Sola kuwa suluhu ya nishati Afrika
Takriban watu nusu bilioni barani Afrika wasio na umeme kufaidika na mitambo mikubwa ya nishati inayojengwa Morocco na Kenya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nIo9UKcI5ds/U5J03Y-xJvI/AAAAAAAFoQg/x-cWfUBj5Jg/s72-c/unnamed+(14).jpg)
TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA NISHATI KWA NCHI ZA AFRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-nIo9UKcI5ds/U5J03Y-xJvI/AAAAAAAFoQg/x-cWfUBj5Jg/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ITa1bi0FTN8/U5J05-RvVmI/AAAAAAAFoQo/UFP_VQ6uRVo/s1600/unnamed+(15).jpg)
10 years ago
VijimamboSamia Suluhu achaguliwa kuwa mgombea mwenza
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OLxZjqKvGj0/VaJX-BI5mCI/AAAAAAABCYQ/is9uaSQcNrU/s72-c/SAMIA%2B3.jpg)
MH. MAGUFULI AMTANGAZA SAMIA SULUHU HASSAN KUWA MGOMBEA MWENZA WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-OLxZjqKvGj0/VaJX-BI5mCI/AAAAAAABCYQ/is9uaSQcNrU/s640/SAMIA%2B3.jpg)
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Mh John Pombe Magufuli amemtangaza mgombea mwenza wake kuwa ni Mh. Samia Suluhu Hassan.
Mh Magufuli amemtangaza Mh Samia wakati alipokuwa akikishukuru chama chake kwa kumteua kuipeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao baadaye mwaka huu.
Baada ya kumtangaza Mh Samia kuwa mgombea mwenza wake, ukumbi mzima ulilipuka kwa shangwe na vigelele.
Hii ni mara ya kwanza tangu uhuru kwa Tanzania kuwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ZA_ISGweYXI/VaPgc8SujKI/AAAAAAABRo8/H3gEr69IJLU/s72-c/SAMIA%2BSULUHU.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s72-c/MMGM1318.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki
![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s1600/MMGM1318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bBWv9yQNvSI/VH7X7f0UB4I/AAAAAAAG06g/XLbe4qUejRc/s1600/MMGM1313.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sUyaNdnSMQM/VhwYhz2CV1I/AAAAAAAH_jc/S25OQ7pcDH4/s72-c/New%2BPicture.png)
WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAKANUSHA TAARIFA ZINAZOENEZWA KUWA NI ZAUONGO
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA![](http://4.bp.blogspot.com/-sUyaNdnSMQM/VhwYhz2CV1I/AAAAAAAH_jc/S25OQ7pcDH4/s1600/New%2BPicture.png)
WIZARA YA NISHATI NA MADINITAARIFA KWA UMMAHivi karibuni zimeibuka taarifa zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii zikimnukuu Waziri wa Nishati na Madini, George B. Simbachawene akisema kuwa mitambo yote ya uzalishaji umeme nchini inamilikiwa na Kampuni binafsi.
Tunapenda kuutaarifu Umma kuwa taarifa hizi ni za uongo kwani Waziri Simbachawene hajawahi kutoa tamko la kuwa mitambo ya kuzalisha Umeme yote nchini ni ya kampuni binafsi bali alichosema ni kuwa,...
![](http://4.bp.blogspot.com/-sUyaNdnSMQM/VhwYhz2CV1I/AAAAAAAH_jc/S25OQ7pcDH4/s1600/New%2BPicture.png)
WIZARA YA NISHATI NA MADINITAARIFA KWA UMMAHivi karibuni zimeibuka taarifa zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii zikimnukuu Waziri wa Nishati na Madini, George B. Simbachawene akisema kuwa mitambo yote ya uzalishaji umeme nchini inamilikiwa na Kampuni binafsi.
Tunapenda kuutaarifu Umma kuwa taarifa hizi ni za uongo kwani Waziri Simbachawene hajawahi kutoa tamko la kuwa mitambo ya kuzalisha Umeme yote nchini ni ya kampuni binafsi bali alichosema ni kuwa,...
10 years ago
Michuzi12 Jun
UTAFITI WA KUIWEZESHA ZNZ KUWA NA VYANZO VYA NISHATI WAFANYWA
Na Rahma Khamis – Maelezo Zanzibar. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inaendelea na azma yake ya kukamilisha Mradi wa Utafiti wa Nishati mbadala ili kujuwa uwezekano wa Zanzibar kupata Umeme wake wa uhakika.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Ardhi,Makazi,Maji na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani wakati akitoa Hutuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2015 /2016.
Amesema Wizara yake imekamilisha kazi ya kupatikana kwa Mkandarasi...
Hayo yameelezwa na Waziri wa Ardhi,Makazi,Maji na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani wakati akitoa Hutuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2015 /2016.
Amesema Wizara yake imekamilisha kazi ya kupatikana kwa Mkandarasi...
10 years ago
MichuziWatumishi wapya Nishati na Madini waaswa kuwa wabunifu, waadilifu
11 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI KUWA MGENI RASMI SIKU YA WANATAALUMA UJERUMANI
Profesa Muhongo atatoa mada hiyo ya fursa za uwekezaji nchini ikiwa ni moja ya shughuli zilizopangwa kufanyika katika siku mbili za kongamano la uwekezaji litakalofanyika katika mji wa Berlin, nchini humo mnamo tarehe 25 na 26 Aprili...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania