Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Soko la Kariakoo halina umeme kwa siku 8

SOKO la Kariakoo jijini Dar es Salaam pamoja na maeneo ya biashara yaliyopo jirani yamekosa umeme kwa siku nane mfululizo hadi kufikia jana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kwa sasa soko la Kariakoo limeishiwa matunda, mboga

MENEJA Mkuu wa Shirika la Masoko Kariakoo, Florens Seiya amesema kuwa hivi sasa kuna uhaba wa matunda na mboga sokoni hapo.

 

11 years ago

Mwananchi

Walalamikia usafi wa soko Kariakoo

Baadhi ya wafanyabiashara Soko la Kariakoo wilayani Nzega, mkoani Tabora, wameomba halmashauri kuwatatulia kero zao ikiwamo suala la usafi ili kuepusha magonjwa ya mlipuko.

 

11 years ago

Habarileo

Soko la Kariakoo lazindua tovuti

SOKO la Kariakoo limezindua tovuti yake maalumu kwa ajili ya kutoa taarifa mbalimbali za soko hilo, ikiwa ni pamoja na bei za mazao za kila siku kwa wadau wake. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Meneja wa Soko hilo, Anderson Shaka alisema tovuti hiyo ni http:www.kariakoo.or.tz/sw/ .

 

9 years ago

Mwananchi

Majaliwa ageukia Soko la Kariakoo

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki na viongozi wa soko la Kariakoo kukutana naye ofisini kwake Jumatatu ijayo kujadili namna ya kuliendesha soko hilo.

 

11 years ago

Dewji Blog

Sikiliza Live kutoka soko la habari Kariakoo…!

mjengwablog

Leo Jumatatu, Aprili 7, Redio yako ya Kijamii ya KwanzaJamii imeandika historia kwa kuwa redio ya kwanza hapa nchini kuwaletea wasikilizaji dondoo za habari za magazetini kutokea kwenye soko lenyewe la habari, ni  pale kona ya Uhuru na Msimbazi, Kariakoo.

Ni kipindi cha kila siku kuanzia saa kumi na moja na nusu alfajiri. Mwandishi/ Mtangazaji wa KwanzaJamii atakuwa sokoni hapo na kuungana moja kwa moja na studio za Kwanzajamii radio Iringa.

Sambamba na redio, habari hizo na picha za...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kurushwa Mjengwa Blog

KIPINDI cha ‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kimezindulia na mtandao wa kijamii wa  Mjengwa Blog ambacho kitakuwa kikirushwa na Redio Kwanza Jamii. Akizungumza na Tanzania Daima Dar es Salaam jana Mkurugenzi...

 

11 years ago

Michuzi

Malalamiko katika soko la Kariakoo - VOA MItaani

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (aliyevaa tai) akiongozwa na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Soko la Ndani, Edwin Rutageruka (watatu kulia) kuelekea kuangalia usalama katika sehemu mbalimbali ya Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere (Sabasaba). Nyuma ya Waziri Chikawe upande wa kulia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu na Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova (wapili kulia). Waziri Chikawe na Maafisa wa Jeshi la Polisi wametembelea viwanja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani