Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ombaomba wote kuondolewa Dar

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri za jiji la Dar es Salaam, kuwaondoa ombaomba wote walioko katika barabara za jiji, kwani wanachangia uchafu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ombaomba: Ijumaa ni siku ya mshahara kwetu

WAKATI Tatizo la Ombamba nchini limekuwa sugu huku jitihada za kulitatua bado hazijafanikiwa, Ombaomba mkoani Dodoma wamekiri kuwa  Ijumaa yoyote kwao wameifanya kuwa siku ya mshahara hivyo watendaji wasiwabughudhi. Wakizungumza...

 

9 years ago

Habarileo

Mpango akataa kuwa Waziri ombaomba

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema kamwe hatapenda kuwa waziri ombaomba wa fedha, bali atahakikisha anaelekeza nguvu katika kukusanya kodi ili nchi iweze kujitosheleza kwa mapato ya ndani.

 

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE: NITAKUWA MBUNGE OMBAOMBA!

Brighton Masalu MCHEKESHAJI maarufu, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema atakuwa mbunge ombaomba kwa wadau, serikali na mashirika binafsi katika kutatua matatizo mbalimbali ya Jimbo la Kinondoni. Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, msanii huyo alisema ana uzoefu wa kuomba, hivyo hataona haya kutumia kipaji chake cha kushawishi katika kuomba mafanikio na anaamini yeye ni jibu sahihi kwa wananchi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Operesheni safisha jiji yawageukia ombaomba

OPERESHENI ya kusafisha jiji ili kuwaondoa wafanyabiashara wadogo (wamachinga) kwenye maeneo yasiyo rasmi, imewageukia watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na ombaomba. Operesheni hiyo inaendeshwa na Halmashauri ya Wilaya ya Ilala,...

 

11 years ago

GPL

MWAKIFWAMBA ATAJA SABABU YA MASTAA KUWA OMBAOMBA

Stori: Chande Abdallah MWENYEKITI wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba amefunguka kuwa kinachowaponza wasanii wa filamu Bongo kiasi cha kuwa ombaomba ni kupenda starehe. Mwenyekiti wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba. Akichonga mbilitatu na paparazi wetu, Rais huyo alisema wasanii wamekuwa watu wa kupenda sana kupiga mitungi na kufanya starehe nyingine kwa kutumia fedha nyingi kitu...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Nikipata viungo bandia naacha kuwa ombaomba’

>Si kila ombaomba aliye katika mitaa ya jijini Dar es Salaam au majiji na miji mingine nchini anatoka mkoani Dodoma.

 

10 years ago

Michuzi

TANGAZO KWA UMMA, MAWAKILI NA WADAU WOTE WA MAHAKAMA KUU, KANDA YA DAR ES SALAAM

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MAHAKAMA

TUNAPENDA KUTOA TAARIFA RASMI KUWA KUANZIA TAREHE 1 JULAI, 2015 SHUGHULI ZA USIKILIZAJI WA MASHAURI KWA NJIA YA USULUHISHI (ALTERNATIVE DISPUTE RESOLUTION – ADR) ZIMEHAMIA KWENYE JENGO LA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC HOUSE), GHOROFA YA TATU MTAA WA SAMORA JIJINI DAR ES SALAAM.  JENGO HILO KWA SASA LINATUMIWA PIA NA MAHAKAMA KUU, DIVISHENI YA ARDHI.


KWA MAELEZO NA UFAFANUZI PIGA SIMU NA. 022 2111131 AU 022 2110927 AU 0754 454600 NA BARUA PEPE...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vipi kila ukutanapo na watu wengine wewe ni ombaomba tu?

"OOHOOO, afadhali nimekuona, sasa nitapata elfu ya karibu" hayo ni baadhi ya maneno ambayo siku hizi yamekuwa ni kama sala kwa jinsi yalivyo ya kawaida kutamkwa na baadhi ya watu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani