Sumaye azidi kuunguruma Marekani
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye ameendelea na mihadhara katika ziara yake nchini Marekani, na kutaka viongozi wa Afrika, kutumia fursa zilizopo kuwapatia wananchi maendeleo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 Mar
Sumaye atoa mhadhara wa uchumi Marekani
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye ametoa mhadhara katika Chuo Kikuu cha Elizabeth City, Marekani na kueleza kuwa uchumi wa Tanzania unakua kwa wastani wa asilimia 7 kwa miaka 13 tangu mwaka 2000.
10 years ago
Vijimambo22 Jan
NYALANDU AZIDI KUFANYA MAKUBWA MALIASILI NA UTALII, MAREKANI NA UJERUMANI WAIPA TANZANIA VIFAA VYA KISASA KUKABILIANA NA UJANGILI MBUGA YA SELOUS LEO



11 years ago
Mwananchi27 Jun
KARIBU YANGA: Maximo kuunguruma
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Kesi ya Madabida yaanza kuunguruma
NA MWANDISHI WETU
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeelezwa kuwa Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), ilikagua na kugundua dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) zilizotengenezwa na Kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd (TPL), kinachomilikiwa na Ramadhani Madabida kuwa ni bandia.
Hayo yalidaiwa jana na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Osward Tibabyekomya, mbele ya Hakimu Mkazi, Nyigulila Mwaseba, wakati akiwasomea maelezo ya awali Madabida na wenzake.
Madabida, ambaye ni Ofisa...
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Ukawa ruksa kuunguruma leo Zanzibar
11 years ago
BBCSwahili04 Nov
Kombe la Dunia Tennis kuunguruma London
11 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Kesi ya Katiba kuanza kuunguruma leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo itaanza kusikiliza kesi ya msingi ya kikatiba ya Bunge Maalumu la Katiba. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Mahakama hiyo kutupilia mbali pingamizi...
10 years ago
Vijimambo
KINANA KUUNGURUMA JIJINI MWANZA LEO
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana leo atahutubia maelfu ya wakazi wa jiji la Mwanza kwenye mkutano wa hadhara utakaofanyika kwenye viwanja vya Furahisha na kurushwa live katika vituo vitatu vya televisheni vya Star Tv, TBC na ITV.
Mkutano huu ndio utakuwa mkutano mkubwa wa kuhitimisha ziara za Katibu Mkuu nchi nzima alizoanza miaka miwili iliyopita.
Katibu Mkuu katika ziara zake ameongozana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye .

11 years ago
Michuzi