Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stanbic Uganda yasimamisha watumishi wake

BENKI ya Stanbic nchini Uganda imewasimamisha kazi watumishi wake wanne wakihusishwa na udanganyifu wa kimtandao ambao uliifanya benki hiyo kuibiwa dola za Marekani 317,000 zilizotolewa kwa watu wanane ndani ya siku nne.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

Serikali yakiri baadhi ya watumishi wake bomu


NA MIRIAM SARAKIKYA, EMAGS 
SERIKALI imekiri kuwa baadhi ya huduma zinazotolewa katika sekta ya umma haziridhishi na hazikidhi viwango.
Pia imesema yapo matatizo ya rushwa na ucheleweshaji wa uamuzi kwa watendaji,  bila ya sababu za msingi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi aliyasema hayo jana, Dar es Salaam, alipokuwa akifungua mafunzo ya siku tatu kwa wakuu wa mikoa na makatibu tawala nchini.
Alisema upo ubabaishaji unaofanywa na baadhi ya watumishi  ambao  wanakiuka...

 

11 years ago

Habarileo

Manispaa K’ndoni yatimua kazi watumishi wake 9

HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imewafukuza kazi watumishi tisa wa idara mbalimbali kutokana na makosa ya utoro kazini pamoja na matumizi mabaya ya madaraka ya ofisi.

 

9 years ago

Vijimambo

MUHIMBLI YATOA MAFUNZO YA KUZUIA KIPINDUPINDU KWA WATUMISHI WAKE, 989 WAAMBUKIZWA.

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili –MNH-  imetoa  mafunzo kwa watumishi wake kudhibiti  ugonjwa wa kipindupindu   ambao  umesambaa na kusababisha watu 989 kuambukizwa  ugonjwa  huo  jijini Dar es salaam.
Mafunzo hayo ya siku saba ambayo yanahusisha Wakurugenzi, Wakuu wa Idara , Madaktari, Wauguzi , Wafamasia pamoja na Wahudumu  yana lengo la kuwaelimisha juu ya ugonjwa huo , jinsi ya kuzuia , kumtibu mgonjwa na kumtambua mtu mwenye dalili za Kipindupindu.
Akielezea  mafunzo hayo Mkuu wa Idara ya...

 

9 years ago

Michuzi

MUHIMBLI YATOA MAFUNZO YA KUZUIA KIPINDUPINDU KWA WATUMISHI WAKE, 989 WAAMBUKIZWA

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili –MNH-  imetoa  mafunzo kwa watumishi wake kudhibiti  ugonjwa wa kipindupindu   ambao  umesambaa na kusababisha watu 989 kuambukizwa  ugonjwa  huo  jijini Dar es salaam.
Mafunzo hayo ya siku saba ambayo yanahusisha Wakurugenzi, Wakuu wa Idara , Madaktari, Wauguzi , Wafamasia pamoja na Wahudumu  yana lengo la kuwaelimisha juu ya ugonjwa huo , jinsi ya kuzuia , kumtibu mgonjwa na kumtambua mtu mwenye dalili za Kipindupindu.
Akielezea  mafunzo hayo Mkuu wa Idara ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mvua yasimamisha mechi za US Open

Michuano ya US Open kwa upande wa kinadada imesimamishwa kwa muda baada ya mvua kali kunyesha hali iliyosababisha ugumu wa mchezo huo.

 

9 years ago

StarTV

Migodi 12 yasimamisha uchimbaji Mererani

Jumuiya ya Wachimbaji wadogo katika Migodi ya Mererani eneo maarufu kwa uchimbaji wa Madini ya Tanzanite imesimamisha shughuli za uchimbaji kutokana na migogoro kati yao na Mwekezaji wa kampuni ya Tanzanite One ambaye ni mwekezaji mkubwa zaidi kwenye eneo hilo.

Matukio ya mwingiliano wa ndani ya migodi maarufu kama “MTOBOZANO” katika eneo la Mererani yamekuwa yakiibua mivutano na athari za aina mbalimbali kwa wachimbaji wa pande zote.

Wachimbaji hao wamelalamikia kampuni ya Tanzanite One...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Takbir’ yasimamisha shughuli za mahakama

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, jana ililazimika kusimama kwa muda kusikiliza ushahidi wa upande wa Jamuhuri katika kesi inayowakabili wafuasi watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan yasimamisha shughuli za misaada

Wakuu wa Sudan waliarifu Shirika la Mataifa la Msalaba Mwekundu, ICRC, kusimamisha shughuli za misaada nchini humo

 

5 years ago

BBCSwahili

Uganda kuwagawanyia raia wake radio na televisheni

Serikali ya Uganda inapanga kutumia dola 100 milioni, kununua redio milioni 10 na televisheni 140 elfu, kugawanywa vijijini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani