Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SNURA: SIACHIKI KWA DJ

Stori: Denis Mtima
MAMAA Majanga, Snura Mushi amekiri kutoka katika uvungu wa moyo wake kuwa amedhibitiwa vilivyo na penzi la jamaa anayetoka naye kwa sasa aitwaye DJ Hunter hivyo hawezi kuachika. Mamaa Majanga, Snura Mushi akijiachia kijanja na mpenzi wake DJ Hunter. Akipiga stori na mwandishi wetu,…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JACK CHUZI: MTASUBIRI SANA SIACHIKI NG'O

Stori: Imelda Mtema
MWIGIZAJI Bongo, Jacqueline Pentenzel ‘Jack Chuz’, amewabwatukia mashostisto zake ambao wanaomba aachike kwa mumewe Gardner Dibibi, kuwa wanajisumbua kwani hatoachika. Jacqueline Pentzel ‘Jack wa Chuz’. Akiizungumzia ndoa yake yenye umri wa zaidi ya mwaka mmoja, Jack alisema hata wakigombana huwa wanapatana haraka: “Najua wapo wanaokesha kuomba tuachane, niwaambie tu,...

 

10 years ago

GPL

SNURA: SIJAZAA, KWA NINI MNANIZALISHA?

Gladness Mallya/Ijumaa
Msanii anayefanya muziki na filamu Bongo, Snura Mushi ameeleza kushangazwa kwake na taarifa zinazozidi kuenea kuwa amejifungua, jambo ambalo anadai eti siyo kweli. Msanii anayefanya muziki na filamu Bongo, Snura Mushi. Madai ya staa huyo kujifungua kwa siri yameenea na hata wasanii wenzake wanajua hivyo lakini mwenyewe amekuwa akikanusha na kuwaacha mashabiki wake njia panda.Akipiga stori na Ijumaa hivi...

 

11 years ago

GPL

SNURA AWAPAGAWISHA MASHABIKI KWA MAUNO DAR LIVE

Mwanadada Snura Mushi 'Mamaa Majanga' usiku wa kuamkia leo amewapagawisha vilivyo mashabiki wa Dar Live baada ya kudondosha bonge la shoo sambamba na vijana wake.

 

11 years ago

GPL

SNURA TUHUMA NZITO

Stori:  Shani Ramadhani na Mayasa Mariwata
STAA wa wimbo wa Majanga, Snura Mushi ameingia kwenye majanga baada ya kudaiwa kukacha na deni la prodyuza Mohammed Kandoro wa Studio za Fire Music ambaye alimrekodia nyimbo kadhaa wakati akisaka kutoka. Snura Mushi. Habari kutoka kwa chanzo cha kuaminika zinasema kuwa Snura ameingia mitini na kiasi cha Tsh. 400,000 za prodyuza huyo na kwamba sasa amehamia studio nyingine. Risasi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Snura Aingizwa Mjini

Staa alieanzia Bongo Movie na kuingia kwenye Bongo Fleva Snura Mushi ‘Mama wa Majanga’ simu yake ya mkononi imetekwa na wajanja wa mjini kwa kuswap na simu anazopigiwa yeye kwenda kwa mtu mwingine ambaye hata hamjui wala hana mahusiano naye na hajui alitumia njia gani kuiteka hajui.

“Hata sielewi mtu huyu kafanyeje hadi namba yangu kuitumia yeye, na mbaya zaidi ni pale ambapo kilaanapobahatisha namba ya rafiki yangu huomba atumiwe pesa nahisi lengo lake kuu ilikuwa ni kujipatia pesa kwa...

 

11 years ago

GPL

SNURA AMBWATUKIA SHILOLE

Na Brighton Masalu
MAMA wa majanga, Snura Antony Mushi kwa mara ya kwanza amejitokeza hadharani na kuzungumzia kauli ya  msanii mwenzake wa muziki wa mduara, Zuwena Yusuf Mohamed ‘Shilole’ juu yake kuwa ameisha kimuziki ndiyo maana ameamua kukimbilia muziki wa Taarab. Zuwena Yusuf Mohamed ‘Shilole. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Snura ambaye anawika mitaani kwa ngoma kali kama Majanga na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Snura:Sitaki Unafiki

MWIGIZAJI wa filamu na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Snura Mushi ‘Mama wa Majanga’ amesema kuwa anakerwa sana na unafiki unaofanywa na baadhi ya wasanii kwa kushirikiana na wapenzi wa kazi zao kwa kufanya kampeni za kuangushana katika medani za kimataifa.

“Naepukana na unafiki tena naweza kusema roho mbaya chuki kwa baadhi ya wasanii kuunda makundi ambayo yantumia muda mwingi kuwadisi wengine, mfano hivi sasa wakati Diamond anagombea Tuzo kimataifa eti kuna watu wanaungana na watu...

 

10 years ago

GPL

SNURA ATUMIKA KUTAPELI

Stori: Gladness Mallya MSANII wa filamu na muziki Bongo, Snura Mushi amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kutumika kwa utapeli kupitia namba yake ya simu. Msanii wa filamu na muziki Bongo, Snura Mushi. Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu, Snura alisema aliacha kutumia namba ya awali kwa muda wa miezi miwili baada ya kupotea  ambapo hivi karibuni ndipo alipoanza kupata malalamiko kutoka kwa watu mbalimbali kwamba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani