Ukawa ruksa kuunguruma leo Zanzibar
Hatimaye mkutano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), uliokuwa umezuiwa kupisha sherehe za Muungano utafanyika leo katika Viwanja vya Kibandamaiti, Unguja baada ya kupata baraka za polisi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mJ3DNMC2OPc/Vin-VFrmWdI/AAAAAAAA0u8/neMinEdnq3c/s72-c/DSC_0303.jpg)
MAMA SAMIA ATUA ZANZIBAR LEO, KUUNGURUMA KIBANDAMAITI NA DK. SHEIN JIONI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-mJ3DNMC2OPc/Vin-VFrmWdI/AAAAAAAA0u8/neMinEdnq3c/s640/DSC_0303.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-I6TIro2akPM/Vin-iE3lQQI/AAAAAAAA0vE/mePzWSpgM2M/s640/DSC_0316.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-mJ3DNMC2OPc/Vin-VFrmWdI/AAAAAAAA0u8/neMinEdnq3c/s72-c/DSC_0303.jpg)
MAMA SAMIA ATUA MJINI ZANZIBAR, KUUNGURUMA NA DK. SHEIN LEO UWANJA WA DEMOKRASIA aka KIBANDA MAITI JIONI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-mJ3DNMC2OPc/Vin-VFrmWdI/AAAAAAAA0u8/neMinEdnq3c/s640/DSC_0303.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-I6TIro2akPM/Vin-iE3lQQI/AAAAAAAA0vE/mePzWSpgM2M/s640/DSC_0316.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FR2Mt2m-l_A/Vin-mrA0QgI/AAAAAAAA0vM/Kj96t8cvHkU/s640/DSC_0324.jpg)
9 years ago
Mwananchi28 Aug
Ukawa ruksa kuzindua kampeni Jangwani kesho
Hatimaye Chadema imeruhusiwa kutumia Viwanja vya Jangwani kwa ajili ya kuzindua kampeni za mgombea wake wa urais, Edward Lowassa kesho.
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Ukawa ruksa kufanya mikutano nchi nzima
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ametoa ruksa kwa wanachama wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kufanya mikutano yao nchi nzima.
10 years ago
Mwananchi28 Mar
Mbowe: Kila chama Ukawa ruksa kuandaa wagombea
>Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umesema kila chama ndani ya umoja huo kiko huru kutoa fomu na kuandaa wanachama wake watakaoshindanishwa katika mchakato wa kuwapata wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Kesi ya Katiba kuanza kuunguruma leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo itaanza kusikiliza kesi ya msingi ya kikatiba ya Bunge Maalumu la Katiba. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Mahakama hiyo kutupilia mbali pingamizi...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vaFyWM0VIt4/VY9M9wW2wpI/AAAAAAAAf6M/JbAheI0mFds/s72-c/9.jpg)
KINANA KUUNGURUMA JIJINI MWANZA LEO
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana leo atahutubia maelfu ya wakazi wa jiji la Mwanza kwenye mkutano wa hadhara utakaofanyika kwenye viwanja vya Furahisha na kurushwa live katika vituo vitatu vya televisheni vya Star Tv, TBC na ITV.
Mkutano huu ndio utakuwa mkutano mkubwa wa kuhitimisha ziara za Katibu Mkuu nchi nzima alizoanza miaka miwili iliyopita.
Katibu Mkuu katika ziara zake ameongozana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye .
![](http://3.bp.blogspot.com/-vaFyWM0VIt4/VY9M9wW2wpI/AAAAAAAAf6M/JbAheI0mFds/s640/9.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ivj69U0teRQk5ty*ZYK8aakbhX2d42JzPo2jduMwTQ7sPkbBzyJBER99th2TT4XXccYTiOyUk3cAejFFpY5Ekcjn4aENJOzI/CCMFLYER_THABITKOMBO.jpg?width=650)
MAHMOUD THABIT KOMBO KUUNGURUMA LEO UWAMJA WA BUSTANINI
Na Andrew Chale, Zanzibar
CHAMA cha Mapinduzi CCM, leo Januari 28, kinatarajia kufanya kampeni yake ya Sita (6) ya mkutano wa hadhara kwenye eneo la uwanja wa Bustanini, katika kampeni za Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki, ambapo mgeni rasmi wa kumnadi Mgombea anatarajiwa kuwa, Mwenyekiti wa Mkoa wa Magharibi wa CCM, Mohammed Yusufu Mrefu. Akielezea mkutano huo wa Sita wa hadhara, unaotarajiwa kuwa majira ya Saa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZdYZrJA695cWp1PyL502IIw7Oji54yReQQWwP1MEWCMP5lIU5OE1PeFW63LsdWbpNAvKG08VZSrBTsKTrQ1t0n7/1Mahmoudakiwanabintiyake.jpg)
MAHMOUD THABIT KOMBO KUUNGURUMA UWANJA WA CCM MBWENI LEO
Mahmoud akiwa na binti yake wakati wa kampeni zilizofanyika jana uwanja wa Bustanini. Na Andrew Chale, Zanzibar CHAMA cha Mapinduzi (CCM), leo Januari 29, kinatarajia kufanya kampeni yake ya Saba (7) ya mkutano wa hadhara kwenye eneo la uwanja wa tawi la CCM, Mbweni, Kiembesamaki, katika kampeni za Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki, ambapo mgeni rasmi wa kumnadi Mgombea anatarajiwa kuwa, Katibu wa CCM Mkoa wa Mjini,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania