‘Saidieni waliokumbwa na kimbunga Mbarali’
WAZAWA wa Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya, wameombwa kujitokeza kusaidia familia 86 zilizopo eneo la Manienga ambazo hazina makazi kutokana na nyumba zao kuezuliwa na kimbunga. Tukio hilo lililoezua nyumba...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-FgLfDOG1RHc/VZsXKAI0-sI/AAAAAAAATFM/VcpK8wXJ54k/s72-c/IMG-20150706-WA0053.jpg)
MTIA NIA UBUNGE JIMBO LA MBARALI LIBERATUS MWANG'OMBE AWASILI MWALIMU NYERERE INTERNATIONA AIRPORT TAYARI KWA KUANZA SAFARI YAKE YA KUWATUMIKIA WANA MBARALI
![](http://1.bp.blogspot.com/-FgLfDOG1RHc/VZsXKAI0-sI/AAAAAAAATFM/VcpK8wXJ54k/s1600/IMG-20150706-WA0053.jpg)
Mwang'ombe anatarajia kuwa na mikutano na baadhi ya viongozi wa kitaifa Makao Makuu ya CHADEMA hapo kesho kabla ya kuelekea jimboni, Mbarali, siku mbili zijazo.
Akiongea na muwakilishi wa studio za SUN SHINE kutoka Chimala punde tu alipo shuka Airport ya Mwalimu Nyerere, Mwang'ombe amesema...
11 years ago
Habarileo11 Mar
Sumaye- Watunzi saidieni kulinda ndoa
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewataka Watanzania wenye uwezo wa kuandika vitabu, kujitokeza na kuandika vitabu vitakavyosaidia kuipeleka jamii ya Watanzania mahala stahiki na kulinda maisha ya ndoa.
11 years ago
Habarileo12 Apr
Dk Nchimbi: Watendaji saidieni kuondoa umaskini
MKUU wa Mkoa wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi amewataka watendaji kuwa na utayari wa kuwasaidia watu katika jamii wanazowajibika katika kutambua kiwango cha umaskini uliopo na namna ya kuuondoa.
10 years ago
Habarileo13 Mar
NMB yasaidia waliokumbwa na mafuriko
BENKI ya NMB, imetoa msaada wa vitu mbalimbali vinavyogharimu kiasi cha Sh milioni 10 kwa ajili ya kuwasaidia wakazi wa jimbo la Msalala, katika wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga baada ya kukumbwa na mafuriko yaliyotokea hivi karibuni.
10 years ago
Habarileo20 Oct
‘Saidieni wake zenu kupeleka watoto chanjo’
WANAUME wametakiwa kuwasaidia wake zao kupeleka watoto katika vituo vilivyochaguliwa kutolea chanjo ya surua na rubella ili kuhakikisha watoto wote wanapatiwa chanjo hiyo.
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Safu ya walimu Ikulu: Saidieni kuitoa sekta ya elimu ICU
YAPATA wiki sasa tangu sura ya uongozi wa juu wa serikali ya awamu ya tano ikamilike baada ya kup
Mwandishi Wetu
10 years ago
VijimamboRAIS JAKAYA KIKWETE AWAFARIJI WAKAZI WA BUGURUNI WALIOKUMBWA NA MAFURIKO
10 years ago
Dewji Blog13 May
Kamanda wa Vijana Makangira Msasani awatembelea waliokumbwa na mafuriko Bonde la mpunga
Kamanda wa Vijana Tawi la Makangira-Msasani, jijini Dar es Salaam, Yusuph Nassoro (kushoto) akiwa na mkazi wa eneo hilo wakati alipotembelea kwenye mfereji mkubwa uliojengwa kwa ajili ya kupitisha maji machafu kuelekea baharini. mfereji huo umekuwa msaada mkubwa kutokana na maji yake mengi kuelekea baharini tofauti na awali yaliyokuwayakisababisha mafuriko makubwa katika eneo la Bonde la mpunga.
Na Mwandishi Wetu
Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam na kusababisha...