

 Katibu Tawala wa Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, Moses Mashaka amekemea tabia ya wananchi wa wilaya hiyo kukumbatia imani za kishirikina na kusababisha kushika nafasi ya pili ngazi ya mkoa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani