Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta,mwanasiasa aliyebebwa na jitihada zake mwenyewe

Waziri wa Uchukuzi Samuel Sitta, ni miongoni mwa makada wa Chama cha Mapinduzi(CCM), wanaowania urais. Hivi karibuni mwandishi wa makala haya alitembelea jimboni kwake na kuzungumza na wakazi wa eneo hilo alikozaliwa kujua namna anavyopokelewa kwao na matumaini ya watu hao kwake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

FORUMCC WAIPONGEZA SERIKALI KWA JITIHADA ZAKE ZA UJENZI WA MITAMBO YA KUZALISHA UMEME UNAOTOKANA NA JOTO ARDHI

Mkurugenzi wa Shirika la FORUMCC Rebecca Muna(kulia) akizungumza leo jijini Dar es Salaam na waandishi wa habari kuhusu maoni yao katika bajeti ya fedha ya mwaka 20/21 ya Wizara ya Nishati ambayo imezingatia umuhimu wa kuendeleza na kuimarisha matumizi ya nishati ya umeme itokanayo na jotoardhi. Kushoto ni Mratibu wa Miradi wa ForumCC Henry  Kazula.


Mratibu wa Miradi wa Shirika la ForumCC Henry  Kazula(kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa shirika hilo Rebecca Muna wakisikiliza maswali ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Mwanaume Mwenye Hips Kubwa na za Kuvutia jitiririshe kuona picha zake na takubari mwenyewe

Uwezi Kuamini Kama Huyu ni Mwanaume wa Shoka Kabisa na sio Shoga ila ana Hips Balaa , Tena hips ambazo Wanawake wengi huzitamani mpaka kwenda kuzitafuta kwa Operation na Kumeza madawa ya kichina...Anaitwa Micah ni Kijana Mwanamuziki wa mwenyeji wa Chicago ..Leo ametupia picha nyingine kwenye account yake ya Instagram kama anavyoonekana hapo juuu kiasi cha Midume mingine kucomment na kuacha number zao za simu ..Check out more cuts…
I know a lot of women out there will be super jealous of this...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU SPIKA WA BUNGE DK.TULIA AUPONGEZA UBALOZI WA UFARANSA NCHINI TANZANIA KWA JITIHADA ZAKE ZA KUSHIRIKI KIKAMILIFU KULETA MAENDELEO

 Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Fr'eder'ic Clavier(wa nne kutoka kulia) akizungumza jambo wakati wa hafla ya chakula cha usiku ambacho amekiandaa kwa ajili ya mabalozi wa nchi mbalimbali waliopo nchini ambao nchi zao zinazungumza lugha ya Kifaransa.(wa watano kulia ni Naibu Spika wa Bunge Dk.Tulia Ackson akiwa aliyeshiriki kwenya hafla hiyo. Naibu Spika Dk.Tulia Ackson akitoa pongezi kwa Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania Fr'eder'ic Clavier kutokana na jitihada zao za kushiriki kwenye...

 

10 years ago

Mwananchi

Kigwangalla, mwanasiasa aliyepikwa na mwanasiasa

Kwa kipindi cha miaka mitano, jina la Dk Hamis Kigwangalla limekuwa likivuma katika medani za siasa nchini, hasa baada ya mwaka 2010 kuteuliwa kugombea nafasi ya Ubunge katika jimbo la Nzega.

 

11 years ago

GPL

SHEDDY CLEVER; PRODYUZA ALIYEBEBWA NA NYOTA YA DIAMOND

Prodyuza aliyebebwa na nyota ya Diamond, Shadrack Willced Mongi au Sheddy Clever. KILA mtu ana ndoto zake kichwani, ili kuzibadilisha ndoto hizo kwenye uhalisia inahitajika kujitoa kinagaubaga ndipo mafanikio yatakapoonekana. Nasibu Abdull ‘Diamond’akiwa studio. Shadrack Willced Mongi au Sheddy Clever kama anavyofahamika na wengi naye alikuwa ni prodyuza wa muziki mwenye ndoto zake, alitamani kufanya kazi na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mimi si mwanasiasa — Nkya

MTETEZI wa Haki za Wanawake, Ananilea Nkya, amesema yeye si mwanachama wa chama chochote cha siasa bali amekuwa akizungumza ukweli kuhusiana na Taifa. Hatua hiyo imetokana na watu wengi kumhusisha...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mke wa mwanasiasa atekwa Cameroon

Mke wa naibu waziri mkuu wa Cameroon atekwa nyara na wapiganaji wa Nigeria kaskazini mwa nchi

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanasiasa maarufu akamatwa N. Ireland

Polisi huko Ireland Kazkazini wamemkamata mwanasiasa mashuhuri wa chama cha Sinn Fein,Gerry Adams kwa mauaji .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani