Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumaye- Watunzi saidieni kulinda ndoa

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka Watanzania wenye uwezo wa kuandika vitabu, kujitokeza na kuandika vitabu vitakavyosaidia kuipeleka jamii ya Watanzania mahala stahiki na kulinda maisha ya ndoa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Sumaye aasa vijana kulinda amani

Frederick SumayeWAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amewataka vijana kote nchini kuwa mstari wa mbele kulinda amani, usalama na utulivu wa nchi katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 na kukemea siasa za chuki kwani mfumo uliopo ni mfumo wa vyama vingi, hivyo kila mmoja anapaswa kumheshimu mwenzake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye awaasa waliomo kwenye ndoa

ALIYEKUWA Waziri Mkuu katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye, amewashauri waliomo kwenye ndoa kuvumiliana katika mambo mbalimbali ili kuepuka chuki inayoweza kusababisha mauaji. Sumaye alisema hayo juzi mjini...

 

10 years ago

Habarileo

Mwanamke adaiwa kuiba mtoto kulinda ndoa

POLISI mkoani Rukwa wanamshikilia mkazi wa kitongoji cha Chanji, Manispaa ya Sumbawanga, Magreth Juma (34) akituhumiwa kuiba mtoto wa kike mwenye umri wa siku mbili ili asiachike katika ndoa yake, kwa kuwa hajabahatika kumzalia mtoto mumewe.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Adaiwa kuiba kichanga ili kulinda ndoa

JESHI la polisi mkoani Rukwa linamshikilia Magreth Juma (34), mkazi wa mtaa wa Chanji Manispaa ya Sumbawanga kwa tuhuma za wizi wa mtoto mchanga wa siku mbili. Mtuhumiwa huyo, alikamatwa...

 

11 years ago

Habarileo

Atupa mtoto wa siku moja kulinda ndoa yake

MTOTO wa kike mwenye umri wa siku moja amenusurika kufa baada ya kuokolewa na wasamaria kutoka katika shimo alimotupwa na mama yake mzazi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wa serikali za mitaa wanapaswa kulinda watoto dhidi ya ndoa za utotoni (2)

WIKI iliyopita katika tafakuri yetu hii, tulianza kujadili matokeo ya kukithiri kwa mimba za utotoni kama janga la kitaifa ambalo linasababishwa na kuwepo kwa mifumo ya kiutawala ambayo haijali na kuzingatia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Saidieni waliokumbwa na kimbunga Mbarali’

WAZAWA wa Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya, wameombwa kujitokeza kusaidia familia 86 zilizopo eneo la Manienga ambazo hazina makazi kutokana na nyumba zao kuezuliwa na kimbunga. Tukio hilo lililoezua nyumba...

 

11 years ago

Habarileo

Dk Nchimbi: Watendaji saidieni kuondoa umaskini

MKUU wa Mkoa wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi amewataka watendaji kuwa na utayari wa kuwasaidia watu katika jamii wanazowajibika katika kutambua kiwango cha umaskini uliopo na namna ya kuuondoa.

 

10 years ago

Habarileo

‘Saidieni wake zenu kupeleka watoto chanjo’

WANAUME wametakiwa kuwasaidia wake zao kupeleka watoto katika vituo vilivyochaguliwa kutolea chanjo ya surua na rubella ili kuhakikisha watoto wote wanapatiwa chanjo hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani