Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa sasa soko la Kariakoo limeishiwa matunda, mboga

MENEJA Mkuu wa Shirika la Masoko Kariakoo, Florens Seiya amesema kuwa hivi sasa kuna uhaba wa matunda na mboga sokoni hapo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TEKNOLOJIA YA UMWAGILIAJI KWA NJIA YA MATONE ITAKUZA KILIMO CHA MATUNDA NA MBOGA KWA WAKULIMA

Mtaalamu wa Mradi wa Kilimo chenye tija Tanzania (TAPP ), Mussa Madurufu ( anayenyosha mikono) akitoa elimu ya namna ya kuendesha wa kilimo cha bustani ya nyanya kwa njia ya teknolojia mpya ya umwagiliaji kwa njjia ya matone wakati wa maadhimisho ya siku ya wakulima Julai 20, 2015 katika bustani ya vipando vya mboga na matunda ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), maonesho yaliyodhaminiwa na Asasi kilele ya sekta binafsi yenye lango kuu la kuhamasisha maendeleo ya kilimo cha mazao ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Matunda na Mboga zinaokoa maisha

Watafiti wanasema kula matunda na mboga za majani mara saba kwa siku itakuzuia kufa mapema

 

9 years ago

Habarileo

Soko la Kariakoo halina umeme kwa siku 8

SOKO la Kariakoo jijini Dar es Salaam pamoja na maeneo ya biashara yaliyopo jirani yamekosa umeme kwa siku nane mfululizo hadi kufikia jana.

 

10 years ago

Dewji Blog

Shirika la Helvetas kutumia Bilioni 2.7 kuwezesha Wanawake wa Singida katika kilimo cha Mboga na matunda

DSC05224

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Helvetas Tanzania, Daniel Kilimbiya, akitoa mada yake ya utambulisho wa mradi wa awamu ya pili wa kuwawezesha wanawake kulima mboga mboga na matunda ili waweze kujikomboa kiuchumi. Semina hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aqua Vitae mjini hapa, ilihudhurudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo kutoka wilaya ya Singida vijijini, Iramba na Mkalama.

DSC05204

Meneja SIDO mkoa wa Singida Shoma Kibende, akitoa nasaha zake kwenye semina ya siku...

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Shein ashiriki usafi wa soko la matunda Z’bar

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ametoa wito kwa wananchi wa Unguja na Pemba kujitokeza kwa wingi kusherehekea maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi yanayoanza leo.

 

5 years ago

Michuzi

MBOGAMBOGA NA MATUNDA KUPATA SOKO KATIKA NCHI ZA ULAYA

Makampuni kumi na tano (15) yaliojumuisha wazalishaji pamoja na wasafirishaji wa bidhaa za Mbogamboga na Matunda wajiongezea fursa katika soko la Ulaya kufuatia Ushiriki wao katika Maonesho ya Kimataifa ya Mbogamboga na Matunda yajulikanayo kama Fruit Logistica 2020 yaliyofanyika tarehe 5 hadi 7 Februari, 2020  mjini Berlin nchini Ujerumani.  

Mazao yaliyovutia wanunuzi  na wadau wengine katika maonyesho hayo ni pamoja na parachichi, rasiberi, pasheni, ndimu zisizo na mbegu, njegere, snow...

 

11 years ago

Michuzi

Maalim Seif Shariff Hamad atembelea soko la matunda Mombasa.

Na Hassan Hamad wa OMKR. Baraza la Manispaa la Zanzibar limeshauriwa kuweka utaratibu unaofaa kuhakikisha kuwa mrundikano wa taka hasa katika maeneo ya mjini unapungua.  Wito huo umetolewa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, wakati alipofanya ziara ya kutembelea baadhi ya majaa ya Mkoa wa Mjini Magharibi, soko la matunda Mombasa, pamoja na kutembelea shimo la kutupia taka lililoko Kibele, kujionea hali halisi ya ukusanyaji na utupaji wa taka...

 

11 years ago

Habarileo

Soko la Kariakoo lazindua tovuti

SOKO la Kariakoo limezindua tovuti yake maalumu kwa ajili ya kutoa taarifa mbalimbali za soko hilo, ikiwa ni pamoja na bei za mazao za kila siku kwa wadau wake. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Meneja wa Soko hilo, Anderson Shaka alisema tovuti hiyo ni http:www.kariakoo.or.tz/sw/ .

 

9 years ago

Mwananchi

Majaliwa ageukia Soko la Kariakoo

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki na viongozi wa soko la Kariakoo kukutana naye ofisini kwake Jumatatu ijayo kujadili namna ya kuliendesha soko hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani