SMZ yatakiwa kutenga bajeti ya malaria
NCHI washiriki wa maendeleo na mashirika ya Kimataifa wameitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), kuchangia katika mapambano dhidi ya malaria kwa kutenga bajeti ya fedha kwa mwaka na kuhakikisha ugonjwa huo unatokomezwa moja kwa moja.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Jamii yatakiwa kutenga fedha kusaidia walemavu
WAKAZI wa Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha na maeneo jirani wameombwa kutenga sh 1,500 katika matumizi yao ya siku kwa ajili ya kuchangia gharama za uendeshaji wa kituo cha kulelea...
9 years ago
Habarileo06 Jan
Halmashauri zatakiwa kutenga bajeti damu salama
SERIKALI imezitaka kila halmashauri nchini kuhakikisha kuwa inatenga bajeti ya kutosha kwa ajili ya damu ili kuwezesha wagonjwa wanaohitaji huduma hiyo kuipata na kuepusha kupoteza maisha ya watu hususan wajawazito na watu walioathirika na ajali.
10 years ago
MichuziSerikali yatangaza kutenga bajeti zaidi kwenye tafiti za afya.
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Halmashauri, Wilaya na Majiji yaagizwa kutenga bajeti ya kugharamia huduma za watu wenye Albinisim
Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2015, Juma Khatib Chum,akizindua mradi wa kilimo cha umwangiliaji cha vitunguu kijiji cha Nkungi wilaya ya Mkalama.Chum aliagiza vijana waache kukaa vijiweni na badala yake waelekeze nguvu zao katika shughuli mbalimbali zitakazowapatia kipato ikiwemo kilimo cha umwangiliaji.
Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Fadhili Nkurlu, akizungumza na wakazi wa kijiji cha Dominiki wakati mbio za mwenge wa uhuru.
Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru 2015, Juma...
11 years ago
Michuzi17 Mar
Wananchi Rukwa Waunga mkono Serikali Kutenga Bajeti Maalum Kukabiliana Vifo vya Uzazi
Zaidi ya chupa 970 za damu zilipatikana katika maadhimisho ya wiki ya utepe mweupe.[/caption] ZAIDI ya...
9 years ago
StarTV30 Nov
Serikali yashauriwa kutenga bajeti ya kununua vifaa tiba ili Kupunguza Vifo Vya Watoto
SERIKALI imepewa changamoto ya kutenga fedha katika bajeti yake na kununua vifaa tiba pamoja na dawa zitakazosaidia kupunguza au kuondoa kabisa vifo vya watoto wachanga hapa nchini ambapo ripoti mbalimbali zinaonyesha mwaka jana pekee imefikia watoto elfu kumi na tatu.
Changamoto hiyo imetolewa na Taasisi ya Doris Mollel Foundation muda mfupi baada ya kukabidhi vifaa vitakavyosaidia kuokoa maisha ya watoto wachanga hususani watoto njiti katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa.
Ndani ya...
11 years ago
Mwananchi15 May
Bajeti SMZ kodi juu