Kuwaona Stars, Zimbabwe ‘buku’ tano
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limetangaza viingilio vya mechi ya kwanza raundi ya mchujo kuwania kufuzu fainali za Mataifa Afrika (AFCON 2015), kati ya timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXrvT8ZigpHppbsXF7xw*bdebYCRVUUDZkl6DnspOLPDK4VK2d2MBQRz8eL-xuc6caBBNK4tVYrXlx5jBKpdB0Jt/SIMBANAYANGA35.jpg?width=650)
KUWAONA SIMBA NA YANGA BUKU 5, AZAM KUKABIDHIWA KOMBE CHAMAZI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zuBl8rReYDk/U4HCvyAZeMI/AAAAAAAFk4c/P7nYGEl2TkY/s72-c/TFF+Logo.jpg)
KIINGILIO TAIFA STARS, MALAWI NI BUKU 5 TU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-zuBl8rReYDk/U4HCvyAZeMI/AAAAAAAFk4c/P7nYGEl2TkY/s1600/TFF+Logo.jpg)
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni kwa wale watakaokaa kwenye viti vya rangi ya chungwa, bluu na kijani. Kwa upande wa VIP B na C kiingilio kitakuwa sh. 10,000 wakati kwa VIP A itakuwa ni sh. 20,000.
Mechi hiyo itaanza saa 11 kamili jioni ili kutoa fursa kwa washabiki wengi zaidi kuishuhudia kwa vile...
9 years ago
Vijimambo04 Sep
Kuiona Stars buku 7, Magufuli aitakia heri.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Zitto-4Augst2015.jpg)
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe.
Wakati kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, ameomba Watanzania waruhusiwe kuingia bure uwanjani kuishangilia Taifa Stars dhidi ya Nigeria kesho, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vikubwa kwa ajili ya mechi hiyo ya kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2017.
Wakati wa uzinduzi wa kampeni za chama hicho kuhusu uchaguzi mkuu mwaka huu zilizofanyika Mbagala jijini Dar es Salaam Jumapili, Zitto...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rfNYILmwrw4/VkGonEEWmZI/AAAAAAAIFJo/Da40poErTcs/s72-c/eden8.png)
KUONA MECHI YA TAIFA STARS NA ALGERIA NI BUKU 5 TU JUMAMOSI HII
![](http://4.bp.blogspot.com/-rfNYILmwrw4/VkGonEEWmZI/AAAAAAAIFJo/Da40poErTcs/s640/eden8.png)
Tiketi za mchezo huo zitaanzwa kuuzwa siku ya ijumaa katika vituo mbalimbali vinavyotumiwa na TFF kuuzia tiketi, ambapo kiingilio kingine kitakua ni elfu kumi (10,000) kwa viti vya VIP B & C, huku kiingilio cha elfu tano kikiwa ni kwa viti vya rangi ya Bluu, Kijani...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-agcl3_HC79M/U2TI1UEeUTI/AAAAAAAFfC8/ginnu06m964/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
MALAWI YAWASILI NCHINI TAYARI KWA MTANANGE DHIDI YA STARS, KIINGILIO NI BUKU 5 TU !
![](http://4.bp.blogspot.com/-agcl3_HC79M/U2TI1UEeUTI/AAAAAAAFfC8/ginnu06m964/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Flames ikiwa na msafara wa watu 31 imewasili jana (Mei 1 mwaka huu) saa 1 jioni kwa njia ya barabara, na imefikia hoteli ya Manyanya. Nayo Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager ipo jijini Mbeya tangu Aprili 27 mwaka huu kujiandaa kwa mechi hiyo.
Kiingilio katika mechi hiyo kitakuwa sh....
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Mkutano wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika waanza leo Victoria Falls-Zimbabwe
Makamu wa Rais wa Zimbabwe, Mh. Emmerson Mnangagwa akihutubia wakati wa ufunguzi rasmi wa mkutano wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani Afrika unaoendelea muda huu Victoria Falls-Zimbabwe. Ambapo amezitaka nchi za Afrika kuendelea kushikamana katika kukabiliana na mabadiuliko ya tabianchi pamoja na ukuaji wa uchumi. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog)
Baadhi ya washiriki wa mkutano mkubwa wa tano wa Mabadiliko ya Tabianchi na Maendeleo endelevu barani...
11 years ago
GPLSTARS, ZIMBABWE NGUVU SAWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCDFAbsMBSxe1lgsHpJ7BiU*TaW8U66dRYYJ0HIMNEiqG3cd14xq7MhRa5WwhtUcBwPsvgi0ci*RV*8KEixO9NNF/STARS.jpg?width=650)
STARS YAICHINJA ZIMBABWE TAIFA
9 years ago
Habarileo05 Nov
Twiga Stars, yapangiwa Zimbabwe
TIMU ya soka ya taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’ itaanza kampeni ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika zitakazofanyika mwakani huko Cameroon kwa kuchuana na Zimbabwe katika raundi ya kwanza ya mchujo.