Sudan yasimamisha shughuli za misaada
Wakuu wa Sudan waliarifu Shirika la Mataifa la Msalaba Mwekundu, ICRC, kusimamisha shughuli za misaada nchini humo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
‘Takbir’ yasimamisha shughuli za mahakama
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, jana ililazimika kusimama kwa muda kusikiliza ushahidi wa upande wa Jamuhuri katika kesi inayowakabili wafuasi watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
9 years ago
StarTV07 Sep
Migodi 12 yasimamisha uchimbaji Mererani
Jumuiya ya Wachimbaji wadogo katika Migodi ya Mererani eneo maarufu kwa uchimbaji wa Madini ya Tanzanite imesimamisha shughuli za uchimbaji kutokana na migogoro kati yao na Mwekezaji wa kampuni ya Tanzanite One ambaye ni mwekezaji mkubwa zaidi kwenye eneo hilo.
Matukio ya mwingiliano wa ndani ya migodi maarufu kama “MTOBOZANO” katika eneo la Mererani yamekuwa yakiibua mivutano na athari za aina mbalimbali kwa wachimbaji wa pande zote.
Wachimbaji hao wamelalamikia kampuni ya Tanzanite One...
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Mvua yasimamisha mechi za US Open
10 years ago
Habarileo01 Dec
Stanbic Uganda yasimamisha watumishi wake
BENKI ya Stanbic nchini Uganda imewasimamisha kazi watumishi wake wanne wakihusishwa na udanganyifu wa kimtandao ambao uliifanya benki hiyo kuibiwa dola za Marekani 317,000 zilizotolewa kwa watu wanane ndani ya siku nne.
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Korea yasimamisha safari kuingia Kenya
9 years ago
StarTV23 Oct
Polisi yasimamisha mikusanyiko mpaka baada ya uchaguzi
Jeshi la Polisi limepiga marufuku mikusanyiko yote baada ya kuhitimishwa kwa kampeni za wagombea wa Urais, Wabunge na Madiwani Octoba 24 mpaka matokeo ya uchaguzi mkuu yatakapotangazwa .
Akizungumza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu amesema kutokana na uzoefu wa kipindi cha kampeni uwepo wa mikusanyiko ya watu wenye itikadi moja husababisha vurugu.
IGP Mangu amesema ni vyema wananchi wakajiepusha na vitendo vyovyote vya uchokozi kwa kuwa Jeshi la Polisi halitasita kuchukua...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iEwIYiaZszQ/XnJApsHz4hI/AAAAAAALkO4/VNx0efPCfCc8fUHUy3b-lP92Z03PCDr_ACLcBGAsYHQ/s72-c/psptb.jpg)
PSPTB YASIMAMISHA UTOAJI WA MAFUNZO ILI KUEPUKANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iEwIYiaZszQ/XnJApsHz4hI/AAAAAAALkO4/VNx0efPCfCc8fUHUy3b-lP92Z03PCDr_ACLcBGAsYHQ/s400/psptb.jpg)
BODI ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imesitisha utoaji wa mafunzo yaliyopanga kufanyika kuanzia Machi 18 mwaka huu na kuwataka wadau kusubiri hadi pale itakavyopangwa tena.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Bi Shamim Mdee, Afisa mwandamizi masoko na uhusiano kwa umma wa Bodi hiyo imeelezwa kuwa kusitishwa kwa mafunzo hayo kumetokana na tamko rasmi la Serikali kupitia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuzuia uwepo wa mikusanyiko ya watu katika maeneo mbalimbali nchini na hiyo ni mara...
9 years ago
TheCitizen08 Oct
Coffee set to boost S. Sudan’s prospects otential saviour of S. Sudan
10 years ago
Dewji Blog05 Sep
The AU Commission of Inquiry on South Sudan receives briefing from the High Level Implementation Panel on Sudan
Presidents Obasanjo and Mbeki recognized that the solution to the current crisis was within the reach of the peoples of South Sudan
The African Union Commission of Inquiry on South Sudan (AUCISS) (http://www.au.int) met with President Thabo Mbeki, in his capacity as Chairperson of the High Level Implementation Panel on Sudan, today 4 September 2014. In attendance were President Olusegun Obasanjo, Professor Mahmood Mamdani and Lady Justice Sophia Akuffo.
The meeting follows nation wide...