STARTIMES yateta na mawakala wake
Baadhi ya mawakala wa StarTimes Tanzania wakisoma vipeperushi wakati wa hafla iliyoandaliwa kwa madhumuni ya kutoa ufahamu zaidi wa sera na huduma mpya za kampuni hiyo. Anayeonekana mbele akifafanua jambo na kusikilizwa kwa makini ni Meneja wa Operesheni, Bw. Gaspa Ngowi. StarTimes imejiwekea utaratibu wa kukutana na mawakala wake wakubwa na wadogo mara kwa mara ili kujadili mustakabali wa huduma na bidhaa wanazozitoa kwa wateja wao.

Meneja Masoko kitengo cha chaneli na vipindi vya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi30 Jun
NHIF YATETA NA WADAU WAKE WA MKOA WA DAR ES SALAAM

11 years ago
GPL
NHIF YATETA NA WADAU WAKE WA MKOA WA DAR ES SALAAM
11 years ago
Mwananchi27 Jul
MCL yafuturisha mawakala wake
11 years ago
GPLGLOBAL YAGAWA ZAWADI KWA MAWAKALA WAKE
11 years ago
GPLGLOBAL YAGAWA BONUS KWA MAWAKALA WAKE
11 years ago
Dewji Blog08 Sep
NHIF yateta na wasanii BASATA
Meneja wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF tawi la Ilala Bw.Christopher Mapunda akizungumza na washiriki wa semina katika ya shirika hilo na Wasanii mbalimbali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Baraa za la Sanaa nchini BASATA ili kupata elimu juu ya huduma za afya zinazotolewa na shirika hilo kwa vikundi mbalimbali na mashirika pamoja na taasisi mbalimbali za serikali, kulia ni Mkwabi Fikirini Meneja Udhibiti na ubora na Hans Mwankenja Ofisa Mwandamizi matekelezo.
Baadhi ya maofisa wa...
11 years ago
Michuzi27 Jun
NHIF YATETA NA WAHARIRI MJINI BAGAMOYO

11 years ago
BBCSwahili08 Apr
Marekani yateta kuhusu hali Ukraine
10 years ago
Michuzi
NHIF yateta na NIDA kuhusu vitambulisho

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya umekutana na Uongozi wa Mamlaka ya Vitambulisho (NIDA) kwa lengo la kubadilishana uzoefu na changamoto katika suala la utambuzi wa watumiaji wa huduma za vitambulisho.
Hatua hiyo ya NHIF kukutana na uongozi huo inakusudia kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa wanachama wake ambao tayari wana vitambulisho vya Taifa.
Akizungumzia hatua hiyo, Kaimu Mkurugenzi wa NHIF Bw. Michael Mhando, amesema Mfuko wake umeona kuna umuhimu mkubwa wa...