Sitta: Saini za Nyerere, Msekwa zimechezewa
Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta amekiri “kuchezewa†kwa saini ya hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na sehemu ya saini ya aliyekuwa Katibu wa Bunge la Tanganyika, Pius Msekwa zilizopo kwenye hati ya sheria ya kuridhia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Msekwa: Sitta ana lake jambo
>Siku moja baada ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samwel Sitta kukiri kuchezewa kwa saini ya aliyekuwa Katibu wa Bunge la Tanganyika, Pius Msekwa na Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Msekwa amesema, ‘mzungumzaji huyo ana lake jambo’.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CVvdAaJQp8o/VSvl_I86HEI/AAAAAAAC3GA/hvaZuVRrVWY/s72-c/jk2.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA KOZI MAALUMU YA MAADILI NA UONGOZI, AMSIMIKA MZEE MSEKWA KUWA MWENYEKITI WA KIBWETA CHA MWALIMU NYERERE
![](http://1.bp.blogspot.com/-CVvdAaJQp8o/VSvl_I86HEI/AAAAAAAC3GA/hvaZuVRrVWY/s1600/jk2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fkKSQBAaBZc/VSvl_FSs7CI/AAAAAAAC3Fs/tMdpOrT3p8s/s1600/jk3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GtQ0wz1E444/VSvmAFEsDvI/AAAAAAAC3F8/lqjIP1OKQWA/s1600/jk4.jpg)
10 years ago
Daily News02 Aug
Msekwa new MoCU Chancellor
Daily News
Former Speaker of the National Assembly has been appointed Chancellor of Moshi Co-operative University (MoCU). At a ceremony held here on Friday, Mr Pius Msekwa was handed over the mantle by the interim Chancellor, Mr Al Noor Kassum. Mr Msekwa ...
11 years ago
TheCitizen27 Jun
Analysts criticise Msekwa’s stance
>Recent remarks by a veteran politician and former Speaker, Mr Pius Msekwa, that Tanzania does not need to write a new Constitution was yesterday greeted with mixed reactions by political analysts, politicians, activists and other members of the public.
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Msekwa atoboa siri ya Muungano
>Wiki mbili kabla ya Tanzania kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa ametoboa siri ya Muungano huo akisema “mchakato wa kuundwa kwake ulifanywa kwa siri na haraka sana,†kutokana na upepo wa kisiasa na usalama wa kipindi hicho.
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Msekwa, Kisumo wakoleza moto
Wakati mjadala wa uteuzi wa mawaziri ukiendelea kupamba moto nchini, makada wakongwe wa CCM, Pius Msekwa na Peter Kisumo wamesema Rais Jakaya Kikwete ndiye mwenye mamlaka ya kuteua na habanwi na chama, wala mtu yeyote.
10 years ago
Mwananchi22 Jul
Msekwa amtolea uvivu Kingunge
Makamu mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amemrushia kombora kada mkongwe wa chama hicho, Kingunge Ngombale-Mwiru kuwa, hazijui vyema kanuni zinazoongoza mchakato wa uteuzi wa mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho tawala.
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Msekwa: Msishangae, Ni kawaida kususia Bunge
>“Sijaweka orodha ya vitabu vya mwaka huu, sijavi-document (sijaviorodhesha) pale.†Hii ni kauli ya mwanasiasa mkongwe, Pius Msekwa ambaye ameshika nyadhifa mbalimbali katika Bunge, chama tawala ambaye katika mahojiano maalum na waandishi wa Mwananchi alikuwa na mengi ya kusema.
5 years ago
The Citizen Daily12 Mar
Msekwa: multi-party system is a need of time, society
Msekwa: multi-party system is a need of time, society The Citizen Daily
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania