Soko la Kariakoo halina umeme kwa siku 8
SOKO la Kariakoo jijini Dar es Salaam pamoja na maeneo ya biashara yaliyopo jirani yamekosa umeme kwa siku nane mfululizo hadi kufikia jana.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo27 Feb
Kwa sasa soko la Kariakoo limeishiwa matunda, mboga
MENEJA Mkuu wa Shirika la Masoko Kariakoo, Florens Seiya amesema kuwa hivi sasa kuna uhaba wa matunda na mboga sokoni hapo.
11 years ago
Mwananchi08 May
Walalamikia usafi wa soko Kariakoo
11 years ago
Habarileo25 Jun
Soko la Kariakoo lazindua tovuti
SOKO la Kariakoo limezindua tovuti yake maalumu kwa ajili ya kutoa taarifa mbalimbali za soko hilo, ikiwa ni pamoja na bei za mazao za kila siku kwa wadau wake. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Meneja wa Soko hilo, Anderson Shaka alisema tovuti hiyo ni http:www.kariakoo.or.tz/sw/ .
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Majaliwa ageukia Soko la Kariakoo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Akn4LDwu9XwRYXx4jL7gZiAFwC7Of0Gc184HKrNe8PRW5B99001Dt3doSkHkFZI0-wuApZgCbd4EEZSY*zyqg6VUeLqu**1q/1975025_631080796971070_1650113863_n.jpg)
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
Sikiliza Live kutoka soko la habari Kariakoo…!
Leo Jumatatu, Aprili 7, Redio yako ya Kijamii ya KwanzaJamii imeandika historia kwa kuwa redio ya kwanza hapa nchini kuwaletea wasikilizaji dondoo za habari za magazetini kutokea kwenye soko lenyewe la habari, ni pale kona ya Uhuru na Msimbazi, Kariakoo.
Ni kipindi cha kila siku kuanzia saa kumi na moja na nusu alfajiri. Mwandishi/ Mtangazaji wa KwanzaJamii atakuwa sokoni hapo na kuungana moja kwa moja na studio za Kwanzajamii radio Iringa.
Sambamba na redio, habari hizo na picha za...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mK5dKEPhBU0/U0eHmLNrzII/AAAAAAAFZ5w/AVZuFe7528g/s72-c/karibu-mjengwa.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kurushwa Mjengwa Blog
KIPINDI cha ‘Kutoka Soko la Kariakoo’ kimezindulia na mtandao wa kijamii wa Mjengwa Blog ambacho kitakuwa kikirushwa na Redio Kwanza Jamii. Akizungumza na Tanzania Daima Dar es Salaam jana Mkurugenzi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6-RiGyaHHwA/U7L_YMl9CZI/AAAAAAAFt_g/NC7hVKL4LcM/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Malalamiko katika soko la Kariakoo - VOA MItaani
![](http://3.bp.blogspot.com/-6-RiGyaHHwA/U7L_YMl9CZI/AAAAAAAFt_g/NC7hVKL4LcM/s1600/unnamed+(8).jpg)