Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Somalia:Majeshi ya Burundi kuondolewa?

Ikiwa Majeshi ya Burundi yaliyo nchini Somalia yataondolewa, kuna hofu kuwa hatua hiyo itazorotesha mapambano dhidi ya Al Shabaab

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa majeshi Burundi akemea wanasiasa

Mkuu wa majeshi ya Burundi Meja Jenerali Prime Niyongabo amewaonya wanasiasa kutotumia majeshi hayo kwa faida yao

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wamachinga kwenye foleni kuondolewa

MKURUGENZI wa Jiji la Dar es Salaam, Wilson Kabwe amewataka wafanyabiashara wadogo (wamachinga) wanaouza bidhaa kwenye magari wakati wa foleni watafute maeneo rasmi, vinginevyo watakumbwa na operesheni safisha jiji inayoendelea....

 

10 years ago

BBCSwahili

Libya yaomba kuondolewa vikwazo

Libya imeliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuiondolea vikwazo vya silaha ili iweze kupambana na magaidi

 

9 years ago

Habarileo

Ombaomba wote kuondolewa Dar

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri za jiji la Dar es Salaam, kuwaondoa ombaomba wote walioko katika barabara za jiji, kwani wanachangia uchafu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bendera ya kikoloni kuondolewa S. Carolina

Maseneta wa South Carolina wamepitisha sheria inayoharamisha kupeperushwa benderea ya kikaburu iliyotumika nchini humo wakati wa utumwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaowashambulia Waisrael kuondolewa Jerusalem

Serikali ya Israeli imeipa idara ya polisi nguvu zaidi kuzingira kabisa maeneo yote mashariki mwa Jerusalem.

 

11 years ago

Mwananchi

Wamachinga Igoma, Buhongwa kuondolewa

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo ameagiza viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana na Mkuu wa Kituo cha Polisi mkoani hapa, kuhakikisha wafanyabiashara ndogondogo maarufu Wamachinga wanaondolewa haraka kupisha ukarabati wa barabara.

 

10 years ago

BBCSwahili

Cuba kuondolewa vikwazo na Marekani?

Rais wa Cuba, Raul Castro, amemhimiza rais Obama wa Marekani kutumia mamlaka yake ya urais kuondoa vikwazo vya kiuchumi

 

10 years ago

BBCSwahili

Vikwazo dhidi ya Iran kuondolewa

Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza amesema huenda vikwazo dhidi ya Iran vikaanza kuondolewa mapema mwaka ujao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani