Stanbic Uganda yasimamisha watumishi wake
BENKI ya Stanbic nchini Uganda imewasimamisha kazi watumishi wake wanne wakihusishwa na udanganyifu wa kimtandao ambao uliifanya benki hiyo kuibiwa dola za Marekani 317,000 zilizotolewa kwa watu wanane ndani ya siku nne.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper22 Jul
Serikali yakiri baadhi ya watumishi wake bomu
NA MIRIAM SARAKIKYA, EMAGS
SERIKALI imekiri kuwa baadhi ya huduma zinazotolewa katika sekta ya umma haziridhishi na hazikidhi viwango.
Pia imesema yapo matatizo ya rushwa na ucheleweshaji wa uamuzi kwa watendaji, bila ya sababu za msingi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi aliyasema hayo jana, Dar es Salaam, alipokuwa akifungua mafunzo ya siku tatu kwa wakuu wa mikoa na makatibu tawala nchini.
Alisema upo ubabaishaji unaofanywa na baadhi ya watumishi ambao wanakiuka...
11 years ago
Habarileo27 Jul
Manispaa K’ndoni yatimua kazi watumishi wake 9
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imewafukuza kazi watumishi tisa wa idara mbalimbali kutokana na makosa ya utoro kazini pamoja na matumizi mabaya ya madaraka ya ofisi.
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-6C_ASJutLqk/VfFRKLFV5ZI/AAAAAAAH3xk/9N6evSq1naI/s72-c/index.jpg)
MUHIMBLI YATOA MAFUNZO YA KUZUIA KIPINDUPINDU KWA WATUMISHI WAKE, 989 WAAMBUKIZWA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-6C_ASJutLqk/VfFRKLFV5ZI/AAAAAAAH3xk/9N6evSq1naI/s1600/index.jpg)
Mafunzo hayo ya siku saba ambayo yanahusisha Wakurugenzi, Wakuu wa Idara , Madaktari, Wauguzi , Wafamasia pamoja na Wahudumu yana lengo la kuwaelimisha juu ya ugonjwa huo , jinsi ya kuzuia , kumtibu mgonjwa na kumtambua mtu mwenye dalili za Kipindupindu.
Akielezea mafunzo hayo Mkuu wa Idara ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6C_ASJutLqk/VfFRKLFV5ZI/AAAAAAAH3xk/9N6evSq1naI/s72-c/index.jpg)
MUHIMBLI YATOA MAFUNZO YA KUZUIA KIPINDUPINDU KWA WATUMISHI WAKE, 989 WAAMBUKIZWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6C_ASJutLqk/VfFRKLFV5ZI/AAAAAAAH3xk/9N6evSq1naI/s1600/index.jpg)
Mafunzo hayo ya siku saba ambayo yanahusisha Wakurugenzi, Wakuu wa Idara , Madaktari, Wauguzi , Wafamasia pamoja na Wahudumu yana lengo la kuwaelimisha juu ya ugonjwa huo , jinsi ya kuzuia , kumtibu mgonjwa na kumtambua mtu mwenye dalili za Kipindupindu.
Akielezea mafunzo hayo Mkuu wa Idara ya...
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Mvua yasimamisha mechi za US Open
9 years ago
StarTV07 Sep
Migodi 12 yasimamisha uchimbaji Mererani
Jumuiya ya Wachimbaji wadogo katika Migodi ya Mererani eneo maarufu kwa uchimbaji wa Madini ya Tanzanite imesimamisha shughuli za uchimbaji kutokana na migogoro kati yao na Mwekezaji wa kampuni ya Tanzanite One ambaye ni mwekezaji mkubwa zaidi kwenye eneo hilo.
Matukio ya mwingiliano wa ndani ya migodi maarufu kama “MTOBOZANO” katika eneo la Mererani yamekuwa yakiibua mivutano na athari za aina mbalimbali kwa wachimbaji wa pande zote.
Wachimbaji hao wamelalamikia kampuni ya Tanzanite One...
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
‘Takbir’ yasimamisha shughuli za mahakama
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, jana ililazimika kusimama kwa muda kusikiliza ushahidi wa upande wa Jamuhuri katika kesi inayowakabili wafuasi watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
11 years ago
BBCSwahili01 Feb
Sudan yasimamisha shughuli za misaada
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Uganda kuwagawanyia raia wake radio na televisheni