SNURA: SIJAZAA, KWA NINI MNANIZALISHA?
![](http://api.ning.com:80/files/Xl7BOeGlGv-iAOlD6LXFirH-R58DYhojMfRFuOq4BmZ0biE3vgQxJB-18DcrZLyBHGZjQUtu9Srwm5bMcP5*uWnmAzbbABex/Snura.jpg)
Gladness Mallya/Ijumaa Msanii anayefanya muziki na filamu Bongo, Snura Mushi ameeleza kushangazwa kwake na taarifa zinazozidi kuenea kuwa amejifungua, jambo ambalo anadai eti siyo kweli. Msanii anayefanya muziki na filamu Bongo, Snura Mushi. Madai ya staa huyo kujifungua kwa siri yameenea na hata wasanii wenzake wanajua hivyo lakini mwenyewe amekuwa akikanusha na kuwaacha mashabiki wake njia panda.Akipiga stori na Ijumaa hivi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0rHXrPktFjVvCXykzJYrbbHKXyJ1G6PzL0JZOF8g-hWTN9Nl8LFywGjBi8Ht9Wz7dt-DS5DV5jJrYuxiDhsq588/snurfa.jpg)
SNURA: SIACHIKI KWA DJ
11 years ago
GPL01 Jan
SNURA AWAPAGAWISHA MASHABIKI KWA MAUNO DAR LIVE
10 years ago
GPLKWA NINI BEI YA MAFUTA KWA WALAJI HAISHUKI KWA KASI?
11 years ago
Michuzi14 Apr
Kufikia kikomo kwa Windows XP, nini athari zake kwa mtumiaji?
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/rE-z8_HYVS9atWyw1-5wGBGs43fqhxAC0CF0jqSZZMJYx10AGSyfclkfjcI_LRI_j9zAG66C1CkJH48AKCmZTM7xcsMryX7k3Nf52z5gE-PieBHSoaG0vYon-9YP7OPt4-wBNyg=s0-d-e1-ft#http://dudumizi.com/media/k2/items/cache/2a14beb1aee2d71c6fecb12f25c690f7_M.jpg)
Mnamo tarehe 8/4/2014 kampuni ya utengenezaji wa mitambo endeshi ya kompyuta (Operating Systems) ya Microsoft ilisitisha utoaji wa huduma za muda mrefu kwa mitambo ya XP, ni moja ya mitambo endeshi inayotumika na watu wengi sana.Tangu kutoka kwa taarifa hizo, kumekuwa na maneno na mikanganyiko mingi mno kwa wateja hususan hapa Tanzania.
Kwakuwa ni mitambo inayotumika kwa weingi kwenye kompyuta nyingi zinazotumika kwenye mabenki na maofisini, hivyo watu walifika mbali hata kusema eti pesa...
10 years ago
Bongo514 Dec
Tumejifunza nini kwa mwamko huu tulioonesha kwa Idris na Happiness?
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Kwa nini usiwe mstahimilivu kwa mumeo hadi unachepuka?
KWANZA nianze kwa kuwasalimu wapenzi wasomaji wangu wa kona hii, assalamu alaykum na kwa wale wagonjwa ugueni pole na tuzidi kuombeana.
Baada ya kuwaeleza hayo, niingie moja kwa moja kwenye mada yetu ya leo iliyobeba kichwa cha habari, kwa nini usiwe mstahimilivu kwa mumeo hadi unafikia hatua ya kuchepuka?
Siku hizi wanawake wengi walio ndani na nje ya ndoa wameyageuza mapenzi kama vile fasheni, wanaishi katika ndoa vizuri lakini mwenza wake akipata matatizo kidogo tu anaamua kuanzisha tabia...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kwa nini ni muhimu kwa mwananchi kushiriki katika mchakato wa bajeti ya serikali?
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Taitizo la Android: Kwa nini picha hii ni hatari kwa simu yako?