Stars skipper nurses hopes of seeing off Zimbabwe
 Taifa Stars captain Nadir Haroub ‘Canavaro’ believes that the return leg of the AFCON qualifiers against Zimbabwe will be a tough encounter.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
TheCitizen17 May
We have to win at home, says Stars skipper
5 years ago
USA TODAY11 Apr
'Can't expect nurses to be miracle workers': Mask, equipment shortages push nurses to brink across nation
11 years ago
Dewji Blog28 May
Stars yatuma salamu Zimbabwe
Na Sosthenes Nyoni,
Dar es Salaam. Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imetuma salamu Zimbabwe baada ya kuichapa Malawi kwa bao 1-0 jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Kiungo wa Simba, Amri Kiemba aliifungia Stars bao pekee dakika 36 akimalizia kazi nzuri ya Shomari Kapombe, Kelvin Friday na Simon Msuva. Huo ni ushindi wa pili kwa kocha Mart Nooij tangu alipopewa jukumu la kuinoa Stars mwanzoni mwa mwezi huu.
Taifa Stars inajiandaa na mechi yake ya marudiano dhidi ya Zimbabwe...
11 years ago
GPLSTARS, ZIMBABWE NGUVU SAWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCDFAbsMBSxe1lgsHpJ7BiU*TaW8U66dRYYJ0HIMNEiqG3cd14xq7MhRa5WwhtUcBwPsvgi0ci*RV*8KEixO9NNF/STARS.jpg?width=650)
STARS YAICHINJA ZIMBABWE TAIFA
9 years ago
Habarileo05 Nov
Twiga Stars, yapangiwa Zimbabwe
TIMU ya soka ya taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’ itaanza kampeni ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwakani huko Cameroon kwa kuchuana na Zimbabwe katika raundi ya kwanza ya mchujo.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Hongera Taifa Stars kuing’oa Zimbabwe
TIMU ya Soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilifanikiwa kutinga raundi ya pili ya kupigania nafasi ya kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa Afrika ‘Afcon 2014’ litakalofanyika mwakani...
9 years ago
BBCSwahili23 Oct
Taifa Stars wanawake kuivaa Zimbabwe
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Kuwaona Stars, Zimbabwe ‘buku’ tano
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limetangaza viingilio vya mechi ya kwanza raundi ya mchujo kuwania kufuzu fainali za Mataifa Afrika (AFCON 2015), kati ya timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa...