Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stars skipper nurses hopes of seeing off Zimbabwe

 Taifa Stars captain Nadir Haroub ‘Canavaro’ believes that the return leg of the AFCON qualifiers against Zimbabwe will be a tough encounter.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

We have to win at home, says Stars skipper

>Taifa Stars captain Nadir Haroub “Canavaro” has urged his teammates to work hard and ensure they win tomorrow’s Afcon 2015 qualifier against Zimbabwe.

 

5 years ago

USA TODAY

'Can't expect nurses to be miracle workers': Mask, equipment shortages push nurses to brink across nation

'Can't expect nurses to be miracle workers': Mask, equipment shortages push nurses to brink across nation  USA TODAY‘We are the front line.’ KC nurses share fears, joys of caring for COVID-19 patients  Kansas City StarView Full coverage on Google News

 

11 years ago

Dewji Blog

Stars yatuma salamu Zimbabwe

Na Sosthenes Nyoni,

Dar es Salaam. Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imetuma salamu Zimbabwe baada ya kuichapa Malawi kwa bao 1-0 jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Kiungo wa Simba, Amri Kiemba aliifungia Stars bao pekee dakika 36 akimalizia kazi nzuri ya Shomari Kapombe, Kelvin Friday na Simon Msuva. Huo ni ushindi wa pili kwa kocha Mart Nooij tangu alipopewa jukumu la kuinoa Stars mwanzoni mwa mwezi huu.

Taifa Stars inajiandaa na mechi yake ya marudiano dhidi ya Zimbabwe...

 

11 years ago

GPL

STARS, ZIMBABWE NGUVU SAWA

KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kimetoka sare ya bao 2-2 na timu ya Taifa ya Zimbabwe kwenye mchezo ulipigwa Uwanja wa Taifa jijini Harare. Mechi hiyo ilikuwa ya marudiano ya kusaka tiketi ya kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwakani nchini Morocco. Mabao ya Stars yamefungwa na Nadir Haroub 'Cannavaro' dakika ya 21 huku la pili likifungwa na Thomas Ulimwengu dakika ya 46. Mabao ya wenyeji...

 

11 years ago

GPL

STARS YAICHINJA ZIMBABWE TAIFA

Stars wakishangilia ushindi dhidi ya Zimbabwe. TIMU ya Taifa, Taifa Stars imeibuka kifua mbele baada ya kuilaza timu ya Taifa ya Zimbabwe 'Mighty Warriors' bao 1-0 katika mechi ya kuwania nafasi ya kucheza fainali za Mataifa ya Afrika iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar. Bao la Stars limefungwa na John Bocco 'JB' dakika ya 16 kipindi cha kwanza! ...

 

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars, yapangiwa Zimbabwe

TIMU ya soka ya taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’ itaanza kampeni ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwakani huko Cameroon kwa kuchuana na Zimbabwe katika raundi ya kwanza ya mchujo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hongera Taifa Stars kuing’oa Zimbabwe

TIMU ya Soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilifanikiwa kutinga raundi ya pili ya kupigania nafasi ya kucheza hatua ya makundi ya Kombe la Mataifa Afrika ‘Afcon 2014’ litakalofanyika mwakani...

 

9 years ago

BBCSwahili

Taifa Stars wanawake kuivaa Zimbabwe

Timu ya taifa ya wanawake ya mpira wa magongo kesho jumamosi inatarajia kushuka dimbani kutupa karata yake ya kwanza muda wa saa nane mchana dhidi ya Zimbabwe.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kuwaona Stars, Zimbabwe ‘buku’ tano

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limetangaza viingilio vya mechi ya kwanza raundi ya mchujo kuwania kufuzu fainali za Mataifa Afrika (AFCON 2015), kati ya timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani