‘Takbir’ yasimamisha shughuli za mahakama
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, jana ililazimika kusimama kwa muda kusikiliza ushahidi wa upande wa Jamuhuri katika kesi inayowakabili wafuasi watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili01 Feb
Sudan yasimamisha shughuli za misaada
5 years ago
BBCSwahili15 Mar
Coronavirus: Mahakama Kenya yafunga baadhi ya shughuli zake
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA MSAJILI WA MAHAKAMA YA KIMATAIFA ILIYORITHI SHUGHULI ZA ICTR
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na Bw. John Hocking...
9 years ago
Mtanzania03 Dec
Basi la Takbir laua watu 12
NA SEIF TAKAZA, IRAMBA
WATU 12 wamefariki dunia papo hapo na wengine 19 kujeruhiwa, baada ya basi la Kampuni ya Takbir kugongana na lori la mafuta katika Kijiji cha Kizonzo, Shelui Wilaya ya Iramba mkoani Singida.
Ajali hiyo ilitokea katika barabara kuu ya Dar es Salaam – Mwanza.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Thobias Sedoyeka, aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa ajali hiyo ilitokea juzi saa 1.30 usiku wakati basi hilo lilipokuwa likitoka Dar es Salaam kwenda Geita.
Alisema...
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Mvua yasimamisha mechi za US Open
9 years ago
StarTV07 Sep
Migodi 12 yasimamisha uchimbaji Mererani
Jumuiya ya Wachimbaji wadogo katika Migodi ya Mererani eneo maarufu kwa uchimbaji wa Madini ya Tanzanite imesimamisha shughuli za uchimbaji kutokana na migogoro kati yao na Mwekezaji wa kampuni ya Tanzanite One ambaye ni mwekezaji mkubwa zaidi kwenye eneo hilo.
Matukio ya mwingiliano wa ndani ya migodi maarufu kama “MTOBOZANO” katika eneo la Mererani yamekuwa yakiibua mivutano na athari za aina mbalimbali kwa wachimbaji wa pande zote.
Wachimbaji hao wamelalamikia kampuni ya Tanzanite One...
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Korea yasimamisha safari kuingia Kenya
10 years ago
Habarileo01 Dec
Stanbic Uganda yasimamisha watumishi wake
BENKI ya Stanbic nchini Uganda imewasimamisha kazi watumishi wake wanne wakihusishwa na udanganyifu wa kimtandao ambao uliifanya benki hiyo kuibiwa dola za Marekani 317,000 zilizotolewa kwa watu wanane ndani ya siku nne.
9 years ago
StarTV23 Oct
Polisi yasimamisha mikusanyiko mpaka baada ya uchaguzi
Jeshi la Polisi limepiga marufuku mikusanyiko yote baada ya kuhitimishwa kwa kampeni za wagombea wa Urais, Wabunge na Madiwani Octoba 24 mpaka matokeo ya uchaguzi mkuu yatakapotangazwa .
Akizungumza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu amesema kutokana na uzoefu wa kipindi cha kampeni uwepo wa mikusanyiko ya watu wenye itikadi moja husababisha vurugu.
IGP Mangu amesema ni vyema wananchi wakajiepusha na vitendo vyovyote vya uchokozi kwa kuwa Jeshi la Polisi halitasita kuchukua...