Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sudan yasimamisha shughuli za misaada

Wakuu wa Sudan waliarifu Shirika la Mataifa la Msalaba Mwekundu, ICRC, kusimamisha shughuli za misaada nchini humo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

‘Takbir’ yasimamisha shughuli za mahakama

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, jana ililazimika kusimama kwa muda kusikiliza ushahidi wa upande wa Jamuhuri katika kesi inayowakabili wafuasi watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

9 years ago

StarTV

Migodi 12 yasimamisha uchimbaji Mererani

Jumuiya ya Wachimbaji wadogo katika Migodi ya Mererani eneo maarufu kwa uchimbaji wa Madini ya Tanzanite imesimamisha shughuli za uchimbaji kutokana na migogoro kati yao na Mwekezaji wa kampuni ya Tanzanite One ambaye ni mwekezaji mkubwa zaidi kwenye eneo hilo.

Matukio ya mwingiliano wa ndani ya migodi maarufu kama “MTOBOZANO” katika eneo la Mererani yamekuwa yakiibua mivutano na athari za aina mbalimbali kwa wachimbaji wa pande zote.

Wachimbaji hao wamelalamikia kampuni ya Tanzanite One...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mvua yasimamisha mechi za US Open

Michuano ya US Open kwa upande wa kinadada imesimamishwa kwa muda baada ya mvua kali kunyesha hali iliyosababisha ugumu wa mchezo huo.

 

10 years ago

Habarileo

Stanbic Uganda yasimamisha watumishi wake

BENKI ya Stanbic nchini Uganda imewasimamisha kazi watumishi wake wanne wakihusishwa na udanganyifu wa kimtandao ambao uliifanya benki hiyo kuibiwa dola za Marekani 317,000 zilizotolewa kwa watu wanane ndani ya siku nne.

 

10 years ago

BBCSwahili

Korea yasimamisha safari kuingia Kenya

Shirika la ndege la Korea lasimamisha safari za ndege kuingia Nairobi Kenya ikihofia kuenea Ebola

 

9 years ago

StarTV

Polisi yasimamisha mikusanyiko mpaka baada ya uchaguzi

Jeshi la Polisi limepiga marufuku mikusanyiko yote baada ya kuhitimishwa kwa kampeni za wagombea wa Urais, Wabunge na Madiwani Octoba 24 mpaka matokeo ya uchaguzi mkuu yatakapotangazwa .

Akizungumza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu amesema kutokana na uzoefu wa kipindi cha kampeni uwepo wa mikusanyiko ya watu wenye itikadi moja husababisha vurugu.

IGP Mangu amesema ni vyema wananchi wakajiepusha na vitendo vyovyote vya uchokozi kwa kuwa Jeshi la Polisi halitasita kuchukua...

 

5 years ago

Michuzi

PSPTB YASIMAMISHA UTOAJI WA MAFUNZO ILI KUEPUKANA NA CORONA


BODI ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB)  imesitisha utoaji wa mafunzo yaliyopanga kufanyika kuanzia Machi 18 mwaka huu na kuwataka wadau kusubiri hadi pale itakavyopangwa tena.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Bi Shamim Mdee, Afisa mwandamizi masoko na uhusiano kwa umma wa Bodi hiyo imeelezwa kuwa kusitishwa kwa mafunzo hayo kumetokana na tamko rasmi la Serikali kupitia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuzuia uwepo wa mikusanyiko ya watu katika maeneo mbalimbali nchini na hiyo ni mara...

 

9 years ago

TheCitizen

Coffee set to boost S. Sudan’s prospects otential saviour of S. Sudan

Mired in civil war for 21 months, its oil-based economy in tatters, South Sudan is an unlikely source of upmarket coffee capsules for European consumers.

 

10 years ago

Dewji Blog

The AU Commission of Inquiry on South Sudan receives briefing from the High Level Implementation Panel on Sudan

african_union

Presidents Obasanjo and Mbeki recognized that the solution to the current crisis was within the reach of the peoples of South Sudan

The African Union Commission of Inquiry on South Sudan (AUCISS) (http://www.au.int) met with President Thabo Mbeki, in his capacity as Chairperson of the High Level Implementation Panel on Sudan, today 4 September 2014. In attendance were President Olusegun Obasanjo, Professor Mahmood Mamdani and Lady Justice Sophia Akuffo.

The meeting follows nation wide...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani